Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #21
Na alivyo na akili ndogo haoni kuna hoja inafuata hapo, Kwa nini Taifa ka watu million 60 tuwe na makocha 42 tu wanaotambulika na CAF?Na ww tumia akili mtu anahoji ishu ya vyeti vya makocha na ufafanuzi wa TFF, unaleta ngonjera za simba na Yanga, kweli hiz clubs zimeharibu akili za watu
Kasomee weww ukocha hujakatazwaNa alivyo na akili ndogo haoni kuna hoja inafuata hapo, Kwa nini Taifa ka watu million 60 tuwe na makocha 42 tu wanaotambulika na CAF?
Hata ukikazwa sawa tu.Kaka nakazia.
Ulitaka wakae kimya hata kwa tuisila walitoa ufafanuzi fasta.serikali ijifunze kwa tffHivi kwann TFF inatumia nguvu nyingi Sana inapokuja kuwasafisha Simba?
Hivi nguvu TFF wangezitumia kwenye timu ya Taifa tungekuwa mbali sana
Mnafungwa kule nyasa,kaa kimyaWana mechi kesho ambayo wanacheza kimataifa hapo kwa Mkapa dhidi ya timu mbovu ya Zalan
Na mechi ya marudiano wanacheza hapo hapo kwa mkapa wakiwa wenyeji, hili wamelikalia kimya wala hawalizungumzi.
Ila trust me favour hii ingemkuta Simba saizi kila mtu angekuwa anahubiri kuwa Simba inapendelewa
Watu sheria za mpira tu hawazijui, ajabu wanataka kujadili level ambayo hawajawahi hata kujua ina operate kwa sheria zipi
Mtu anatumia vigezo vya udereva na ukondakta kutafuta justification kwenye ishu ya Mgunda.
Nyinyi madereva wa Uber na Bolt, zile sheria mlizokutana nazo pale Chang'ombe ni tofauti na CAF
Kule Chang'ombe ni cause ya siku mbili, siku ya tatu upo road unabeba abiria na ndio maana ajili zimekuwa nyingi.
Cheti cha Veta kinapatikana hata kwa connection ya 50k, kule CAF ni mpaka uingine darasani ufaulu viwango walivyoweka.
Mmeelewa?
Hii nayo ni hoja?Na alivyo na akili ndogo haoni kuna hoja inafuata hapo, Kwa nini Taifa ka watu million 60 tuwe na makocha 42 tu wanaotambulika na CAF?
Uhalali wa result slip unaisha pale tu matokeo yanapotangazwa na necta. Matokeo yakishatoka tunataka cheti na sio result slipYanga bana sijui mkoje yani vitu vidogo tu lakini mnaviundia bunge
Halafu unatumia kanuni za Veta kwenye soka kuonesha tatizo
Sasa vipi na mwingine akija kusema kuna uwezekano mtu asipewe cheti cha ukocha ila akatumia results slip yake kwasbabu tayari taarifa zake za kitaaluma zipo kwenye record ya CAF na kwamba CAF imetoa utatlratibu wa kuwaruhusu watambulike kama watu waliofuzu mafunzo?
Kwa vile ushazoea kupachikwa mwiko nyuma huwezi kuwa na ubongo sikushangai,nyani,mbwa masokwe.Hata ukikazwa sawa tu.
Huku mitaani watu wameenda kukata leseni kwa ajili ya biashara wamepewa risit na wakaguzi wakipita wanaonesha hiyo risiti ya malipo na hakuna atayeleta shobo kuwa anataka leseniFani yoyote inayohusisha Leseni hutambuliki bila Leseni, waulize madaktari watakwambia, waulize Engineer's watakwambia.
Nb; Tutusa Baba'ko, kolongwee wahed
Mimi binafsi sijaona jina la Juma Mgumda kwenye orodha ya makocha 21 bali kuna Juma Mwambusi na Juma NsanyaTaarifa ya TFF ndio hiyo, yani hapo ndio wametowa ufafanuzi Sasa ufafanuzi wao unazalisha maswali zaidi kuliko awali.
1. Kuna makocha wamehitimu mafunzo na wana Leseni class A ya CAF, halafu kuna orodha ya makocha 21 akiwemi Juma Mgunda wamehitimu mafunzo lakini hawana Leseni.
Sasa swali la msingi mtu aliyehitimu kozi ya udereva Vets au NIT anaruhusiwa kuendesha gari bila Leseni?
Kuna marubani wa ndege hivi hawa nao wanaruhusiwa kurusha ndege tu Kwa kuwa wamesomea kazi hiyo bila Leseni?
