Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Haha nikiwa kama mzanzbr dada zenu huku bara nawagonga kinoma wanapend rangi na nywele ila dada zetu sahau mkuu. [emoji23][emoji23]
Wazenji chukueni huyu chifu mafiii wenu huku hatumtaki awe rais wa zanzibar ,kwa kifupi wazanzibar amna akili hata ndogo siku muungano ukivunjika ndiyo mtajua kuwa amna akili ya kujiongoza
 
Mkoloni alikua muingereza,kabla ya hapo mjerumani,elimu huna unaharisha harisha tu..hayo mapinduzi yenyewe na muungano ni muingereza na usa
Mkoloni wa bara au visiwani? Kama mkoloni alikuwa muingereza, mapinduzi ya zanzibar walimpindua nani na akiwa kama nani huko zanzibar?
 
wabara wanaotaka kumiliki ardhi Zanziba ni wezi ,mbona kama ardhi tanganyika ni kubwa sana imejaa wanyama mpaka raia wanafanana nao.
Siku hizi hata tabia zao ni kama wanyama wanabakana mala baba mla mtoto mala mama mala mtoto ,punguzeni wanyama ili mludi kitabia.
Au nasema uwongo ndugu zangu.
Ko tusipeleke elimu ya dini huko zanzibar tuiache huku huku bara? Kwa kuwa mmejaa huku bara huenda ndo mnabakana ili kuichafua bara.
 
Wazenji chukueni huyu chifu mafiii wenu huku hatumtaki awe rais wa zanzibar ,kwa kifupi wazanzibar amna akili hata ndogo siku muungano ukivunjika ndiyo mtajua kuwa amna akili ya kujiongoza

Wewe ndo huna akili uliza uchumi wa tanzania kama cc wapemba wakifuatiwa na wakinga kwa biashara nchini
 
Uwe unajaribu kuweka hisia pembeni kidogo, laiti tungelikuwa tunaandikka kwa hisia wngine post zetu zingekuwa hazisomwi na watoto (18+)
Suala si hisia, na huwezi kujitenga na hisia unapotoa maoni, suala hapa ni kusema ukweli usiotakiwa humu, labda kwa sababu ni classified, i had once said about so popularly known Kigogo, nikapigwa ban ya jukwaa, [emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi ku comment tena ilw thread, yani ni bila bila mpaka sasa
 
Hao kobe wa maji chumvi dawa yao inachemka ipo siku watachezea kipigo na kufurushwa wakajazane huko upuuzini kwao maana wao kutwa ubaguzi afu huku wanachukua maeneo hovyo ila kwao chuki ubinafsi na ujinga wao hawataki utumie chao. Hawana umuhimu hao zaidi ya kutunyonya hata chakula sie ndio huwalisha.
Mbona mnachelewa , mnasubiri kitu gani?
Tunaisubiri kwa hamu kubwa siku hiyo, Tumechoka, tuwacheni tupumuwe
 
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.


Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.

Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.

Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.

"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shoo.

Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".

Zanzibar hakuna wakristo , walioko ni magowa Na wengi wamesilimu waliobaki Kanisa la minara miwili linawatosha. Hao wavamizi kutoka Tanganyika wasituwekee fujo , mavamizi Yao Na roho Za watu walizozitowa imetosha , Sasa waondoke Na majeshi Yao watuwachie Nchi yetu
 
Mkoloni wa bara au visiwani? Kama mkoloni alikuwa muingereza, mapinduzi ya zanzibar walimpindua nani na akiwa kama nani huko zanzibar?
Alipinduliwa Mzanzibari Na wavamizi wa Tanganyika wamewekwa kambi Za jeshi kila mtaa
 
Post hii ina ujumbe uliofana na >>huu<<, lakini humu jukwaa la siasa nimeona iwepo kwasababu hili ni jambo linalogusia siasa baina ya Zanzibar na bara na kumekuwa na post nyingi kuhusu hili swala humu jukwaa la siasa.

Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shayo kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar amezungumzia mambo mbalimbali likiwemo la tatizo la wabara kumiliki ardhi Zanzibar.

Ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama ni mkristo upewi.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".

