Suala la bandari lina harufu ya chuki

Suala la bandari lina harufu ya chuki

Wakati nchi inaingia mikataba mibovu ya madini ambayo Tanzania inapata 3% tu wanasheria wetu "nguli" walikuwepo, wakati Rais anarudisha uhusiano wa kibalozi na Israel baada uhusiano huo kuvunjika kwa miaka mingi kwasababu ya Palestine wanasiasa na makundi yote ya dini walikuwa kimya, wakati Rais anamwachia huru Babu Seya ambae alihukumiwa na mahakama kifungo cha maisha wanasheria wetu walikaa kimya kuheshimu Mamlaka ya Rais ya kikatiba. Sasa Sasa Sasa sasa sasa sasa sasa wache Katiba yetu iendelee kufanyakazi, Mama usigeuke nyuma katka adhima yako ya kuwaletea wanyonge nafuu ya maisha, usiogope zile kelele za huyoooo huyooo mchinje mchinje za makuwadi.
 
Hata huko Uingereza wanatafuta wawekezaji kutoka uarabuni, sembuse sisi? Waarabu wanamiliki timu zote muhimu zinazofanya vizuri Uingereza, ingekuwa sisi hapa mwarabu ananunua Simba na Yanga wangesema Kuna udini. Ni watu wapumbavu TU wanaopinga mkataba huu.

Rais usirudi nyuma, na kura zetu utapata 2025. Wapingaji wa serikali walikuwepo kwenye awamu zote tangu zile za akina Kambona, Chipaka, fundikila, tuntemeke sanga, Ibrahim Babu, maalim self, nk lakini serikali zilisonga mbele na mipango yake.
 
Back
Top Bottom