Suala la bandari lina harufu ya chuki

Suala la bandari lina harufu ya chuki

Tunataka hayo manufaa yawepo kwenye mkataba tuyapime Kwa muda maalum
mbona hayo manufaa ya mapato, muda mfupi wa kupakua mizigo na meli kukaa bandarini, na ajira vimo kwenye mkataba? Wengi wanaopinga wana hoja za kijinga na kipumbavu tu kama zile za nchi kuuzwa, bandari kuuzwa, kwanini zanzibar haimo humu, kwanini hakuna ukomo na upuuzi mwingine unaowakilisha chuki na utanganyika na uzanzibar na udini.
 
Tunataka hayo manufaa yawepo kwenye mkataba tuyapime Kwa muda maalum
Wewe na nani? Usiseme "Tunataka....." SEMA "ninataka,......"

Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

Anasema, kwakuwa wewe umeyakataa maarifa.....Mimi nami nami nitakukataa wewe. Hebu Ona, very specific statement.
 
Wenye maslahi na uwendeshaji wa hovyo wa bandari wanawatumia watu wa hovyo kama hawa. DP World ina hofu kuwa mnaweza kumpa DP world bandari moja halafu bandari nyingine mkampa Singapore au Ufaransa na kuzidisha ushandani kwa DP world. Ndio maana DP World inataka kama serikali inataka kuendeleza bandari nyingine itoe taarifa kwa DP World ili ione kama maslahi yake yatalindwaje au kama inaweza kupewa nafasi ya kuindeleza pia. Huwezi kumpa mwekezaji bandari ya Dar es Salam halafu ukampa mwekezaji mwingine mkubwa bandari ya Tanga, bagamoyo au Mtwara wakati huohuo.

 
Wenye maslahi na uwendeshaji wa hovyo wa bandari wanawatumia watu wa hovyo kama hawa. DP World ina hofu kuwa mnaweza kumpa DP world bandari moja halafu bandari nyingine mkampa Singapore au Ufaransa na kuzidisha ushandani kwa DP world. Ndio maana DP World inataka kama serikali inataka kuendeleza bandari nyingine itoe taarifa kwa DP World ili ione kama maslahi yake yatalindwaje au kama inaweza kupewa nafasi ya kuindeleza pia. Huwezi kumpa mwekezaji bandari ya Dar es Salam halafu ukampa mwekezaji mwingine mkubwa bandari ya Tanga, bagamoyo au Mtwara wakati huohuo.


Huyu mama Hana sifa ya kusema haya anayoyasema kwakuwa yeye alitaka kuiuza Kigamboni yote kwa Wazungu bila shida yoyote. Asingekubali kuiuza Kigamboni kwa Waarabu ila kwa Wazungu ilikuwa sawa. Shida hapa sio mkataba bali Waarabu.
 
Zenjixit Now!
Afrika imedumaa kwa kuaamini Wazungu kuliko waafrika na waasia. Kama kwenye mikata ya madini tungewaleta Wabotswana waje watuelekeze namna ya kuandika mikataba ya madini tusingepigwa na Wazungu kwa kiasi kile. Waafrika wasimwamini mwaafirka mwenzao yeyote ambae alisomeshwa na Wazungu Ulaya na Marekani kwa pesa ya Wazungu, maana wanguzu hawana kitu Cha bure hata kidogo hata kimoja. Wazungu wanatoa scholarships kwa waafrika na mataifa mengine kwa faida Yao, Wana kazi nao ni WA kwao.
 
Ni muda muafaka waingie na kwenye miradi ya kuendeleza vijiji vya Tanganyika yetu viwe metropolis.
 
TPA inayoendeshwa na nyie waswahili inaingiza gross income bilioni 768 per year na inatumia bilioni 719 kujiiendesha, at the end inapeleka gross profit bilioni 49, ticts aliyepewa kusimamia sehemu ndogo ya bandari pamoja na ubabaishaji mkubwa lkn anapeleka serikalini bilioni 300, unaambiwa DP world anaenda kuongeza mapato ambayo yatachangia asilimia 57 ya bajeti ya serikali, asa Kwa makubwa hayo yajayo watz Mungu atupe nini tena?
Sawa,
Je ikitokea akashindwa kuleta hizo hela, Mkataba unaruhusu kumuondoa?
 