Maoni ya ziada

Achilia mbali taasisi za Znzibar, yani hata kwa raia wa kawaida wa kizanzibar, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule mhhhh, .......,

kwenye kuoa hapa napo huwa pana ubaguzi, yani ukifahamika ni mtu wa bara tu hapo sahau kupata binti, ila huku bara haya mambo hayapo.

kingine ni kila ramadan ikifika wakristo inabidi tujifungie vyumbani kupika na kula lasivyo utachapwa viboko kama mtoto mdogo ama kufungwa jela kwenye mateso makali mno....ni jambo ambalo linaumiza sana maana katiba ina uhuru wa imani ila nchi inaendeshwa utadhani ina katiba ya kidini.

kingine pia ni udhalilishaji wa wazi wazi, ni kawaida sana kusikia ukiitwa "kichogo" kisa tu ni mtu wa Tanganyika na kichwa chako hakipo flat kama wazanzibar wengi, hiki si kitu kigeni hata kwa wale ambao wamejiunga ama wamewai kupiga chabo kwenye magrup ya kizanzibari ya fb na whatsapp.
Umeandika kinafiki sana mpaka umepoteza uhalisia wa maada
 
Post hii ina ujumbe uliofana na >>huu<<, lakini humu jukwaa la siasa nimeona iwepo kwasababu hili ni jambo linalogusia siasa baina ya Zanzibar na bara na kumekuwa na post nyingi kuhusu hili swala humu jukwaa la siasa.

Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shayo kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar amezungumzia mambo mbalimbali likiwemo la tatizo la wabara kumiliki ardhi Zanzibar.

Ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama ni mkristo upewi.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".

Maoni ya ziada

Achilia mbali taasisi za Znzibar, yani hata kwa raia wa kawaida wa kizanzibar, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule mhhhh, .......,

kwenye kuoa hapa napo huwa pana ubaguzi, yani ukifahamika ni mtu wa bara tu hapo sahau kupata binti, ila huku bara haya mambo hayapo.

kingine ni kila ramadan ikifika wakristo inabidi tujifungie vyumbani kupika na kula lasivyo utachapwa viboko kama mtoto mdogo ama kufungwa jela kwenye mateso makali mno....ni jambo ambalo linaumiza sana maana katiba ina uhuru wa imani ila nchi inaendeshwa utadhani ina katiba ya kidini.

kingine pia ni udhalilishaji wa wazi wazi, ni kawaida sana kusikia ukiitwa "kichogo" kisa tu ni mtu wa Tanganyika na kichwa chako hakipo flat kama wazanzibar wengi, hiki si kitu kigeni hata kwa wale ambao wamejiunga ama wamewai kupiga chabo kwenye magrup ya kizanzibari ya fb na whatsapp.
Huyu muongo, watu wenye asili ya Tanzania Bara wanamiliki ardhi. Nenda Ndagaa, kiboje, kitumba, dole, miwani, bubwisudi, kidimni, ubago, machui na vitongoji vya karibu. Katika vijiji hivyo walio wengine ni wandengereko, waruguru, wanyamwezi na makabila mengine na wanakaa kwenye mashamba yao. Sasa huwezi kulazimisha mtu akuulie ardhinyake binafsi. Kwaninhata huko bara so mnakubali kuuza wenyewe sasa analalamika nini. Kama mtu hataki kukuzia ardhi kwa kujenga kabisa. Utaka mwinyk awafanye nini? Wanaanza chokochoko za kipuuzi
 
Watu wengi wanaozungumzia ardhi ya Zenj,hawajawahi hata Kufika Zenj,wengine hata kwenda Zenj,hawajuhi unapita wapi,Idadi ya watu Zenj ni ndogo sana ukilinganisha na watu wa wilaya moja ya Dar,Zenj inaingia mara tatu kwenye mkoa wa Kagera.

Sasa kama unashindana na idadi hiyo ya watu,inabidi busara itumike kidogo,

Wapo wabara kibao wamejenga lodges na wengine majumba na wanamiliki ardhi sana tu
mhh huo ni uongo.nilikaa na dada mmoja wa kigoma kwenye tukielekea dsm.yeye anaishi zanzibar lkn alichoniambia huwa wanaishi kwa vibali vya mkaazi na hawaruhusiwi kumiliki ardhi kabisa hivyo hoja ya askofu shayo ni dhahiri kwani yy si yuko huko miaka nenda rudi sasa huyo anayepinga inamaana anapingana na askofu?wanzibari hata pale kigoma wamejazana na wamejenga na kumiliki ardhi kubwa kubwa tu.nenda sehemu inayoitwa kazegunga mbele ya sekondari ya new man ukajionee,kuna mtaa ni wazanzibar watupu halafu ss kwao tunabaguliwa kwa nn.bara tubadilishe sheria inayowaruhusu wanzanzibar kumiliki ardhi bara waende wakamiliki kwao kama haiwatoshi waende comoro au anjuwani kwa watwana wao.
 
