MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
funga ndoa kwa dini mtakayikubalina na huyo mchumba wako,hiyo ndoa ni yako sio ya mama yakoWakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
Sio vibaya kusikiliza ushauri, hiyo dini ni ya wazazi, unaweza kusilimu au popote panapokufaa, ila suala la ndoa ni la kwako, linahitaji umwekee kila mtu mipaka.Fanya kile unachokipenda, sikiliza ushauri kwa kiasi kidogo sana kwenye ndoa, asilimia kubwa jisikilize, zingatia hili mkuu.Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
Oi ndio mimi pia. Nikaja kwenye comments.Nilipofika hapo mwanachama wa CCM tu nikaacha kusoma huo uzi wako
Wewe una mahangaiko sana na ni mgumu kushaurika. Hata hapa huenda ukata ushauriwe utakavyo wewe. Angalia hapa jinsi unavyoshupaza shingo wakati watu wana kushauri vizuri tu.Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
Ety kijana mdogo tukushauri kwa yupi sasa kati ya Faiza foxy au huyo unaeombea ushauri 😀😀Bibi Faiza Foxy nipe nafasi kwenye moyo wako kama upo Single.... sitajali umri wako nitajitolea kuwa mumeo.
Pole sana mkuu kwa vikwazo hivyo.Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
Ndio kwanza chipukizi huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]37 ni kijana mdogo? Mwana ccm unazingua
Hakuna laana ya namna hiyo we oa kijana wa miaka 37Lakini mbona mvurugano ni mkubwa sana?
Mama anataka ndoa ufunge SDA mchumba yeye KKKT wewe mwenye jukumu lako Catholic aisee chief set kwanza haya mambo vizuri,kama baba yupo mueleze ukweli yeye ndiye mwepesi zaidi kuelewa ataenda kumuelewesha mkewe.
Miaka 37 hujaoa mzee hawezi kutetea hayo mambo ya imani yeye atakuharakisha umalize haraka uanze familia
Kwahiyo kwa CCM ukiwa 37 unaonekana kama kijana mdogo??[emoji2]