Hapa umeongea ukweli na lazima nikupongeze. Wanaoutunza huu muungano uwepo hadi leo ni watanganyika wakati wazanzibar pia wananufaika sana na muungano huu kwa njia mbalimbali. Binafsi ninafahamu kuwa Nyerere hakukusudia kuwa Tanzania itakuwa na Marais 2 kwa wakati mmoja. Yeye alidhani kwa kuiondoa serikali ya Tanganyika basi na wenzake wangeiondoa serikali ya Mapinduzi na kubaki serikali ya Tan(ganyika)zan(zibar)nia, haikuwa hivyo, haiko hivyo na haitakuwa hivyo kwa namna ninavyoona, na wala hakuna Mzanzibar mwenye ndoto kama hiyo.

Lakini pamoja na hayo tumekubaliana kuwa Tanzania ni nchi ya muungano wa nchi mbili ambazo zilikuwa huru kila moja, ni watanganyika wenyewe walioifuta Tanganyika yao kwa sababu zao wenyewe, hatuwezi kuwalaumu Wazanbizar hata kidogo kwenye hilo, kaeni mnyolewe kuhusu hili. Lakini haya yote hayahusiani kabisa na mkataba wa bandari. Wote lazima tukubali kuwa Tanganyika ina bandari nyingi ambazo hazitoi mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu, na hatuwezi kukunja shingo zetu upande kwa miaka 60 mingine tukitegemea kutokee muujiza; something must be done by someone among us now now today to rectify the sitution. Rais Magufuli alisema ni heri uchukue maamuzi hata kama kwa kukosea kuliko kuacha kuchukua maamuzi. Wacha Rais Samia afanye maamuzi ili kazi yetu iwe kumsaidia kuona dosari ndogo na kubwa na maamuzi yako kwa lengo la kuboresha na kusonga mbele lakini sio kumzuia na kumkatisha tambaa wakati Katiba yetu inamtaja kuwa yeye ndiye mkuu wa nchi, mtunza nchi na rasilimali zake zoooote, Amirijeshi mkuu na mfariji mkuu. Badilisha katiba kwanza kuondoa majukumu haya Rais ndio uje kunyoosha kidole. Nakumbuka Mwl. NYERERE kwa kutumia katiba hii aliweza kuchota rasilimali na kodi zetu kwenda kuzikomboa Msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe, South Afrika, Comoro na hata Uganda bila kuhojiwa na mtu yeyoyote, katiba aliyoitengeneza ilimruhusu kufanya hivyo, na katiba hiyohiyo ya Nyerere ndio hiyohiyo aliyoitumia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kutawala. Nakumbuka Rais Magufuli alisemaga "wacha niitumie katiba hiihii kuinyoosha Tanzania na watanzania kwanza kabla haijabadilishwa.
Mawenge
 
Inafahamika kuwa bandari zetu zinatoa huduma hafifu sana kwa wateja wake wanaozitegemea kwa huduma.

Inafahamika kuwa bandari zetu hazitoi mapato yanayokusudiwa kwa taifa kwasababu mbalimbali zikiwemo zile za:

1. Ukosefu wa utaalam wa kuendesha bandari.

2. Ukosefu wa vifaa vya vya kisiasa vya kuhudumia bandari.

3. Usimamizi mbovu wa bandari.

4. Upigaji mkubwa bandarini.

5. Uwezo mdogo wa meli kubwa na nyingi kutia nanga.

6. Wizi mkubwa bandarini.

Bandari zetu zinahudumia nchi nyingi zinazotuzunguuka ambazo hazina bandari tangu wakati wa ukoloni hadi Leo hii. Huduma ni mbovu sana tangu enzi hizo lakini hakuna mtu aliyewahi kuandamana kupinga huduma mbovu zinazotolewa hata pale wateja wa bandari zetu wanapolalamikia huduma mbovu na wizi hadi kutishia kutuhama. Ubovu huu ulikuwepo kwenye awamu zote za uongozi.

Nikizitizama sura na majina ya wanaotaka kuandamana kupinga bandari isikodishwe kwa DP World kampuni kutoka Dubai wengi wana harufu ya wale waliokuwa wakinufaika na ulegelege wa usimamizi wa bandari, wangetaka status quo bandarini pale, na ni wale wale wanaopinga kila kitu Cha uarabuni. Yaani kule uarabuni hakuna zuri lolote zaidi ya dini yao.

Hivi ni kweli tatizo la mkataba ni kukosekana ukomo wa muda TU? Mbona hata kwenye mkataba wa ndoa hakuna muda lakini wanandoa wanaachana na kutengana pia? Je, kama ukomo utawekwa mkataba utakuwa halali?