Watu wengi wanaozungumzia ardhi ya Zenj,hawajawahi hata Kufika Zenj,wengine hata kwenda Zenj,hawajuhi unapita wapi,Idadi ya watu Zenj ni ndogo sana ukilinganisha na watu wa wilaya moja ya Dar,Zenj inaingia mara tatu kwenye mkoa wa Kagera.

Sasa kama unashindana na idadi hiyo ya watu,inabidi busara itumike kidogo,

Wapo wabara kibao wamejenga lodges na wengine majumba na wanamiliki ardhi sana tu
Tena wengi, nawajua binafsi ni rafiki zangu kabisa na mbona wamasai wapo na sasa tokea wafike Zanzibar hawataki hata kurudi Longido, ubaya wanamtekekeza mama Yo wanachukuaga wazungu wa Scandinavia wanajengewa majumba ya kifahari pembeni mwa fukwe za bahari na wanazaa nao na kupelekwa majuu for vacations. Na pale Nungwi wamejaa beach wanauza vitu vyo mtaa mzima. Na maenoe ya Nungwi mpaka maarufu inaitwa Tanga ndogo, Wadigo , Wabondei, Wasambaa na Wazigua wamejaa kuna maduka ya pombe na night clubs zimezagaa mtaa mzima hata huko Bara hamna maeneo hayo.
Nyinyi mnaolalamika sana hamtaki kuishi na wazanzibari kwa usalama na kiendeleza udugu uliopo hata kabla ya Muungano mna agenda ya Christianization of Zanzibar mtaa una wakristo wachache mnataka kujenga makanisa everywhere na wengine hasa hawa wasabato waliozuka siku hizi huo ukristo sio muhimu kwao bali ni what is called "God's Business" kuwanyonya walalahoi kwa michango ya Mungu kama vile masikini na kutumia Kanisa kukwepa kodi na kuendeleza ufisadi wa ukoshaji hela
 
Huyu muongo, watu wenye asili ya Tanzania Bara wanamiliki ardhi. Nenda Ndagaa, kiboje, kitumba, dole, miwani, bubwisudi, kidimni, ubago, machui na vitongoji vya karibu. Katika vijiji hivyo walio wengine ni wandengereko, waruguru, wanyamwezi na makabila mengine na wanakaa kwenye mashamba yao. Sasa huwezi kulazimisha mtu akuulie ardhinyake binafsi. Kwaninhata huko bara so mnakubali kuuza wenyewe sasa analalamika nini. Kama mtu hataki kukuzia ardhi kwa kujenga kabisa. Utaka mwinyk awafanye nini? Wanaanza chokochoko za kipuuzi
Kitope wakulima wa miwa wakuu na wengi ni watu wa Bara hass wanayamwezi na wasukuma
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.

Sisi tunataka Leo hiie mtuwachie nchi yetu mumetuulia wazee Na ndugu zetu saaaaana . Tumechoka ,tuwacheni tupumuwe
 
Mm siwatafuti wnakuja wenyw mkuu. Nikiwa kwny dinga blow jb za kutosha kwa dada zako na kutamn kuzaa na mm. Sijui inakuaje hapo mkuu [emoji16]
Wakutafuta ndio mpango, hao wakujileta kuwa makini sana.
 
Mimi naona kuwe na serikali moja ya tz na kuwe na majimbo yenye sheria zake turuhusu ku accommodate nchi zingine kama majimbo yaongozwe na magavana,sheria wajitungie wenyewe nsiyo tutawaweza wazanzibar,chukua Burundi Rwanda uganda n.k
 
Tatizo letu Tanzania ni kushughulika na tatizo badala ya kuondoa tatizo.

Tatizo sio Mwinyi wala Wazanzibar; tatizo ni sheria na kanuni.

Shughulikeni na kanuni na sio watu
 
Back
Top Bottom