technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
No senseSuala la Lugumu wabunge ndio wanalivalia njuga, hawezi kulishughulikia atakuwa amekiuka mamlaka ya bunge, ile kamati ya bunge ilishakamilisha uchunguzi? mwenye hiyo report atuwekee hapa.
Serikali hii haitaki uchochezi,achana kabisa na suala LA LugumiMheshimiwa Rais umejipambanua kama mtumbuaji majipu lakini Lugumi ni kashifa kubwa iliyoibuka katika serikali yako mbona umekaa kimya?
Au wewe unashughulikia mafisadi wa utawala uliopita? Kama lugumi ni propaganda serikali yako ikanushe raia tusiwe na hofu. Ni jambo la kushangaza kuona serikali inayopambana na ufisadi ikilinyamazia hili. Kama mengi umeyafanya kupambana na ufisadi sioni kwanini hili linakuwa gumu ?
Kuwa makini pale unapoongelea issue ya lugumi na uuzwaji wa nyumba za serkal. Watu wamefukuzwa bungeni kisa kuuliza kuuliza ovyo juu ya hyo masuala.Mheshimiwa Rais umejipambanua kama mtumbuaji majipu lakini Lugumi ni kashifa kubwa iliyoibuka katika serikali yako mbona umekaa kimya?
Au wewe unashughulikia mafisadi wa utawala uliopita? Kama lugumi ni propaganda serikali yako ikanushe raia tusiwe na hofu. Ni jambo la kushangaza kuona serikali inayopambana na ufisadi ikilinyamazia hili. Kama mengi umeyafanya kupambana na ufisadi sioni kwanini hili linakuwa gumu ?
[emoji16][emoji16],nitakulinda!!weeeee........!! ishia hapo. muombe mod aufute huu uzi kwa hiari yako..
Na Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo mijizi na mafisadi wakishaiba na dili kustukiwa wanaombwa kuweka mambo sawa.Mi Tanzania bhna sijui huwa tukoje....suala LA Lugumi lishafanyiwa uchunguzi na kazi ambayo alipewa lugumi ameshaifanya katika kila kituo cha polisi....sasa kelele za nini???!
Nenda ukafyatue watoto huko watasoma bure huna msaada hapaAYA WW MWENYE AKIL KUBWA HONGER