Suala la dini litanikosesha ndoa. Naombeni ushauri

Ndugu msikilize, mama yako, unaweza kulazimisha kuoa vyovyote, na mama yako hasifike kwako utajisikiaje?Usifanye ligi na mama yako, we ongea naye kiupole tu, tutakushauri sisi wanazengo we funga ndoa upendavyo baadaye yatakayotokea sisi hatupo.
 
Wakuu naandika huku nina stress. Huwa ni mzito wa kuongelea mambo yangu ya mapenzi ila hapa JF naona ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri kwasababu kila mtu yupo huru kwa feki ID.

Kiufupi mimi ni kijana mdogo wa miaka 37, mkristo na mwanachama wa CCM.
Ulivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.

Sana sana nikiweza sana basi ushauri wa kuwaingiza mkenge
 
Ulivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.

Sana sana nikiweza sana basi ushauri wa kuwaingiza mkenge
Punguza chuki
 
Ila miccm bwana ni janga kwa hili taifa. No wonder!!!!
 
Ulivyosema tu mwanachama wa CCM sikuendelea hata kusoma. Sinaga Utaratibu wa kuwasaidia chochote watu wa hiki chama japo hata ushauri tu.

Sana sana nikiweza sana basi ushauri wa kuwaingiza mkenge
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duuuu 37 uko mbali sana
Nimeoa nikiwa na 10 years ago mkuu

And bado anasema wewe ni mdogo

Duuu

Nashaurii usigombane na wazazi hata siku moja ongea na mpenzi wako mfunge ndoa SDA

Baada ya hapo mpeleke familia yenu mnakotakaa kiroho

Umri uliofika sio wa kusema nisubiri watoto wako unatakiwa uwalee ukiwa kijana mwenye nguvuu Nguvu Zako zinaenda kukataa mkuu.
 
Ongea na mzee...mbona Mimi naona easy wote nyinyi ni wakristo...Mimi sioni shida...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…