Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

Mpango wenu CHADEMA kuiyumbisha serikali hautafanikiwa
Mpango upi ? Hivyo vifaa Thamani yake haifiki hata bilion moja wewe na boss zako mkaamua kuiba bilion 37 zote kwa visingizio feki Alafu mnasema chadema inayumbisha Serikali ? Acha hizo Kama wamekupa Rushwa uwatetee ni bora ubuni njia ingine ya kuwatetea lakini kutumia chadema kuwatetea boss zako ni Ujinga mkubwa.
 
Ukiwa na kumbukumbu kuwa kazi hiyo ili paswa kukamilika toka 2011 kwanini isinge kamilika mpaka sasa na pia ukijiuliza ni kiasi gani cha fedha kitakuwa kimesalia baada ya mgao, na je bei za mashine bado ni zile zile hapo ndio utajua kama kazi hiyo ya kufikirika ita weza kukamilika au laa.
Mkuu bei ya mashine na Thamani yake haifiki hata bilion 1 hizo mashine hazina bei kubwa , kilichofanyika ni Dili ilikuwa ni uchochoro wa kupitishia pesa za wizi Kwa kisingizio feki .
 
Unaweza kukuta Lugumi jana jioni amekunywa kahawa pale pale Magogoni na JPM. Magufuli yeye saizi yake ni watumishi wa serikali, hawa mafisadi wakubwa hawezi kuwagusa nchi itayumba. Na Lugumi ameishasema sio kila jipu ni la kutumbuliwa
 
Rais aliomba kazi anayoifahamu, hujamfundisha na wala hutoweza kumfundisha afanye kipi na aache kipi
sasa wewe unamfundisha awapuuze wananchi aamue kuwabebana Lugumi na kitwanga , inaelekea wewe ni mshauri mkuu wa Magufuli .
 
Unaweza kukuta Lugumi jana jioni amekunywa kahawa pale pale Magogoni na JPM. Magufuli yeye saizi yake ni watumishi wa serikali, hawa mafisadi wakubwa hawezi kuwagusa nchi itayumba. Na Lugumi ameishasema sio kila jipu ni la kutumbuliwa
List iliyotafuna pesa za Lugumi ni ndefu Hatari akiamua kuianika wazi kabsa itakuwa Aibu kubwa Kwa Serikali , Lugumi kapiga dili wizara zingine nyingi lakini huko bado hawajapavumbua Nadhani mda si mrefu utasikia kwingine aliyoyafanya huko.
 
LUGUMI ni kaa la moto. Mr alcohol hana ubavu wa kulitumbua. Kwanza majibu ya huyu bwana said lugumi yanaonyesha jeuri na ndweo ya hali ya juu.
 
Mh.rais ameishasema serikalini kuna mambo ya ajabu, fikiria imekuwaje walipwe pesa yote na huku kazi hawajamaliza ? Pili kwann pccb wako kimya hadi Leo ? Kwanini wizara yenyewe haijawahilalamika kuhusu hiyo Kampuni kwa kutotekeleza mkataba, 3 waziri mhusika mbona hatokei hadharani kulizungumzia ? Nafkri hapo tuunganishe dot tutapata majibu
moja wa watuhumiwa ni Said mwema IGP mstaafu unategemea nini ? Pili January Makamba kapewa tenda ya kuleta kamati za Ufundi toka Gambia na Utitiri wa wachakachuaji wa mikataba , Huku wenyewe Lugumi na kitwanga wakitembeza Rushwa Kwa kasi kubwa unategemea Haki itayendeka hapo ?
 
List iliyotafuna pesa za Lugumi ni ndefu Hatari akiamua kuianika wazi kabsa itakuwa Aibu kubwa Kwa Serikali , Lugumi kapiga dili wizara zingine nyingi lakini huko bado hawajapavumbua Nadhani mda si mrefu utasikia kwingine aliyoyafanya huko.
Maisha ni possibilities badala ya ambitions ..
 
Kufa kufaana kwenye sakata hili kuna ambao watanufaika kupitia Hilo JIPU , kwanza wabunge watavuta pesa nyingi ili wapindishe reports wamsafishe kitwanga, pili wale woote wanafanya kazi za kiuchunguzi , tatu January Makamba anelipwa pesa nyingi kuleta kikundi chake cha Uchakachuaji wa mikataba na kamati za Ufundi tokea Gambia , nne Vijana wa kushinda mitandaoni na mitaani kuwatetea kitwanga na Huyo mwenzake wa NIDA . List ya watu ambao wametafuna hizo pesa ni kubwa sana , inabidi Lugumi alindwe Kama Balali ili asije kuwataja Kwa majina , watafanya juu chini Hilo sakata liwaangukie wengine Kama walivyofanya Kwa Mwakyembe .
 
Mkuu bei ya mashine na Thamani yake haifiki hata bilion 1 hizo mashine hazina bei kubwa , kilichofanyika ni Dili ilikuwa ni uchochoro wa kupitishia pesa za wizi Kwa kisingizio feki .
Nina afiki Muungwana hakuna la ajabu lisilo weza kufanyika kwenye nchi yetu watu wanapo taka kujinufaisha.
 
Sasa eti we mura MAKOJO kwani kuna ubaya kumwambi LUGUMI ataje na alogawana nao maana hizo waligawana halafu hapohapo wakatakatisha ebwanaeee chama kubwa hawana nyimbo walipiga kupitia LUGUMI Kusudi wapate pesa za kuwapa akina diamond na mabongo muvi wasanii mlikula pesa haramu
 
Ukawa bana lugumi lugumi lugumi...mmekosa kazi ya kufanya mnashupalia tu tutumbua majipu lol!
Lumumba yatetea majipu! Ili iweje? Asibugudhiwe? Hela keshakula 99%, kazi ya 2011 hajamaliza bado anaonewa! Watz!
 
Sitaki kuamini kama Mh Rais hadi leo jipu lililo wazi la Lugumi kinekushinda kulitumbua maana naona hata wabunge wameufyata haligusiki nasikia usaha wake ni mwingi sana unahitaji maandalizi kabla ya kulitumbua maana utachafua hali ya hewa.

Sasa najiuliza kama hili jipu la hivi karibuni je yale majipu ndugu utayaweza maana yale IPTL na ESCROW naona umeamua kuyapa dawa za kuyafifisha sasa ni sukari sukari sukari.
 
Lugumi Salute mkuu. Kina Mzee Kitillya walibebwa juu juu hadi Kisutu then Segerea. Mh Rais wetu kuna wengine anawanyanyua tu na wengine anajidai anafuata utawala wa sheria.
Hatari sana hii !!
 
Back
Top Bottom