zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Yaani nasoma comments humu nabaki mdomo wazi, watu wanapenda ujuaji sana hata kwa masuala wasiyokua na utaalam nayo. TZ kila mtu ni mjuaji.Tufundishe kunyamaza, wabongo kila mtu ni mhandisi, kocha,teacher,master, na wataalamu wengine wa kola nyanja
Sasa huyo Makamba alikuweko kwenye kutengeneza hiyo '' Action Plan''?Unaonyesha umburula wako! Hivi hakuna action plan ya kutekeleza mradi huo? Na kama ipo walisahau kuweka ununuzi wa hiyo crane?
Sasa ndiyo umeamua kumpaka mavi kabisa huyo Makamba.
Na wee pia mpumbavu! Action plan inatengenezwa na waziri?Sasa huyo Makamba alikuweko kwenye kutengeneza hiyo '' Action Plan''?
Wapi nimesema waziri anatengeneza Action Plan? Au nikuandikie Kilambya ndio utaelewaNa wee pia mpumbavu! Action plan inatengenezwa na waziri?
Unayo akili timamu?Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?
Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.
Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently). Alichokisema Mhe.
Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.
Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri.
Asad siyo Mhandisi, yeye anachojua ni matumizi ya hela tu; swala la uhandisi lilingiaje katika ripoti yake?Nakumbuka kwenye ripoti moja ya CAG Mussa Asad ilisema hilo bwawa linajengwa kwa uholela mkubwa, na kuna hatari kubwa huko mbeleni. Haukupita muda kingo za hilo bwawa zilipasuka na kupelekea mafuriko makubwa mikoa ya Lindi. Lakini chini ya Magufuli ilikuwa ni hatari kubwa vyombo vya habari kuripoti janve hilo. Ripoti hii ni sehemu iliyosababisha chuki kubwa sana ya Magufuli kwa CAG Assad, na kazi hiyo ya kumnyoosha Assad alipewa Ndugai.
Kinachomtesa Makamba Sasa ni kuficha ukweli wa changamoto za hilo bwawa. Hakuna chochote Makamba ataongea aeleweke, maana kuna uongo mkubwa sana wananchi walilishwa enzi za Magufuli kuhusu hilo bwawa. Na akina Januari nao inabidi waongee uongo wao mwingine kwa sababu ya sifa za kisiasa. Hakuna anayethubutu kusema ukweli kuhusu huo mradi maana utakuwa na madhara makubwa kwa chama Chao na serikali. Magufuli alivuruga uchaguzi na kujaza wanaccm kwenye chaguzi zote, ili kuficha ukweli wa mambo haya aliyokuwa ameyafanya.y
Kwani si kuna kabinet ya wataalum wa hiyo sektaAsad siyo Mhandisi, yeye anachojua ni matumizi ya hela tu; swala la uhandisi lilingiaje katika ripoti yake?
Accounting na auditing havina uhusiano kabisa na engineering. Kazi za ofis ya CAG ni kukagua mahesabu ya pesa za umma, siyo kukagua ubora wa miradi ya kihandisi. Wafanyakjazi chini ya osii ya CAG ni wakaguzi wa mahesabu tu.Kwani si kuna kabinet ya wataalum wa hiyo sekta
Tunataka kujua crane limefika wapi?Mbna sijaelewa hapa
Performance audit Ina factor in mambo mengi sio Hela tu hata man power, performance gaps, scheduling, logistics n.k.Asad siyo Mhandisi, yeye anachojua ni matumizi ya hela tu; swala la uhandisi lilingiaje katika ripoti yake?
Sio kweli, forensic Auditing au performance auditing inaenda deep zaidi. Kingine CAG hatumii wahasibu wa NAO pekee inahusisha hata private firms kama PWC maana hawezi kagua taasisi zote au miradi yote peke yake. So wanakuja wataalam wa Kila aina kutoa maoni Yao kulingana na performance indicators.Accounting na auditing havina uhusiano kabisa na engineering. Kazi za ofis ya CAG ni kukagua mahesabu ya pesa za umma, siyo kukagua ubora wa miradi ya kihandisi. Wafanyakjazi chini ya osii ya CAG ni wakaguzi wa mahesabu tu.