Suala la crane kujaza maji bwawa la Nyerere limeonesha ukilaza na ushabiki mbaya

Suala la crane kujaza maji bwawa la Nyerere limeonesha ukilaza na ushabiki mbaya

Mtoa mada Una matatizo makubwa Sana ya akili

FEN1qcFWUAQRG2o.jpeg
 
Ila Mungu nisamehe... Ila makamba na nape na team msoga wanaipeleka nchi pabaya.... Wamecheza na parody kigogo kumwangusha magufuri na kutoa Siri Zach nchi... Sasa wapo busy kutengeneza miradi ya upigaji... Gasi... Sijui mafuta now wanahujumu tanesco... Kwote wanalenga mamiradi makubwa ti
 
Unaonyesha umburula wako! Hivi hakuna action plan ya kutekeleza mradi huo? Na kama ipo walisahau kuweka ununuzi wa hiyo crane?

Sasa ndiyo umeamua kumpaka mavi kabisa huyo Makamba.
Sasa huyo Makamba alikuweko kwenye kutengeneza hiyo '' Action Plan''?
 
Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?

Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.

Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently). Alichokisema Mhe.

Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.

Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri.
Unayo akili timamu?
 
Nakumbuka kwenye ripoti moja ya CAG Mussa Asad ilisema hilo bwawa linajengwa kwa uholela mkubwa, na kuna hatari kubwa huko mbeleni. Haukupita muda kingo za hilo bwawa zilipasuka na kupelekea mafuriko makubwa mikoa ya Lindi. Lakini chini ya Magufuli ilikuwa ni hatari kubwa vyombo vya habari kuripoti janve hilo. Ripoti hii ni sehemu iliyosababisha chuki kubwa sana ya Magufuli kwa CAG Assad, na kazi hiyo ya kumnyoosha Assad alipewa Ndugai.

Kinachomtesa Makamba Sasa ni kuficha ukweli wa changamoto za hilo bwawa. Hakuna chochote Makamba ataongea aeleweke, maana kuna uongo mkubwa sana wananchi walilishwa enzi za Magufuli kuhusu hilo bwawa. Na akina Januari nao inabidi waongee uongo wao mwingine kwa sababu ya sifa za kisiasa. Hakuna anayethubutu kusema ukweli kuhusu huo mradi maana utakuwa na madhara makubwa kwa chama Chao na serikali. Magufuli alivuruga uchaguzi na kujaza wanaccm kwenye chaguzi zote, ili kuficha ukweli wa mambo haya aliyokuwa ameyafanya.y
Asad siyo Mhandisi, yeye anachojua ni matumizi ya hela tu; swala la uhandisi lilingiaje katika ripoti yake?
 
Kwani si kuna kabinet ya wataalum wa hiyo sekta
Accounting na auditing havina uhusiano kabisa na engineering. Kazi za ofis ya CAG ni kukagua mahesabu ya pesa za umma, siyo kukagua ubora wa miradi ya kihandisi. Wafanyakjazi chini ya osii ya CAG ni wakaguzi wa mahesabu tu.
 
Nimekuelewa vyema sana kitalaam..
Kifupi Waziri hakueleweka na raia walifikiri au tulifikiri kinachoongelewa ni just crane ya 26tone, kwa maana ya crane yeyote..

Kumbe, kinachohitajika nafikiri ni aina ya Gant crane, itakayokuwa fixed hapo permanently kwa jili kubebea milango kwenye Installation na wakati wa shutdown pia.... hizi huwa ni special na zinakuwa ni package ya Construction kwa maana zipo mpaka kwenye design.. huwa normally kwenye hydro plant na maplant mengine yanayoinvolve heavy lift kuna kuwaga sometimes na mounted crane ambazo ni fixed as part of design...

Viongozi wetu wajiepusha kutolea maelezo mambo ya kitaalam ambayo yanahitaji deep clarification ili kuepuka mikanganyiko..
 
Asad siyo Mhandisi, yeye anachojua ni matumizi ya hela tu; swala la uhandisi lilingiaje katika ripoti yake?
Performance audit Ina factor in mambo mengi sio Hela tu hata man power, performance gaps, scheduling, logistics n.k.
 
Accounting na auditing havina uhusiano kabisa na engineering. Kazi za ofis ya CAG ni kukagua mahesabu ya pesa za umma, siyo kukagua ubora wa miradi ya kihandisi. Wafanyakjazi chini ya osii ya CAG ni wakaguzi wa mahesabu tu.
Sio kweli, forensic Auditing au performance auditing inaenda deep zaidi. Kingine CAG hatumii wahasibu wa NAO pekee inahusisha hata private firms kama PWC maana hawezi kagua taasisi zote au miradi yote peke yake. So wanakuja wataalam wa Kila aina kutoa maoni Yao kulingana na performance indicators.

Ndio maana hata wakatoa maoni jinsi stendi ya magufuli italeta foleni (of course it's quintified in terms of monetary value) so haihitaji engineering kujua performance indicators ni Nini na kilichofanyika ni Nini based on the experts in the field who are deployed as "auditors".
 
Back
Top Bottom