Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Watu wana makasiriko sana
Sasa kusema yeye ni CCM basi mmefura hatari [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wana makasiriko sana
Sasa kusema yeye ni CCM basi mmefura hatari [emoji23]
Ulivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM.
Punguza chukiUlivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.
Sana sana nikiweza sana basi ushauri wa kuwaingiza mkenge
Au tuseme mwenyekiti uvccm maana kasema yeye ni "kijana mdogo" 🤣Kwan mwenyekiti wa chama yy anasemaje?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ulivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.
Sana sana nikiweza sana basi ushauri wa kuwaingiza mkenge
Duuuu 37 uko mbali sanaWakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
Wewe saidia mkuu usijali mtuu yuko wapi wewe ndio malaria mungu Kaduna chief[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ongea na mzee...mbona Mimi naona easy wote nyinyi ni wakristo...Mimi sioni shida...Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.
Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM. Baada ya kumpata msichana tuliyependana nikaona anafaa kwa ndoa. Mkoa niliopo kikazi ni mkoa wa mbali kutoka kwetu. Nilipofikia uamuzi huu nikaona niwapigie wazazi simu na kuwajulisha kwanza nia yangu hii. Baada ya maswali kadhaa wazazi wakaona iko poa tunaweza anza mchakato wa kuelekea ndoa. Ila kwa upande wa mama ndo akaja na jambo linalonifanya niombe ushauri.
Mimi kwetu wasabato wazuri kabisa ila mimi binafsi tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kwenda tofauti na usabato. Imefikia wakati ni kama tu sina dini. Siendi kanisa lolote kwa miaka mingi. Ikitokea nimeenda ni labda msiba, harusi au ibada nyingine maalum. Kwa miaka mingi nimekuwa nikijitafuta sana kuhusu suala la imani kwasababu kwenye SDA siwezi kabisa. Siku za karibuni nimegundua moyo wangu upo kwenye misa ya kwanza ya Roman Catholic. Yaani najiona nikiwa imara kiroho na familia yangu tarajiwa ndani ya RC.
Huyu mchumba wangu ni KKKT ila mama yangu kasema hataki ndoa ya dhehebu lingine zaidi ya SDA (Sabato). Na hata nikilazimisha yeye hatakaa aifurahie. Kimsingi inaonekana baraka zake itakuwa ngumu kuzipata nikifunga ndoa kwenye dhehebu lingine. Hadi sasa sijafikia muafaka na mama.
Nishaurini wakuu.
hatari sana37 ni kijana mdogo? Mwana ccm unazingua
😀😀😀37 ni kijana mdogo? Mwana ccm unazingua