technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
No senseSuala la Lugumu wabunge ndio wanalivalia njuga, hawezi kulishughulikia atakuwa amekiuka mamlaka ya bunge, ile kamati ya bunge ilishakamilisha uchunguzi? mwenye hiyo report atuwekee hapa.