Ujinga kama huu ndio unawafanya watawala kuwa madikteta hata kama hawataki kuwa hivyo kwa watu wake. Yaani mtu Yuko radhi hali iwe hivyo hivyo kwa maslahi yake na kundi lake TU. Katiba yetu inamruhusu Rais kuwa dikteta kama akipenda aina hiyo ya leadership style.

Wako watu wanaopinga mkataba kwa sababu za kweli, wengine ujinga TU, wengine kwa wivu wa awamu ya 6 kufanikisha, wengine kwa maslahi yao TU na wengine kwasababu za kidini TU.

Hao tunaowapa bandari yetu lazima tuwape malengo na indicators ili wakifanye kile tunachokusudia kutoka kwao, na ni nini Chakufanya na kutokea (consequences) kama malengo yanakwenda kinyume na expectations, Lakini sio kupinga uwekezaji huu.
Ukiwa 'tunaiuza' Kwa sababu ulizotaja, tutauza Kila kitu mpaka Tanzania yenyewe. Huyu rais (simaanishi Samia bali rais wa Tanzania) ameshindwa kusimamia watendaji kwanini tusilete rais kutoka nje? Ccm na serikali yake imeshindwa kuleta maendeleo yanayolingana na rasilimali tulizonazo, kwanini tusifikirie kuiuza?
Katika mjadala huu sjasikia hata mchangiaji mmoja aliyepinga uwekezaji. Wanapiga kelele, pamoja na mimi, wote wanapingamkataba ule na vipengele vyake. Lazima serikali itoe majibu ya kuridhisha. Masuala makubwa yanayohusu hatima ya taifa hili kwa vizazi na vizazi huwezi kulinganisha na ndoa yako na mmeo au mkeo.
Nasikia mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana. Je, kwanini usainiwe kabla ya kufikishwa bungeni? Na tumeona majadiliano pale bungeni, jinsi spika alivyogeuka kuwa mwanasheria wa serikali- anatetea serikali dhidi ya wabunge wanaohoji, badala ya kusimamia mhimili wake. Kuna suala la ziara ya wbunge Dubai, na mambo mengine mengi. Harufu ya rushwa kuwa inanuka.
 
Yeye na sisi watanzania tunajitambua. Btw unanufaikaje na madini na gesi ya Tanzania- I mean manufaa uliyotajiwa wakati mikataba IL inapitishwa harakaharka umeyaona? Vipi kuhusu ngorongoro? Umeshaambiwa waliogharamia royal tour?
Huutaki wewe na nani?
 
Ukiwa 'tunaiuza' Kwa sababu ulizotaja, tutauza Kila kitu mpaka Tanzania yenyewe. Huyu rais (simaanishi Samia bali rais wa Tanzania) ameshindwa kusimamia watendaji kwanini tusilete rais kutoka nje? Ccm na serikali yake imeshindwa kuleta maendeleo yanayolingana na rasilimali tulizonazo, kwanini tusifikirie kuiuza?
Katika mjadala huu sjasikia hata mchangiaji mmoja aliyepinga uwekezaji. Wanapiga kelele, pamoja na mimi, wote wanapingamkataba ule na vipengele vyake. Lazima serikali itoe majibu ya kuridhisha. Masuala makubwa yanayohusu hatima ya taifa hili kwa vizazi na vizazi huwezi kulinganisha na ndoa yako na mmeo au mkeo.
Nasikia mkataba ulisainiwa tangu mwaka Jana. Je, kwanini usainiwe kabla ya kufikishwa bungeni? Na tumeona majadiliano pale bungeni, jinsi spika alivyogeuka kuwa mwanasheria wa serikali- anatetea serikali dhidi ya wabunge wanaohoji, badala ya kusimamia mhimili wake. Kuna suala la ziara ya wbunge Dubai, na mambo mengine mengi. Harufu ya rushwa kuwa inanuka.
Ni mikataba mingapi tangu hii nchi ipate uhuru iliyofikishwa na kujadiliwa bungeni kabla ya usainiwa? Binafsi ninamuona Mama Samia kama Rais anaeleta mapinduzi kwenye siasa zetu. DP World wana uzoefu na viongozi wa kiafrika, ndio maana unaiona hofu yao ya kupoteza mali zao kwenye mkataba huu. Huu ni uwekezaji mkubwa sana ambao unakwenda kuleta ushindani mkubwa kwenye bandari za Kenya, Msumbiji, Angola na Durban, ni mkataba ambao majizi hatakosa mahali pa kutia mkono, ni uwekezaji ambao unakwenda kumpaisha Rais Samia na CCM yake, ni mkataba ambao misamaha ya kodi itakuwa mashakani, na vilevile ni mkataba ambao huenda Tanzania itasogemea safu za mbele kwenye uchumi na kujitemea kwa kiasi kikubwa bila kusubiri misaada ya Westerns.

