Hapa nimemkumbuka Jack wa Mengi.Swala ni kwamba hata kwetu ukienda kichwa kichwa kudai taraka unaweza ambulia patupu vilevile
kuna kesi ya Maria Tumbo Vs Harrold Tumbo ya Tanzania dada aliomba tataka akapewa vizuri tuu ila kwenye mgao wa mali akanyimwa kila kitu...
kwetu tunaangalia ulichangia kitu gani kwenye hizo mali unazotaka mgawane
Wanawake mnavyoongea mtu asiyewajua anaweza kuwaonea huruma.Kwa sababu kamzalia inabidi amfikirie mwenzie... na ndoa za kuishi Kwa kuviziana hivi si poa hata kidogo. Tusiingie kwenye ndoa Kwa sababu ya vitu Fulani... hivi tumekosa upendo kiasi hiki?
Ilikuaje ebu tupe story kwanini mahakama ilimuamuru Amber ndio alipe?Ni kama tu Amber alivyompeleka mahakamani Johnny Depp,, akaangukia pua badala ya kulipwa ika end up manzi ndo inabd alipe
Hakim amesaini mali zake kwa jina la Mama before hata hajaingia kwenye maisha ya ndoa na huyo dada jamaa kawa na hela nyingi akiwa tu ana miaka 18 pekee kwa hiyo hoja yako imekosa mashikoAngalau sasa naweza nika comment kwa jinsi ulivyouliza.
Tatizo siyo nitakacho mimi, issue ipo kwenye sheria zao. Kwa kesi hii ya kwanza Hakim ameshinda na ilikua ni lazima ashinde, maana hana anachomiliki na kesi ililenga anachomiliki.
Kesi ya pili inaweza ikalenga kutafuta alipopeleka kipato cha familia, ilikuwaje kilienda huko bila ya makubaliano ya wanafamilia.
Na ule wosia wa mchongoHapa nimemkumbuka Jack wa Mengi.
Mimi nimekaa palee..nawaangalia tu wanaomshabikia!Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
witnessj Dada let tell you something Hakim anafaa kupongezwa pamoja na Mama yake hasa Mama yake kwasababu Hakim kaanza kushika hela nyingi tangu akiwa ana miaka 17 na taratibu za soka za ulaya ukiwa na Huu umri mtu ambaye atayehusika na mikataba yako ni familia yako so kea Hakim yeye alikuwa nyuma ya Mama ndio maana pesa asimilia 80 ya mishahara wake zilikuwa zinaingizwa kwenye account ya Mama kwa sababu Hakim alikuwa bado mdogo so hata mali zake zingine akawa unaweka under mama name.Utaratibu huo ameendelea nao mpaka mpaka sasa akiwa teyari ni mkubwa kiumri na hajaubadilisha.Amekuja kuingia kwenye ndoa akiwa teyari ni tajili so anavyokuja kuniambia kwamba wagawane nusu kwa nusu hii kwako imekaa poa na ni haki? kijana alitokea maisha ya chini Sana mpira ndio umekuja kumtoa na sio kwamba Hakim haprovide kitu hapana kwa sababu 20 percentage ya mishahara ndio unatumika kuhudumia familia.Kama mkewe anajielewa na hana tamaa imekuaje aombe wa gawane mali nusu kwa nusu? Kwanini asingeishia kuomba talaka na kudai child support pekee? Na kwanini adai talaka kipindi Mumewe anatuhumiwa kwenye scandal ya kubaka kwenye tuhuma ambayo mahakama haijadhibitisha hayo madai? Na hakuishia hapo huyu bibie akiwa anafanyiwa interview kwenye media akasema yeye hawezi kuishi na mume mkabaji ebu nikuulize wewe kama kweli unampenda Mme wako Unaweza ukajibu kitu kama hicho Tena kwenye media?Mimarioo ya kibongo nayo inazungumza na kushabikia alichokifanya Hakimi jamani?
Nimeona hata insta kwa Hakimi, imejaa huko eti inamsifia, mengine yanaandika kiswahili kabisa! Ovyoo sana
Ni kweli MkuuWanawake mnavyoongea mtu asiyewajua anaweza kuwaonea huruma.
