mimi naona gaidi kubwa ni pengo ndio aliye tufikisha hapa tulipo ni njaa tupu baada ya kuacha watu kuleta maendeleo yeye analeta ukanisa tuMama Samia hapa kahamua kucheza kamari ni either imlipe au isimlipe.... hawa wanaweza kuendelea na hayo mambo au wasiendelee... hakuna anayejua mioyo yao.
Hawa ni magaidi hata Samia mweyewe anajua hilo na dawa ya magaidi huwa ni kuwekwa kizuizini hadi kifo au kutwangwa risasi za kichwa kama majambazi.....
Tumuombe Mungu hawa Magaidi wasianze tena na hali iendelee kuwa shwari.
Kwa vile inaonesha kabisa umekereka na kukasirika kwa kilichofanyika kuwaachilia wale Wazanzibar kwa DPP kutumia kifungu kinachompa mamlaka kikatiba kutoendelea na kesi pale anapoona inafaa kufanya hivyo, na umeumia sana kwa nilichoandika hapa, basi huna budi kujining'iniza utoke kwenye uso wa hii nchi yenye dhuluma.wewe ni mpuuzi tu ivi kwa akili yako ya mavi kama kweli kuna kesi hapo si wengekuwa zamani washahukumiwa hao kosa lao kubwa ni kuutaja muungano lakini jambo lakusikitisha eti unaambiwa Tanzania ni nchi imepata huru mimi naona ni bora ukoloni ule wakizungu ulikuwa na haki kuliko huu ukuloni wa kiafrika unaitwa nchi huru ivi kweli wewe kwa akili zako za matope jaji vipi atasikiliza upuuzu huu mtu analetwa mahakamani halafu unaambia ushahidi hauja kamilika na wewe jaji unatizama tu miaka 9 hujaitupiliya mbali kesi hio halafu unasema kunasheria hapo halafu kwa sheria za ukandamizaji za kijinga serikali inaweza kukuweka ndani kwa muda wa miaka 100 halafu ikafuta hio kesi na hakuna kuulizwa wala hakuna fidia
Serikali inakamata waharifu, wenye ushahidi, inakaa nao miaka tisa yote kisha inawaonea huruma au kuogopa na wanarudishwa uraiani.Nafikiri mtoa mada kaliweka vizuri sana! Uenda Serikali iliamua isiwafunge kwa maslahi ya umma kuhofia kuwa yataibuka makundi mengine kwa kasi hivo ikaaamua iwaache tu ila ni kweli hawa jamaa walifanya mambo ya ovyo sana
Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!
Kwa mara ya kwanza kabisa nimekubali kuamini kuwa, tatizo liliopo Zanzibar sio Muungano bali ni dini na wanatumia muungano kama kigezo. Mimi ni muislamu lakini nalipongeza Jeshi kwa kutoa kibano kwa wafanyaji fujo usiku huu huko mjini Zanzibar. Jumuiya ya UAMSHO itabidi ipigwe marufuku kabisa...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanajisahaulisha tu
View attachment 1821318
Kwahiyo wakiwa nao ulitaka wafanye nini? Maana kama gerezani wameishakaaKwa hiyo Serikali haikuiona hii clip, wewe ndo unayo tu. Unaweza kumnyima mwanao hela ya chakula lakini unajua ukweli moyoni kuwa hela unayo na unawajibika kumpa.