Suala Bandari tunataka uzalendo wa kitaifa siyo Uislamu na Ukristo

Suala Bandari tunataka uzalendo wa kitaifa siyo Uislamu na Ukristo

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kuna watu wanataka kugeuza issue ya Bandari zetu kuwa ya dini... Kusema kwamba watu hawataki DP world kisa ni waislamu ni upotoshaji mchana kweupe..and cheap politics ujinga na kukosa hoja.

Sisi hatutaki mwekezaji tumkabidhi rasilimali zenu Kwa upendeleo wowote ule. Eti kisa Raisi ni muislamu wawekezaji waislamu wafanye wanavyotaka Big NO NO... Nchi Hii ni ya wantazania walio na wasio na dini

The Same applies to Christians huwezi kugeuza Tanzania kuwa Vatican. Hoja ya msingi hapa ni ulinzi wa Rasilimali zetu Over. Mwekezaji unamkabidhi bandari zenú zooote milele Kwa mashariti maandazi whaaat .

Msitupotezee lengo letu Sisi Huo mkataba wa kindwanzi hatuutaki. Kama ni u dini Mbona Araabs contractors walipewa Tenda ujenzi bwawa la Nyerere hatukulalamika kikubwa ni uwazi kwenye mikataba

Tatizo Hapa mkataba ni Mbovu uliosainiwa kihuni, unakiuka katiba ya jamhuri ya muungano. Mtanzania yeyote ana wajibu wa kulikemea hili swala waziwazi bila kujificha ndo maana na viongozi wa dini nao wametoa Neno....

DP World afanye KAZI alizokuwa anafanya TICS Kwa mkataba wenye maslshi kwa Taifa, Hakuna anayekataa wawekezaji.

Uislamu na ukristo hatuutaki Kwenye issue ya Banari tunataka Utaifa.
 
Kuna watu wanataka kugeuza issue ya Bandari zetu kuwa ya dini... Kusema kwamba watu hawataki DP world kisa ni waislamu ni upotoshaji mchana kweupe..and cheap politics ujinga na kukosa hoja...
Nakupongeza sana kwa kuliona hili, mwanzoni nilidhani ni mimi peke yangu nimesikia harufu kumbe tuko wengi, jambo hili limeanza kuvaa sura hiyo baada ya TEC kuanza kulisemea kwa nguvu nyingi
 
Hii ni mbinu ya kuzima mjadala, hata wakiingizia udini, tutaongea tu! Tunachojali ni Utanzania sio dini kama mtoa Uzi alivyofafanua vizuri. Wengine wanaingiza Uzanzibari na Uzanzibara. Hapa hiyo sio hoja yetu, sisi. Hatutaki Bandari zetu zibinafsishwe kizembe hivi.
 
Mbona kampaini za kupinga mkataba wa bandari zina ongozwa na viogozi wa kanisa katoliki kama kadinari Mpengo. Kampaini ziko wazi wazi ndani ya kanisa katoliki kwa nini?
Swali zuri Sana hili...
 
Shida ni kwasababu Muislam akimpa mwarabu kitu anauwakika wa kuingia Jana firidausi. Sasa hapa waliotoa bandari uwakika wa Firdausi upo ndio maana waislam wanaungamkono tuuzwe.
 
Wasio na hoja tayari wamekimbilia kwenye dini na ndio hao wanaoshadidia mkataba huo kuwa ni mzuri. Inakuaje mtua anavunja katiba ya nchi wakati aliapa kuilinda?
 
Mbona kampaini za kupinga mkataba wa bandari zina ongozwa na viogozi wa kanisa katoliki kama kadinari Mpengo. Kampaini ziko wazi wazi ndani ya kanisa katoliki kwa nini?
Tics ni wa katoliki
Matajiri wakubwa na wafadhiri wa kanisa katoliki
 
Hili jambo mpaka liishe, tutakua tumechoka sana. Bandari inapunguza nguvu za kiume
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Kuna watu wanataka kugeuza issue ya Bandari zetu kuwa ya dini... Kusema kwamba watu hawataki DP world kisa ni waislamu ni upotoshaji mchana kweupe..and cheap politics ujinga na kukosa hoja.

Sisi hatutaki mwekezaji tumkabidhi rasilimali zenu Kwa upendeleo wowote ule. Eti kisa Raisi ni muislamu wawekezaji waislamu wafanye wanavyotaka Big NO NO... Nchi Hii ni ya wantazania walio na wasio na dini

The Same applies to Christians huwezi kugeuza Tanzania kuwa Vatican. Hoja ya msingi hapa ni ulinzi wa Rasilimali zetu Over. Mwekezaji unamkabidhi bandari zenú zooote milele Kwa mashariti maandazi whaaat .

Msitupotezee lengo letu Sisi Huo mkataba wa kindwanzi hatuutaki. Kama ni u dini Mbona Araabs contractors walipewa Tenda ujenzi bwawa la Nyerere hatukulalamika kikubwa ni uwazi kwenye mikataba

Tatizo Hapa mkataba ni Mbovu uliosainiwa kihuni, unakiuka katiba ya jamhuri ya muungano. Mtanzania yeyote ana wajibu wa kulikemea hili swala waziwazi bila kujificha ndo maana na viongozi wa dini nao wametoa Neno....

DP World afanye KAZI alizokuwa anafanya TICS Kwa mkataba wenye maslshi kwa Taifa, Hakuna anayekataa wawekezaji.

Uislamu na ukristo hatuutaki Kwenye issue ya Banari tunataka Utaifa.
Upo sahihi,

Tatizo linakuja hao jamaa wanataka mkataba wa milele wakisaidiwa na waarabu wa bongo.
 
Kuna watu wanataka kugeuza issue ya Bandari zetu kuwa ya dini... Kusema kwamba watu hawataki DP world kisa ni waislamu ni upotoshaji mchana kweupe..and cheap politics ujinga na kukosa hoja.

Sisi hatutaki mwekezaji tumkabidhi rasilimali zenu Kwa upendeleo wowote ule. Eti kisa Raisi ni muislamu wawekezaji waislamu wafanye wanavyotaka Big NO NO... Nchi Hii ni ya wantazania walio na wasio na dini

The Same applies to Christians huwezi kugeuza Tanzania kuwa Vatican. Hoja ya msingi hapa ni ulinzi wa Rasilimali zetu Over. Mwekezaji unamkabidhi bandari zenú zooote milele Kwa mashariti maandazi whaaat .

Msitupotezee lengo letu Sisi Huo mkataba wa kindwanzi hatuutaki. Kama ni u dini Mbona Araabs contractors walipewa Tenda ujenzi bwawa la Nyerere hatukulalamika kikubwa ni uwazi kwenye mikataba

Tatizo Hapa mkataba ni Mbovu uliosainiwa kihuni, unakiuka katiba ya jamhuri ya muungano. Mtanzania yeyote ana wajibu wa kulikemea hili swala waziwazi bila kujificha ndo maana na viongozi wa dini nao wametoa Neno....

DP World afanye KAZI alizokuwa anafanya TICS Kwa mkataba wenye maslshi kwa Taifa, Hakuna anayekataa wawekezaji.

Uislamu na ukristo hatuutaki Kwenye issue ya Banari tunataka Utaifa.
Uzalendo upi unaoutaka?

Uzalendo wa uchumi au uchumi wa uzalendo? (Kitila Mkumbo).


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom