Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Alisema nani hio kauli kua kila mtanganyika atanunua ardhi huko kijijini (Zanzibar). Tunahitaji usawa kama watanzania sio cha watanganyika ni cha ote ila cha Zanzibar ni cha kwao huo ni ubinafsi na utomvu wa uaminifu na huenda idada kubwa ya WaZanzibar walio bara ni wengi kuliko huko kwene shambani Zanzibar au nasisi tuwatimue. Acheni choyo tunahitaji hio ardhi nasisi japo sio ote na kamwe haiwezi kujaaa hata mkitunyima ikijaa mtaenda wapi au tuanze kuwatimua nyie wauza urojo na alkasusi chafu.
Vunja muungano,mungu fundi wa kugeuza vitimbi
 
Za chin ya kapet kigamboni ilikua sehem ya zanzibar tuliwapora tu wapemba

Zanzibar ni tuvisiwa kigamboni sio kisiwa na ipo kilometer za kutosha toka visiwani iweje leo hii iwe ni sehemu ya visiwa hujiulizi mkuu Mbona mambo yapo wazi yaani leo hii ukanda wa pwani yote iwe ni sehemu ya Zanzibar kwa akili za kawaida maana ni ukichaaa kabisa huu. Leo hii joberg iwe ni sehemu ya Madagascar. Ardhi ya bara ni ya bara na ardhi ya tumashamba ni ya hao wanaojiita wazanzibar
 
Post hii ina ujumbe uliofana na >>huu<<, lakini humu jukwaa la siasa nimeona iwepo kwasababu hili ni jambo linalogusia siasa baina ya Zanzibar na bara na kumekuwa na post nyingi kuhusu hili swala humu jukwaa la siasa.

Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shayo kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar amezungumzia mambo mbalimbali likiwemo la tatizo la wabara kumiliki ardhi Zanzibar.

Ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama ni mkristo upewi.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".

Maoni ya ziada

Achilia mbali taasisi za Znzibar, yani hata kwa raia wa kawaida wa kizanzibar, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule mhhhh, .......,

kwenye kuoa hapa napo huwa pana ubaguzi, yani ukifahamika ni mtu wa bara tu hapo sahau kupata binti, ila huku bara haya mambo hayapo.

kingine ni kila ramadan ikifika wakristo inabidi tujifungie vyumbani kupika na kula lasivyo utachapwa viboko kama mtoto mdogo ama kufungwa jela kwenye mateso makali mno....ni jambo ambalo linaumiza sana maana katiba ina uhuru wa imani ila nchi inaendeshwa utadhani ina katiba ya kidini.

kingine pia ni udhalilishaji wa wazi wazi, ni kawaida sana kusikia ukiitwa "kichogo" kisa tu ni mtu wa Tanganyika na kichwa chako hakipo flat kama wazanzibar wengi, hiki si kitu kigeni hata kwa wale ambao wamejiunga ama wamewai kupiga chabo kwenye magrup ya kizanzibari ya fb na whatsapp.
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu. kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
Wenzako wanafunga we unabugia misosi, lazima ule bakora.
 
Hao kobe wa maji chumvi dawa yao inachemka ipo siku watachezea kipigo na kufurushwa wakajazane huko upuuzini kwao maana wao kutwa ubaguzi afu huku wanachukua maeneo hovyo ila kwao chuki ubinafsi na ujinga wao hawataki utumie chao. Hawana umuhimu hao zaidi ya kutunyonya hata chakula sie ndio huwalisha.
 
Labda wazike bahari maana ardhi yenyewe ndogo
Kwa Bara sawa huwa wanachukua mpaka ekari 1000 na zaidi na mashamba mengi wananunua kila kukicha

Shida ni ardhi
Kisiwa kidogo na sehemu watakayopewa wakubali tu hata chumba kimoja

Kwa mfano Kuwait ni nchi ndogo sana ila walijitahidi sana kuzika pembezoni mwa bahari kiasi kikubwa sana na kuweka Mahoteli mengi sana na space kubwa ya kutembea kwa miguu na parking ya magari

Sasa naona hamjachelewa kuiga
Hiyo bahari izikwe tu

Hata Mchina katengeneza visiwa na hakuna wa kuleta fyoko
 
Suala la ardhi ni jambo gumu na mtambuka haswa.....

Hivi Zanzibar kuna msikiti gani ambao umepewa mathalani heka 30 ?!!!

Tunajua ardhi ya Zanzibar ni ndogo sasa inakuwaje makanisa kupewa heka nyingi ambazo ndani yake kutakuwa na uzalishaji mali na mambo mengineyo?!!!

Kwani heka ngapi za ardhi zitakazotolewa zitaonekana kuwaridhisha?!!!!

#Siempre JMT🙏
Sawa sasa ndiyo 20x20..?
 
Back
Top Bottom