Suala la kuwakopesha hela wanawake linaharibu urafiki/ukaribu

Inaogopesha
 
Usimp unahusika kwa sababu unawakopesha malaya watatu hawakulipi hapo ulitakiwa ujifunze

Ulivyo msenge bado unaendelea mpaka wanafika malaya 6 na wote wanakuchinjia baharini hiyo ni akili ya masculine au simp?
Ulisoma heading ya mada. At the end wanakulipa baada ya ugomvi na uhusiano/urafiki wa karibu unapotea. Kama ningekuwa namuacha tu aende na hela yangu ningekuelewa
 
Ulisoma heading ya mada. At the end wanakulipa baada ya ugomvi na uhusiano/urafiki wa karibu unapotea. Kama ningekuwa namuacha tu aende na hela yangu ningekuelewa
Wewe ni mpumbavu hata kama ni mpaka ugomvi ulitakiwa ujifunze tangu wale malaya zako wa mwanzoni
 
A Strong Man of Your Own Version.

Mwanaume Halisi anailinda Brand yake Kwa Gharama.

Conguratulations.
 
Acha ujinga wewe, watafune.
 
Wewe ni gasho
 
Wewe ni mpumbavu hata kama ni mpaka ugomvi ulitakiwa ujifunze tangu wale malaya zako wa mwanzoni
Psychologically, kutanguliza matusi kwenye mjadala ni manipulative tactic ya mtu ambae hana hoja yenye mantiki. Pia jifanyie introspection niamini afya yako ya akili haiko sawa ndio maana you go around kurusha matusi kwenye social media
 
Usimp unahusika kwa sababu unawakopesha malaya watatu hawakulipi hapo ulitakiwa ujifunze

Ulivyo msenge bado unaendelea mpaka wanafika malaya 6 na wote wanakuchinjia baharini hiyo ni akili ya masculine au simp
Ume define masculinity yangu Kwa kuwakopesha wanawake sita wakasumbua kulipa?

Kitu ambacho hata experts wa gender studies wanatoa working definitions tofauti kila mara kwenye tafiti zao
 
wanawake hawakopeshwi na sio wa kuwasaidia kama marafiki maana wao hawasaidii labda uwe kama umetoa sadaka tu.

Kila demu ana jamaa yake, hela akaombe au kukopa anakotoa mzigo.

Mara buku umkopeshe mchizi huwa wanarudisha, hata asiporudisha ukiwa na shida iliyondani ya uwezo wake ukimsanua tu anachinja.
 
Psychologically, kutanguliza matusi kwenye mjadala ni manipulative tactic ya mtu ambae hana hoja yenye mantiki. Pia jifanyie introspection niamini afya yako ya akili haiko sawa ndio maana you go around kurusha matusi kwenye social media
Lazima nikutukane kwa sababu wewe ni mjinga
 
Uko sahihi mkuu mi sijapata shida na masela, wanarudisha bila shida akichelewa kidogo atakwambia. Wenzetu hawa siku ya kukulipa ikifika kimya kama humdai yani
 
Hii ni kama prediction fulani ningeichukulia serious, lakini siwezi kwasababu YOU ARE NOT WISE, japo sikujui ila believe me hata kwenye maisha yako nina uhakika uko troubled sana
Wewe ndio uko troubled ndio maana umetuletea matatizo yako humo ya kudhulumiwa na malaya
 
Pitia comments zetu kutoka juu hadi hapa halafu judge objectively who sounds stupid and who sounds wise kati yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…