Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Machinga leo wanaitwa uchafu takataka.
Kama JPM alikuwa anapata feelings nazosikia nikiwatazama wamachinga mitaa ya kariakoo, basi Mungu ampe pumziko jema yule mzee.
Kuna wanangu sijui wataenda kuishije mtu kamaliza chuo miaka 7 hana kazi kaamua kuwa mlengaji anaanza kuona mwanga mara paap anarudishwa kitaa...
Sijui kama watu wanaona kinachoenda kutokea....all in all maisha ni vita ngumu sana mtu asipojua size ya viatu vyako anaweza fanya lolote tu... poleni sana wanangu kwa sasa hamna chenu.
Magufuli alikuwa ni mpiga porojo na mpenda sifa za bei rahisi. Alikuwa anajua kabisa wamachinga ni washabiki wa cdm, namna pekee aliona ni bora awaruhusu wafanye biashara holela kama njia ya kuwafanya wasisupport cdm. Kama alikuwa sio mpiga porojo angawepeleka kwenye vile viwanda vyake 8,000+ alivyokuwa anaoongopea umma.