Swali la msingi kama TFF ni mwanachama wa CAF na iliendesha hizo kozi hizo tatizo liko wapi Kwa wahitimu kupatiwa Leseni?
Bila shaka TFF kuna kitu wanatuficha au kutudanganya, lakini nyeti za Kuku kikija kimbunga lazima zionekane, ujanja ujanja wa TFF unaelekea tamati yake muda si mrefu.
Walete walete Scars Tate Mkuu , Shadeeya
Cha Veta kinasomewa kwa siku 2 na kinapatikana hata kwa connection ya 50k hujatuambia na cha udaktari na u pilot.Wana mechi kesho ambayo wanacheza kimataifa hapo kwa Mkapa dhidi ya timu mbovu ya Zalan
Na mechi ya marudiano wanacheza hapo hapo kwa mkapa wakiwa wenyeji, hili wamelikalia kimya wala hawalizungumzi.
Ila trust me favour hii ingemkuta Simba saizi kila mtu angekuwa anahubiri kuwa Simba inapendelewa
Watu sheria za mpira tu hawazijui, ajabu wanataka kujadili level ambayo hawajawahi hata kujua ina operate kwa sheria zipi
Mtu anatumia vigezo vya udereva na ukondakta kutafuta justification kwenye ishu ya Mgunda.
Nyinyi madereva wa Uber na Bolt, zile sheria mlizokutana nazo pale Chang'ombe ni tofauti na CAF
Kule Chang'ombe ni cause ya siku mbili, siku ya tatu upo road unabeba abiria na ndio maana ajili zimekuwa nyingi.
Cheti cha Veta kinapatikana hata kwa connection ya 50k, kule CAF ni mpaka uingine darasani ufaulu viwango walivyoweka.
Mmeelewa?
Orodha ya mwanzo namba 6.Mimi binafsi sijaona jina la Juma Mgumda kwenye orodha ya makocha 21 bali kuna Juma Mwambusi na Juma Nsanya
Hiyo favour wameamua wenyewe Zalan na sio kitu cha ajabu kwasababu hata Namungo alipata hizo favourWana mechi kesho ambayo wanacheza kimataifa hapo kwa Mkapa dhidi ya timu mbovu ya Zalan
Na mechi ya marudiano wanacheza hapo hapo kwa mkapa wakiwa wenyeji, hili wamelikalia kimya wala hawalizungumzi.
Ila trust me favour hii ingemkuta Simba saizi kila mtu angekuwa anahubiri kuwa Simba inapendelewa
Watu sheria za mpira tu hawazijui, ajabu wanataka kujadili level ambayo hawajawahi hata kujua ina operate kwa sheria zipi
Mtu anatumia vigezo vya udereva na ukondakta kutafuta justification kwenye ishu ya Mgunda.
Nyinyi madereva wa Uber na Bolt, zile sheria mlizokutana nazo pale Chang'ombe ni tofauti na CAF
Kule Chang'ombe ni cause ya siku mbili, siku ya tatu upo road unabeba abiria na ndio maana ajili zimekuwa nyingi.
Cheti cha Veta kinapatikana hata kwa connection ya 50k, kule CAF ni mpaka uingine darasani ufaulu viwango walivyoweka.
Mmeelewa?
Swali la Sekondari,Sasa swali la msingi mtu aliyehitimu kozi ya udereva Vets au NIT anaruhusiwa kuendesha gari bila Leseni?
Niliposoma tu hilo swala la udereva kuhusianishwa na soka, nikajua kuwa aliyeandika hapo ni TUTUSA.
Jamaa anatia aibu kila kitu usimba na uyangaNa alivyo na akili ndogo haoni kuna hoja inafuata hapo, Kwa nini Taifa ka watu million 60 tuwe na makocha 42 tu wanaotambulika na CAF?
Na mimi nimeshangaa,nchi ina mijitu hovyo hiiMimi binafsi sijaona jina la Juma Mgumda kwenye orodha ya makocha 21 bali kuna Juma Mwambusi na Juma Nsanya
Khaaaaaaaaaa!!!! Huyu jamaa nilikuwa Nampa salute nyingi Sana kumbe nilikuwa namheshimu mbumbumbu kiasi hiki? Kwani Yanga ndo imeomba Zolan atumie uwanja wa taifa Kwa mechi zake?Na mechi ya marudiano wanacheza hapo hapo kwa mkapa wakiwa wenyeji, hili wamelikalia kimya wala hawalizungumzi.
Ila trust me favour hii ingemkuta Simba saizi kila mtu angekuwa anahubiri kuwa Simba inapendelewa