Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Hakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingi

Hv haujui kuwa wadada wa bara watukubali sna hasa rangi zetu na nywele wnatmn kuzaa watt wazur [emoji23][emoji23] btw am just kddng dnt tak it seriously na sina ubaguz n yyt we love eachothr
 
Hakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingi
Mkuu, unajua ya kwamba mke wa raisi Mwinyi katokea Iringa ? ila sasa nenda wewe huko Zenji kajaribu kuoa uone mziki wake
 
Kwanini atoke Zanzibar na wakati siyo nchi yenu? mbona mmejazana bungeni na kwenye uwaziri?
Usibangaize na kujitoa akili jibu suali .
(Hukupata uzoefu wa masuala na majibu kwenye kesi ya Mwenyekiti Mbowe) .
Jibu suali kama lilivyo ulizwa sio unajibu kwa kuuliza .
Nitasubiri sana jawabu.
 
Harafu kuna mpumbavu anadai katatua kero za muungano kumbe katatua kero za wazanzibar dhidi ya wabara
 
Mkuu, unajua ya kwamba mke wa raisi Mwinyi katokea Iringa ? ila sasa nenda wewe huko Zenji kajaribu kuoa uone mziki wake
Sasa Mwinyi kwani anatokea wapi ?
Ndio ukasikia wazenji wanaimba na kucheza...Tunataka nchi yetu sasa tumechoka.
 
WATANGANYIKA MUWE NA HURUMA , NYIE MUKO MILIONI 60 MKIRUHUSIWA KUNUNUA ARDHI HUKU AMBAYO NI SAWA NA WILAYA YA TEMEKE TU , ITABAKIA KWELI? KWANI HUKO KWENU ARDHI IMEKWISHA ? SI NUNUENI HUKO.
 
Kwa namna hii itafika time wazanzibar wote wenye ardhi Tanganyika watanyanganywa hata iwe miaka 1000 maana maandishi yapi kuwa hakuna usawa katika kumiliki ardhi ukiwa Zanzibar mTanganyika! Zanzibar Ni nchi, Tanganyika Ni nchi, tukiungana, Basi bara wafaidi Zanzibar na Zanzibar wafaidi bara equally
 
Usibangaize na kujitoa akili jibu suali .
(Hukupata uzoefu wa masuala na majibu kwenye kesi ya Mwenyekiti Mbowe) .
Jibu suali kama lilivyo ulizwa sio unajibu kwa kuuliza .
Nitasubiri sana jawabu.
Hawezi kutoka Zanzibar sababu hatuwezi kuuza usalama wa nchi yetu
 
Katika mambo ambayo wazanzibari hawapendi kabisa kusikia ni hilo la mbara kumiliki ardhi Zanzibar....
Hiyo kitu jamani ni kwamba haiwezekaniii tuambiane ukweli tuu..
 
Tunatumia mipaka iliyowekwa na wakoloni so acha kutuletea historia za alinacha eti kigamboni ilikuwa zanzibar! Ko tuchore mipaka upya?
 
Ahhhhh mbona mudi alikua anashindia tende jangwani huku kavaa mashuka na vipedo akiwalaghai kwa adithi za uongo ile ale tende zaidi.
Yaani mudy na yesu tamaduni zao ni zilezile,kanzu,kobazi,tende,kondoo,ngamia,farasi...hawakuwa wakivaa suti na mokasini,hayo ni mavazi ya nchi za baridi
 
Katika mambo ambayo wazanzibari hawapendi kabisa kusikia ni hilo la mbara kumiliki ardhi Zanzibar....
Hiyo kitu jamani ni kwamba haiwezekaniii tuambiane ukweli tuu..
wabara wanaotaka kumiliki ardhi Zanziba ni wezi ,mbona kama ardhi tanganyika ni kubwa sana imejaa wanyama mpaka raia wanafanana nao.
Siku hizi hata tabia zao ni kama wanyama wanabakana mala baba mla mtoto mala mama mala mtoto ,punguzeni wanyama ili mludi kitabia.
Au nasema uwongo ndugu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…