Suala la Covid19, nimegundua Wachina, Wazungu wana roho mbaya

Suala la Covid19, nimegundua Wachina, Wazungu wana roho mbaya

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo.

Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara.

Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.

Ningekuwa nina uwezo wa kumshawishi Mola kama yule Musa wa kwenye Biblia ningeomba Covid Afrika iwe kama kwikwi tu unakunywa maji inaenda alafu kwa wazungu na wachina Iwe kama ile Ngoma ya miaka ya 90 isiue haraka haraka. Ihakikishe wazungu wanapandisha hadi kenchi angalau mwaka mmoja hivi ili tuheshimiane.

Ila hakuna namna ngoja tupige dua tu kadudu na mapepo ya Covid yarudi Wuhan na ulaya huko yalikotoka sisi tuendelee na maisha.

Naelewa sana mtu akisema tujitegemee
 
Kwenye HIV Africa tumekosa dawa na wao wamekosa kwahiyo ngoma droo

Ila kwenye Korona Waafrika wengi tumebainisha tumepata dawa zetu za asili za kupambana na huo ugonjwa, vile vile Wazungu pia wamepata Dawa zao(Chanjo) kwahiyo hapo Pia ngoma droo!

Iko hivi, kila mtu ashinde mechi zake mzee baba.
 
Kwenye HIV Africa tumekosa dawa na wao wamekosa kwahiyo ngoma droo...
Mkuu Dawa ya kiafrika in IPI hiyo mkuu, nitonye niisake nikae nayo ndani kwa tahadhari ikitokea mi nabugia tu.
 
Mliosoma syllabus za zamani za ujamaa chuki itakuuweni.

Ndui,ebola,zika, malaria nk mbona wamepambana nazo Hadi kuzizibiti na Hali wao sio waathirika.

Ubaguzi na chuki dhidi ya wazungu utakuuweni.
 
Mliosoma syllabus za zamani za ujamaa chuki itakuuweni.
Ndui,ebola,zika, malaria nk mbona wamepambana nazo Hadi kuzizibiti na Hali wao sio waathirika.
Ubaguzi na chuki dhidi ya wazungu utakuuweni.
Tunazungumzia HIV Mkuu.
Hivyo wamepambana vipi, tuliambiwa na mtaalam kuna zika, akatumbuliwa na hiyo zika haikuwahi kuonekana. Huyo ni tugonjwa TWA msimu tu.

Hao jamaa zako sio wema kihivyo. Hata ndui tukikagua tunaweza kukuta nako kuna chenga sema zamani uelewa na uwezo wa kuhoji haukuwa Mkubwa kwa sababu ya ufinyu wa taarifa. Wenda iliouzwa tu.
 
Tunazungumzia HIV Mkuu.
Hivyo wamepambana vipi, tuliambiwa na mtaalam kuna zika, akatumbuliwa na hiyo zika haikuwahi kuonekana. Huyo ni tugonjwa TWA msimu tu.

Hao jamaa zako sio wema kihivyo. Hata ndui tukikagua tunaweza kukuta nako kuna chenga sema zamani uelewa na uwezo wa kuhoji haukuwa Mkubwa kwa sababu ya ufinyu wa taarifa. Wenda iliouzwa tu.
Bila wao hio HIV ingemaliza watu.Mwafrika anaposhindwa kutatua matatizo yake umtupia lawama Mzungu.

Kwann asikuue kwenye cocacola, pepsi, colgate,asubirie corona.Contena la meli uchukua si chini ya mwezi kufika bongo hivyo virus vinaweza kaa mwezi mzima vikisuburia kuja kumua mwafrika?Mkizoea kuuwa watu mnadhani KILA mtu ni muuaji.
 
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo...

Mkuu tuchukue lipi tuache lipi?

Huku tunaambiwa covid ni vita vya kiuchumi mlengwa sisi. Yaani mzee baba kwa niaba yetu.

Wewe unatuambia hili gonjwa balaa mzungu na mchina wote wamelivulia kofia.

Nani anatudanganya wewe au mzee baba na genge lake?
 
Ni bahati mbaya sana kwamba sisi Waafrika tuna kitu ambacho huwa napenda kukiita "a nagging wife attitude". Yaani sisi ni WALALAMISHI kwa chochote kile. Sisi siku zote ni wahanga tu.

Pia, tunaamini kwamba "wazungu" wana wajibu wa kututengenezea madawa/chanjo na kutuletea. Huku sisi tumejibweteka as if sisi vichwani tuna "kamasi". Kwani nani alikataza Mwafrika asitengeneze chanjo ya HIV au Malaria kwa mfano? Na kwa nini tunadhani kwamba "wazungu" ndo wana jukumu la kutengeneza chanjo za magonjwa ambayo yanatuua sisi Waafrika?

Kwani sisi Waafrika tumewahi kutengeneza chanjo ipi? Tuache uzwazwa wa kuwalaumu wazungu eti hawajatengeneza chanjo sijui ya HIV au Malaria. Kwani sisi tumeshindwa nini?