Hivyo mimi sidhangai kuziona kelele nyingi kiasi hiki kutoka kwa watu ambao walikuwa kimya wakati Kigamboni, nyumba za serikali, mashirika ya umma na madini yetu vinauzwa kihuni. Rais wetu aache kusikiliza sauti za "huyo huyo mchinje mchinje" badala yake alete "change" kwa kutumia nguvu za kikatiba alizonazo sasa.
 
Binafsi ninawashamgaa wale wanaotaka kuizuia serikali hii ya Mama Samia kutekeleza majumu yake kwa kutumia nguvu za kikatiba tulizowapatia wenyewe kuiongezea bandari yetu ufanisi.. Tukumbuke kuwa nguvu hizi za kikatiba ndizo zilizotumiwa na Marais wetu waliopita kutaifisha Mali za wazungu, mashule ya makanisa na kuwapa wananchi, kutumia nguvu kujenga vijiji vya ujamaa, kupigana na Idd Amin, makaburu na wareno, kuruhusu biashara huria/holela (ruksa), kusita uhusiano na Israel, kurudisha uhusiano na Israel, kupiga vita kujiunga na OIC, serikali kuhamia Dodoma kibabe, nk. Sasa hivi Kuna watu wanaotamani Rais huyu asiwe na nguvu hizi za kikatiba. Wacha katiba yetu ifanye kazi.
 
Yeye na sisi watanzania tunajitambua. Btw unanufaikaje na madini na gesi ya Tanzania- I mean manufaa uliyotajiwa wakati mikataba IL inapitishwa harakaharka umeyaona? Vipi kuhusu ngorongoro? Umeshaambiwa waliogharamia royal tour?
Kwani wale twiga walipanda ndege kwenye awamu ipi? Kwani hii SGR yetu inajengwa kwa hela ya kutoka wapi?
 
Inafahamika kuwa bandari zetu zinatoa huduma hafifu sana kwa wateja wake wanaozitegemea kwa huduma.

Inafahamika kuwa bandari zetu hazitoi mapato yanayokusudiwa kwa taifa kwasababu mbalimbali zikiwemo zile za:

1. Ukosefu wa utaalam wa kuendesha bandari.

2. Ukosefu wa vifaa vya vya kisiasa vya kuhudumia bandari.

3. Usimamizi mbovu wa bandari.

4. Upigaji mkubwa bandarini.

5. Uwezo mdogo wa meli kubwa na nyingi kutia nanga.

6. Wizi mkubwa bandarini.

Bandari zetu zinahudumia nchi nyingi zinazotuzunguuka ambazo hazina bandari tangu wakati wa ukoloni hadi Leo hii. Huduma ni mbovu sana tangu enzi hizo lakini hakuna mtu aliyewahi kuandamana kupinga huduma mbovu zinazotolewa hata pale wateja wa bandari zetu wanapolalamikia huduma mbovu na wizi hadi kutishia kutuhama. Ubovu huu ulikuwepo kwenye awamu zote za uongozi.

Nikizitizama sura na majina ya wanaotaka kuandamana kupinga bandari isikodishwe kwa DP World kampuni kutoka Dubai wengi wana harufu ya wale waliokuwa wakinufaika na ulegelege wa usimamizi wa bandari, wangetaka status quo bandarini pale, na ni wale wale wanaopinga kila kitu Cha uarabuni. Yaani kule uarabuni hakuna zuri lolote zaidi ya dini yao.

Hivi ni kweli tatizo la mkataba ni kukosekana ukomo wa muda TU? Mbona hata kwenye mkataba wa ndoa hakuna muda lakini wanandoa wanaachana na kutengana pia? Je, kama ukomo utawekwa mkataba utakuwa halali?

Ujinga kama huu ndio unawafanya watawala kuwa madikteta hata kama hawataki kuwa hivyo kwa watu wake. Yaani mtu Yuko radhi hali iwe hivyo hivyo kwa maslahi yake na kundi lake TU. Katiba yetu inamruhusu Rais kuwa dikteta kama akipenda aina hiyo ya leadership style.

Wako watu wanaopinga mkataba kwa sababu za kweli, wengine ujinga TU, wengine kwa wivu wa awamu ya 6 kufanikisha, wengine kwa maslahi yao TU na wengine kwasababu za kidini TU.

