Suala la Machinga, yafanyike haya

Swala la Machinga ni swala gumu sana kulizungumzia kwa matakwa ya kidola, inaitaji Busara kubwa sana kuli-solve .

Serikali ikitaka kupambana na tatizo hili wafanye yafuatayo.
1.Ajira kwa vijana, watengeneze viwanda vidogovdogo vingi ili vijana wakafanye kazi.
2.Serikali itoe exposure kwenye kilimo kwa vijana . Ili hao vjana wakafanye shughuli za kilimo
Wakifanya haya mbona vijana watapungua mjini tyu.
 
Wewe ni kipapa maku ya mamako.
 
Sisi wanunuzi wa bidhaa zao tuna uwezo wa kuwafanya wafanye biashara kwenye maeneo maalum yaliyotengwa na njia rahisi ni kwasisi kuacha kununua bidhaa zao kwa wale wamachinga waliopanga bidhaa kwenye njia za waenda kwa miguu.

Tuhamasishane na ili likifanikiwa hao wamachinga watatii Sheria walizowekewa
 
Hivi machinfa complex viongozi wanashindwa kuirolea kauli yoyote maana ipo ipo tu...kuna muda nqjichekeaga mwenyew kama zombi
 
Rejea niliposema kwenye mada juu ya Tatizo la viongozi wetu kuwa wazembe, wavivu, kukosa commitment na exposure
Ishu ya wamachinga ilileta vuguvugu ambalo liliwatoa Marais katika nchi ya Algeria na Misri kama sikosei
a
 
JPM aliwapa jeuri ipi?

Unajua kwamba wamachinga nao ni raia wa nchi hii?

Kama hijui usiongee, JPM alitoa maelekezo sahihi kabisa hata SSH anajua

Kweli mliohamia mijini na mbio za mwenge mnajinasibu.
 
Suala la wamachinga ni hatari kama watu wanavyoweza kutupia lawama mamlaka.za miji. Ukitaka kuamini nenda vijijini vijana woote wamehama wamejirundika mjini hata upange vipi haiwezekani miji imezidiwa
 
Ni vizuri kutafuta suluhisho la kufikirisha juu ya hili suala kubwa. Lakini ni muhimu sana kufahamu vizuri "machinga" ni nani hasa.

Kiuhalisia hawa "machinga" ni watu wanaotaka uhuru mkubwa sana wa kufanya biashara nje ya mifumo na taratibu zilizowekwa kisheria. Ni sekta isiyo rasmi kweli kweli. Wahusika wanataka waingie na kutoka katika biashara hiyo bila taratibu wala vibali rasmi, wafanye biashara popote panapopitika na wakati wowote bila udhibiti (kandokando ya barabara, katikati ya magari barbarani, katika njia za waenda kwa miguu, pembeni ya majengo, mbele ya maduka, nje ya masoko rasmi, n.k.). Wengi ni wahamaji hamaji (hawkers). Wanafuata penye wateja wengi kutegemeana na wakati wa siku. Wakizigundua hizo "hot spots", watajazana kama kama nzige hadi kumiminikia pasipostahili (barabarani, kwenye mifereji ya maji machafu na kuziba vituo vya mabasi na njia za waenda kwa miguu).

Sasa hii lugha ya kutafutiwa maeneo ya mazuri ya biashara kwa wamachinga haina maana. Hawawezi kuelewa wala kukubali. Hawako tayari kukalishwa sehemu moja muda mrefu huku wanasikia biashara imechanganya mahali kwingine. Na kwa vile wanaishi kwa kauli ya serikali iliyowaruhusu kufanya biashara bila kubughdhiwa na wameshaambiwa wao ni muhimu sana kama wapiga kura (fallacy), basi hawako tayari kuambiwa wasichotaka. Wako tayari kwa mapambano.
 
Nimeona mama naye ameuma na kupuliza tu kiukweli hawa watu wanaoitwa machinga ni watu wabishi sana na kuiendelea kuwabembeleza ni kujienga majanga zaidi
 
Kama hawako tayari kuambiwa wasichotaka hapo maamuzi mengine yatafanyika. Maamuzi shirikishi ni jambo la muhimu Kwa sasa ili kuepuka migongano isiyo ya lazima!
 
Suala la wamachinga ni hatari kama watu wanavyoweza kutupia lawama mamlaka.za miji. Ukitaka kuamini nenda vijijini vijana woote wamehama wamejirundika mjini hata upange vipi haiwezekani miji imezidiwa
Hakuna jambo serikali ikiamua inashindwa. Ni kufanya maamuzi na kuyasimamia tu!
 
Nimeona mama naye ameuma na kupuliza tu kiukweli hawa watu wanaoitwa machinga ni watu wabishi sana na kuiendelea kuwabembeleza ni kujienga majanga zaidi
Hakuna cha ubishi! Ni serikali tu kufanya maamuzi ambayo ni shirikishi na kuyasimamia. Wewe hujawai kujiuliza kwa nini mwenge Kuna machinga ila Lugalo barabara nzima Haina machinga? Kama ni wabishi kwa nini hawafanyi ubishi wao eneo la Lugalo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…