Tuache udwanzi.
Cha ajabu, huyo mungu wa biblia unaemuomba kaletwa na hao hao wazungu unaowalaumu hawajakuletea chanjo ya HIV na Malaria. Shukuru hata wamekuletea huyo mungu ambae sasa unataka umuombe atoe "mapepo" ya covid Afrika ayarudishe kwa hao hao waliomleta. Wonders.

Tuache udwanzi Waafrika aisee.
matunduizi
 
Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.
Taja na Ebola
 
Ni bahati mbaya sana kwamba sisi Waafrika tuna kitu ambacho huwa napenda kukiita "a nagging wife attitude". Yaani sisi ni WALALAMISHI kwa chochote kile. Sisi siku zote ni wahanga tu.

Pia, tunaamini kwamba "wazungu" wana wajibu wa kututengenezea madawa/chanjo na kutuletea. Huku sisi tumejibweteka as if sisi vichwani tuna "kamasi". Kwani nani alikataza Mwafrika asitengeneze chanjo ya HIV au Malaria kwa mfano? Na kwa nini tunadhani kwamba "wazungu" ndo wana jukumu la kutengeneza chanjo za magonjwa ambayo yanatuua sisi Waafrika?

Kwani sisi Waafrika tumewahi kutengeneza chanjo ipi? Tuache uzwazwa wa kuwalaumu wazungu eti hawajatengeneza chanjo sijui ya HIV au Malaria. Kwani sisi tumeshindwa nini?

Tuache udwanzi.
Cha ajabu, huyo mungu wa biblia unaemuomba kaletwa na hao hao wazungu unaowalaumu hawajakuletea chanjo ya HIV na Malaria. Shukuru hata wamekuletea huyo mungu ambae sasa unataka umuombe atoe "mapepo" ya covid Afrika ayarudishe kwa hao hao waliomleta. Wonders.

Tuache udwanzi Waafrika aisee.
matunduizi

Watuna chuki na wazungu ni ndugu zetu ki globaly , tunaepuka watu monopolise kila kitu , madagascar walitengeneza dawa ndugu zetu hawa wakaipinga , tuna dawa zetu na mkemia wetu mkuu wa nchi ( Tz) kadhibitisha ndugu zetu hawa hawataki kukubali nimri , sido product zetu tungesifiwa tungekubali chanjo haraka , inmported barakoa nk , vita ya uchumi ina nyanja nyingi za kujipatia NI ( pato la Taifa) ukisikia Tz ina pato ghafi la $ bn 64 ni ya 9 Africa katibya nch 55 za africa ujue kuimarisha uchumi kuna hitaji uangalifu mi niitq defensive economy kivyangu nikimaanisha uchumi wa kujilinda mbinu hata UK wametumia kujiaondoa jumuiya ya EU ni ili ajiimarishe.
 
Hapa ndo utaona waafrika ilivyo jaza wapumbavu wengi .
Kwani ni ni sheria ipi au andiko gani kwenye Qruan au biblia linalo warazimisha wazungu kutatua matatizo ya waafirika?
Yaan badala ya kuwalaumu na kuwawajibisha viongozi wenu wanao tumia kodi zenu kununua magari ya million 450 kwa ajili ya kutembelea badala wangezitumia kuwekeza kwenye tafiti ya sayansi ya tiba .
Badala yake una taka wazungu watumie kodi za raia wao kutatua matatizo yenu ambayo kimsingi viongozi wetu ndo chazo cha hayo matatizo.
 
Tunazungumzia HIV Mkuu.
Hivyo wamepambana vipi, tuliambiwa na mtaalam kuna zika, akatumbuliwa na hiyo zika haikuwahi kuonekana. Huyo ni tugonjwa TWA msimu tu.

Hao jamaa zako sio wema kihivyo. Hata ndui tukikagua tunaweza kukuta nako kuna chenga sema zamani uelewa na uwezo wa kuhoji haukuwa Mkubwa kwa sababu ya ufinyu wa taarifa. Wenda iliouzwa tu.

Si mtengeneze za kwenu? Kila siku wazungu wazungu km mmekosa kazi za kufanya.
 
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo.

Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara.

Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.

Ningekuwa nina uwezo wa kumshawishi Mola kama yule Musa wa kwenye Biblia ningeomba Covid Afrika iwe kama kwikwi tu unakunywa maji inaenda alafu kwa wazungu na wachina Iwe kama ile Ngoma ya miaka ya 90 isiue haraka haraka. Ihakikishe wazungu wanapandisha hadi kenchi angalau mwaka mmoja hivi ili tuheshimiane.

Ila hakuna namna ngoja tupige dua tu kadudu na mapepo ya Covid yarudi Wuhan na ulaya huko yalikotoka sisi tuendelee na maisha.

Naelewa sana mtu akisema tujitegemee
Upumbavu. Ugonjwa unaumwa wewe unataka wanaume wenzio wakitafutie dawa na unadai kama ni haki yako. Huku wewe umekarisha tu Makalio yako.....
 
Back
Top Bottom