Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,246
- 2,299
Al shabab mko wapi? Mtuchukue mtusajali maana bora ni kuwa mtumwa unakula nyama kuliko kuwa huru na mzalendo unakula maharage yenye funza huku unakanyagwa ndani ya nchi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mwenyeketi gani anatenda haki?! Hata huyo mwenyeketi anayekuwepo kesha jua ni nani atakaye mtangaza kuwa rais October 2020, ameeshaelekezwa na aliyemteua.Hii tume ndo shida Mana huwa inatangaza viceversa. Ila mda mwingine . Ila mda mwingine unaweza chagua mwenyekiti wa tume hafu akatenda haki
aiseeh poleni sanaHatuta mpigia kura Ila labda waibe tu. Mana haiwezekani engineer , mwalimu , Daktari yani five years tunachoma mahindi kitaa na ajira za temple nazo tunafukuzwa pamoja na kuwa na kubachelor.
Asante . Ila kura hatuta mpa Yani. Amezingua kinoma yani.aiseeh poleni sana
Sawa vipi madaktar na walimu nao wafanye ujasiriamal!?Mimi nadhani Mheshimiwa angepewa muda maana yeye Ana stimulate ajira binafsi kwa kuanzisha miradi itakayo meza vijana wengi kwa mkupuo embu tulieni jamani hata ROMA haikujengwa MARA moja .Yeye pia ameanzisha program za elimu nje ya mfumo RASMI ZINAZOITWA INTERGRATED PROGRAM FOR OUT OF SCHOOL ADOLESCENTS (IPOSA) na inawafundisha vijana masomo ya ujasiriamali ,stadi za MAISHA ,ushoni ,uashi, UTENGENEZAJI WA BIDHAA ZA VIWANDANI,USEREMALA,UMEME na vifaa vipo.Kwa hiyo TAMISEMI inashirikiana kwa karibu na TAASISI YA ELIMU YA WATU Wazima.Na Mimi NDUGU YANGU anasoma na anapiga fedha ya sabuni balaa kwa sasa hivi kwenye janga hili.Naye Ni graduate.MSIONE NAANDIKA HIVI NAPENDA KUWA MKWELI TU.
Wapi hao?Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.