Hao tunaowapa bandari yetu lazima tuwape malengo na indicators ili wakifanye kile tunachokusudia kutoka kwao, na ni nini Chakufanya na kutokea (consequences) kama malengo yanakwenda kinyume na expectations, Lakini sio kupinga uwekezaji huu.
Kiukweli Mimi cna kipingamizi kubinafsisha bandari. Lakini tunapaswa kuangalia mkataba unakiz matakwa ya katiba yetu, je ushirika huo una tija gani ukilinganisha na hasara, je una MANUFAA ya kimkakati Kwa Taifa letu
 
Binafsi ninawashamgaa wale wanaotaka kuizuia serikali hii ya Mama Samia kutekeleza majumu yake kwa kutumia nguvu za kikatiba tulizowapatia wenyewe kuiongezea bandari yetu ufanisi.. Tukumbuke kuwa nguvu hizi za kikatiba ndizo zilizotumiwa na Marais wetu waliopita kutaifisha Mali za wazungu, mashule ya makanisa na kuwapa wananchi, kutumia nguvu kujenga vijiji vya ujamaa, kupigana na Idd Amin, makaburu na wareno, kuruhusu biashara huria/holela (ruksa), kusita uhusiano na Israel, kurudisha uhusiano na Israel, kupiga vita kujiunga na OIC, serikali kuhamia Dodoma kibabe, nk. Sasa hivi Kuna watu wanaotamani Rais huyu asiwe na nguvu hizi za kikatiba. Wacha katiba yetu ifanye kazi.
Kwa nin wanaharaka sana katka swala Hilo? Wanasheria, wanauchumi, na wanadiplomasia why wasipewe muda wa kutosha kushea katika hili Kwa gharama za serikali Ili waujadr mkataba, watoe maagizo Kwa serikari juu ya maeneo yanayotakiwa kuboreshwa
 
Binafsi ninawashamgaa wale wanaotaka kuizuia serikali hii ya Mama Samia kutekeleza majumu yake kwa kutumia nguvu za kikatiba tulizowapatia wenyewe kuiongezea bandari yetu ufanisi.. Tukumbuke kuwa nguvu hizi za kikatiba ndizo zilizotumiwa na Marais wetu waliopita kutaifisha Mali za wazungu, mashule ya makanisa na kuwapa wananchi, kutumia nguvu kujenga vijiji vya ujamaa, kupigana na Idd Amin, makaburu na wareno, kuruhusu biashara huria/holela (ruksa), kusita uhusiano na Israel, kurudisha uhusiano na Israel, kupiga vita kujiunga na OIC, serikali kuhamia Dodoma kibabe, nk. Sasa hivi Kuna watu wanaotamani Rais huyu asiwe na nguvu hizi za kikatiba. Wacha katiba yetu ifanye kazi.
Haieleweki hoja yako ni ipi
 
Inafahamika kuwa bandari zetu zinatoa huduma hafifu sana kwa wateja wake wanaozitegemea kwa huduma.

Inafahamika kuwa bandari zetu hazitoi mapato yanayokusudiwa kwa taifa kwasababu mbalimbali zikiwemo zile za:

1. Ukosefu wa utaalam wa kuendesha bandari.

2. Ukosefu wa vifaa vya vya kisiasa vya kuhudumia bandari.

3. Usimamizi mbovu wa bandari.

4. Upigaji mkubwa bandarini.

5. Uwezo mdogo wa meli kubwa na nyingi kutia nanga.

6. Wizi mkubwa bandarini.

Bandari zetu zinahudumia nchi nyingi zinazotuzunguuka ambazo hazina bandari tangu wakati wa ukoloni hadi Leo hii. Huduma ni mbovu sana tangu enzi hizo lakini hakuna mtu aliyewahi kuandamana kupinga huduma mbovu zinazotolewa hata pale wateja wa bandari zetu wanapolalamikia huduma mbovu na wizi hadi kutishia kutuhama. Ubovu huu ulikuwepo kwenye awamu zote za uongozi.

Nikizitizama sura na majina ya wanaotaka kuandamana kupinga bandari isikodishwe kwa DP World kampuni kutoka Dubai wengi wana harufu ya wale waliokuwa wakinufaika na ulegelege wa usimamizi wa bandari, wangetaka status quo bandarini pale, na ni wale wale wanaopinga kila kitu Cha uarabuni. Yaani kule uarabuni hakuna zuri lolote zaidi ya dini yao.

