Huu uzi ufungwe na mleta hii post aonyweTaarifa hizi nimezipata kwa rafiki wa karibu aliyeko SUA.
Sijawa na uhakika wa kutosha kuhusu chanzo hiki cha habari . Imenitia Uchungu kwa vile hawa walikuwa watu maarufu kitaaluma na waliotoa mchango kwa maendeleo ya uchumi nchini. Iweje taarifa zao zisisikike au kutangazwa na vyombo vikuu vya habari?
Nadhani amestaafu kufundisha. Professor hauna ustaafuProfesa anastaafu kivipi? Naomba ufafanuzi juu ya hili.
Njoo na habari kamili ya kueleweka
Mrembo hutaki ukweli usemwe kwanini?Huu uzi ufungwe na mleta hii post aonywe
naungana na wewe, uzi ufutwe na mleta mada aonyweHuu uzi ufungwe na mleta hii post aonywe
Nimeleta habari ambayo ni tetesi. Wenye habari kamili watatuhabarisha. Hii ni JF,tetesi nayo ni habari na inaruhusiwa.Wewe hujawa na uhakika na chanzo chako cha habari.
Huna hata jina la hao marehemu.
Wote unasema mwenyewe kwamba ni wastaafu,ina maana ya uzee.
Wapi unapata nguvu ya kukimbilia JF kuleta ulojo badala ya habari ambayo ni CONTENT.
Kwa nini hukujiridhisha kwa kupata habari kamili kwanza?
HUU NDIO UMBEYA!
Hoja ni kwamba amekufa kwa yale yale matatizo yetu ya upumuaji .Profesa anastaafu kivipi? Naomba ufafanuzi juu ya hili.
Njoo na habari kamili ya kueleweka
Taarifa hizi nimezipata kwa rafiki wa karibu aliyeko SUA.
Sijawa na uhakika wa kutosha kuhusu chanzo hiki cha habari . Imenitia Uchungu kwa vile hawa walikuwa watu maarufu kitaaluma na waliotoa mchango kwa maendeleo ya uchumi nchini. Iweje taarifa zao zisisikike au kutangazwa na vyombo vikuu vya habari?
Prof.kafa kweli anaitwa prof.kimambo ilaa kuhusu ugonjwa sina comment.naungana na wewe, uzi ufutwe na mleta mada aonywe
Mungu ndo anapanga ,ilaa haizuii kusema kilichopoUlitaka akae Hadi lini
Ni desturi yetu. Endapo Mangwea na Kanumba hadi Ikulu ilishiriki kuwaaga na hukutoa hoja kama hiyo ila kwa Profesa unaona kawaida! Ni nini kimetupata sisi Watz?Ukishafariki hata kama ulikua na sifa gani, u sawa na mbuzi aliekufa porini tu.
Kwani akitangazwa ndio atafufuka, nashangaa sana watu wanaoweka ufahari makaburini kwenye mwili unaooza
Asante kwa ufafanuzi.Prof.kafa kweli anaitwa prof.kimambo ilaa kuhusu ugonjwa sina comment.
Corona IPO jaman siku ikibisha hodi kwako ndo mtaamini
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Korona ipo usidanganywe na wanasiasa kwamba imekwisha fuatilia taarifa za kimataifa ndio utajua kuwa Kumi na Kenda anazidi kupuyanga China wenyewe wameshapata maambukizi tena yaani FUTA limerudi CHINA.
Ufutwe kwa sababu gani? Naona mnatekeleza mawazo ya mwenyekiti wenu ni udikteta tunaungana na wewe, uzi ufutwe na mleta mada aonywe
Imepungua kutoka ngapi hadi ngapi? Watu hawapimwi lakini wanasema imepungua mara imekwisha mara tuna wagonjwa 66 yaani hawaeleweki.Inatamkwa imepungua sana haisemwi imekwisha na ndio sababu tunasisitizwa tuendelee kuchukua tahadhari
akijibu nistueImepungua kutoka ngapi hadi ngapi? Watu hawapimwi lakini wanasema imepungua mara imekwisha mara tuna wagonjwa 66 yaani hawaeleweki.