Yani wewe kwa Akili yako Unadhani hakimi na wanasheria Wake walikuwa hawajawaza Hayo unayoyawaza???Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Kinachofuata ni mke wake kumpa hakimi nusu ya mali zake,imeisha hioBaada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Hapana huyu dada ni opportunist...maana kwa u gold digger so ana hela zake yule[emoji848]witnessj Dada let tell you something Hakim anafaa kupongezwa pamoja na Mama yake hasa Mama yake kwasababu Hakim kaanza kushika hela nyingi tangu akiwa ana miaka 17 na taratibu za soka za ulaya ukiwa na Huu umri mtu ambaye atayehusika na mikataba yako ni familia yako so kea Hakim yeye alikuwa nyuma ya Mama ndio maana pesa asimilia 80 ya mishahara wake zilikuwa zinaingizwa kwenye account ya Mama kwa sababu Hakim alikuwa bado mdogo so hata mali zake zingine akawa unaweka under mama name.Utaratibu huo ameendelea nao mpaka mpaka sasa akiwa teyari ni mkubwa kiumri na hajaubadilisha.Amekuja kuingia kwenye ndoa akiwa teyari ni tajili so anavyokuja kuniambia kwamba wagawane nusu kwa nusu hii kwako imekaa poa na ni haki? kijana alitokea maisha ya chini Sana mpira ndio umekuja kumtoa na sio kwamba Hakim haprovide kitu hapana kwa sababu 20 percentage ya mishahara ndio unatumika kuhudumia familia.Kama mkewe anajielewa na hana tamaa imekuaje aombe wa gawane mali nusu kwa nusu? Kwanini asingeishia kuomba talaka na kudai child support pekee? Na kwanini adai talaka kipindi Mumewe anatuhumiwa kwenye scandal ya kubaka kwenye tuhuma ambayo mahakama haijadhibitisha hayo madai? Na hakuishia hapo huyu bibie akiwa anafanyiwa interview kwenye media akasema yeye hawezi kuishi na mume mkabaji ebu nikuulize wewe kama kweli unampenda Mme wako Unaweza ukajibu kitu kama hicho Tena kwenye media?
Sawa mkuuChugu lakini dawa.
Wanasemaga hela haijawahi kumtosha mtuHapana huyu dada ni opportunist...maana kwa u gold digger sio ana hela zake yule[emoji848]
Mkuu nimekuelewa!
Umeongea kama mwanasheria wa mke wakeBaada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Dada ana haki zote amekaa nae 5yrs kama mke wake ....
Tahadhari kabla ya hatari, moyo wa mtu ni kichaka na watu wanabadilika.Kwa sababu kamzalia inabidi amfikirie mwenzie... na ndoa za kuishi Kwa kuviziana hivi si poa hata kidogo. Tusiingie kwenye ndoa Kwa sababu ya vitu Fulani... hivi tumekosa upendo kiasi hiki?
Story yake ikoje mkuu?Hivi mkuu umeshawahi kufuatilia mgawanyo wa mali huko magharibi unavyowatesa wanaume. Naomba ukasome story ya Emmanuel Eboue aliyekuwa mchezaji wa Arsenal, alinyanganywa almost kila kitu, akawa homeless kisa kujifanya kumpenda sana mkewe. Yule jamaa asingekuwa na connection angijiua.
Ma gold digger na ma feminist uchwara mmepigwa na kitu kizito sana baada ya mwenzenu kuambulia patupuWeeeh!! Ni lini uliona wanaume wengi wa Tanzania wanatumia reasoning!!
Halafu utawakuta wanalalamika hawaheshimiki, we utaheshimu vipi mtu wa hivyo!!!!
Wanajua majungu tu. Watalijungua hilo likiisha watarudi kuijungua serikali. Ndicho pekee wanaweza.
Kumbe mshahara wa mtu ni mshahara wa familia, hata ukitaka kunywa bia ..mkae kama familia?!!Angalau sasa naweza nika comment kwa jinsi ulivyouliza.
Tatizo siyo nitakacho mimi, issue ipo kwenye sheria zao. Kwa kesi hii ya kwanza Hakim ameshinda na ilikua ni lazima ashinde, maana hana anachomiliki na kesi ililenga anachomiliki.
Kesi ya pili inaweza ikalenga kutafuta alipopeleka kipato cha familia, ilikuwaje kilienda huko bila ya makubaliano ya wanafamilia.