Hivi ni kweli tatizo la mkataba ni kukosekana ukomo wa muda TU? Mbona hata kwenye mkataba wa ndoa hakuna muda lakini wanandoa wanaachana na kutengana pia? Je, kama ukomo utawekwa mkataba utakuwa halali?

Ujinga kama huu ndio unawafanya watawala kuwa madikteta hata kama hawataki kuwa hivyo kwa watu wake. Yaani mtu Yuko radhi hali iwe hivyo hivyo kwa maslahi yake na kundi lake TU. Katiba yetu inamruhusu Rais kuwa dikteta kama akipenda aina hiyo ya leadership style.

Wako watu wanaopinga mkataba kwa sababu za kweli, wengine ujinga TU, wengine kwa wivu wa awamu ya 6 kufanikisha, wengine kwa maslahi yao TU na wengine kwasababu za kidini TU.

Hao tunaowapa bandari yetu lazima tuwape malengo na indicators ili wakifanye kile tunachokusudia kutoka kwao, na ni nini Chakufanya na kutokea (consequences) kama malengo yanakwenda kinyume na expectations, Lakini sio kupinga uwekezaji huu.
Mimi nafkiri, tusiconclude hivyo, Nia ya Serikali ni njema sana kwenye hili swala, na nafkiri hakuna anayekataa, kwani ni kweli kabisa bandari zetu hazionyeshi improvement yoyote ile katika ufanisi. Mh.Rais aliwahi kusema siku moja ya kwamba, tukitumia bandari yetu kwa ufanisi hata kiasi chote cha bajeti kinatakiwa kitoke kwa mapato yanayokusanywa bandarini (Customs etc).hapo ukiongeza sekta nyingine zenye rasilimali tulizopewa na Mungu kama Utalii,Madini,maliasili etc inaonyesha yote hayo ni mambo mema sana kwani hata huku ndani (domestic taxes kwa wananchi) hatutabanana sana 😂.So juhudi husika za serikali kutafuta mbia,na kumpata DP world ambaye kati ya wabia wote waliokuwa evaluated yeye hakuna ubishi ni the best,hivyo ni swala jema sana hilo.Ila tu kinachozungumzwa na kutia doa hivyo kufanya hata wasiotakia nia njema kutembea humo humo, ni baadhi ya vipengele katika uandishi wa Mkataba wa IGA, kwakuwa hili ni swala la kitaifa, linalohusisha maslahi ya nchi na wananchi, ni vyema kwa serikali kujishusha kidogo na kuangalia vile vipengele ambavyo wananchi na wasomi wamevitilia shaka, kujaribu kuwasiliana na Emirati, viwekwe sawa zaidi ili kuondoa ambiguities na vieleweke hasa zaidi kwa wananchi, halafu revised edition itolewe publicly kupitia Bunge wananchi waridhike, then mikataba mingine iendelee.Hiii itajenga confidence kwa wananchi na kujibu hizi hoja,kwani likiachwa hivi, wale wabaya watatambaa na hoja za upotoshaji hivyo kufanya jambo zima kuonekana baya(kwani ndio ajenda zao kwa sasa) wakati nia ni jema sana,na Mbia husika DP World hakuna shaka yoyoye ya financial and technical powers alizonazo hivyo kututoa hapa tulipo.Nawasilisha
 
Kiukweli Mimi cna kipingamizi kubinafsisha bandari. Lakini tunapaswa kuangalia mkataba unakiz matakwa ya katiba yetu, je ushirika huo una tija gani ukilinganisha na hasara, je una MANUFAA ya kimkakati Kwa Taifa letu
Hivi unadhani serikali yetu ni wajinga kiasi Cha kuiuza bandari na nchi yetu? Hofu zetu zinaletwa na makuwadi wa waliokuwa wakifaidika na hali ya mambo bandarini. Nakumbuka hata Baba wa taifa alilaumu sana bila kufua dafu wakati serikali ya Mkapa ilipouza benk yetu kubwa nchini, viwanda vya bia, sigara na sukari wakati wanywaji bia, wavuta sigara na wanywa chai wako kibao tayari ni kiasi TU Cha kuongeza uzalishaji. Lakini Mkapa hakumsikiliza akaviuza TU bila kujali, Leo hii kiwanda Cha bia, NMB, NBC na sigara wanatoa gawio serikalini kuliko hapo awali. Wacha mama aboreshe bila kujali kelele za wasioona mbali na wezi wetu wa bandarini.
 
Back
Top Bottom