Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa kweli watu wengine sijui huwa mnafikiria kwa kutumia viungo gani?United States of America ni nchi moja yenye bendera moja.United States of Africa isingwezekana kwa sababu kuna viinchi vimejaa roho mbaya kama vile Rwanda,Libya yenyewe ya Gadafi,Burundi,Democratic Republic of Congo,Malawi,Zanzibar,Somalia,Sudani na Eritria.Na ndio maana mpaka leo Wazanzibar hawaukubali Utanzania bali Uzanzibar kwao ndiyo jambo la msingi.Kama Tanzania ni nchi moja kwa maoni yangu naona siyo sawa maana kuna bendera za mataifa mawili(Tanzania na zanzibar),kuna marais wawili (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar),kuna Katiba mbili (Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na Katiba ya Jamhuri ya Zanzibar ya 1984).
Labda huu Muungano ni wa chama na si Watanzania wote kwa maana taifa moja linaneemeka na rasilimaliza nchi zote lakini taifa lingine linanyonywa kila uchao.
Hakuna anayenyonywa kwa wingi wa kodi inayokusanywa na TRA ya matrilioni ya pesa na miradi mingi tu imeajiri mpaka Waingereza achilia mbali wazenji wawili watatu.

Napoiongelea US natumia mfano wa umuhimu wa mataifa kuungana na kuweza kufanya vizuri. Ulaya kwa sasa wanakaa na Zelensky baada ya kuona ananyanyaswa na Trump, kwa umoja wao wanafikiria ni namna gani wamsaidie akiwa anapitia katika kipindi kigumu.

Ndio akili aliyokuwa nayo Mwalimu Nyerere mwaka 1964 kwamba tunaanza sisi kuungana halafu wazo linasambaa kwa mataifa mengine.

Taifa zima linaneemeka na rasilimali tulizonazo, ndege zinatumiwa na wote, mito na maziwa zinatumiwa na wote, madini yanawafaa wote kwa ujumla wao.

Jiografia yetu ndio imezaa huu muungano, tuwe wapole tu hizi fitina na chokochoko hazina mwisho mzuri. Kujitenga kwetu kunaweza kuzaa ili roho ya kujitenga zaidi na zaidi.
 
Hakuna anayenyonywa kwa wingi wa kodi inayokusanywa na TRA ya matrilioni ya pesa na miradi mingi tu imeajiri mpaka Waingereza achilia mbali wazenji wawili watatu.
Kwanini kuna nafasi maalumu za ajira kwa Uzanzibar! 21%.
Katika hayo matrilioni ya TRA Zanzibar inachangia kiasi gani
Ndio akili aliyokuwa nayo Mwalimu Nyerere mwaka 1964 kwamba tunaanza sisi kuungana halafu wazo linasambaa kwa mataifa mengine.
Wazo limefeli, tuendelee kushikilia tu!
Taifa zima linaneemeka na rasilimali tulizonazo, ndege zinatumiwa na wote, mito na maziwa zinatumiwa na wote, madini yanawafaa wote kwa ujumla wao.
Bandari ya Zanzibar inatumiwa na wote? Bahari ya Zanzibar inatumiwa na wote?
Hizo ndege SMZ imetoa kiasi gani kuzinunua?
Jiografia yetu ndio imezaa huu muungano, tuwe wapole tu hizi fitina na chokochoko hazina mwisho mzuri. Kujitenga kwetu kunaweza kuzaa ili roho ya kujitenga zaidi na zaidi.
Wazanzibar wanasema hapana! Wao ni Wazanzibar na wanataka Zanzibar yao. Wao si Watanzania
Wanakuwa Watanzania wanapohitaji kufaidika tu!

Walioanza wazo la kujitenga ni Wazanzibar. Miaka nenda rudi wanasema MAMLAKA KAMILI
Katiba ya 1984 iliyofanyiwa marekebisho 2010 ''imevunja' muungano, kwavile waliofanya ni Wazanzibar hilo lipo chini ya kapeti. Mbowe aliposema neno kuhusu Bandari alishambuliwa kwa chuki

Wakati Wazanzibar wanaeneza chuki na kujitenga, ninyi milikuwa kimya
Watanganyika, wanataka Wazanzibar waheshimiwe maoni yao mnasema ni chuki

Kwani kuna Tatizo gani Tanganyika ikiwepo? halafu tukachagua mambo ya kuwasaidia?
Katiba ya Warioba ilisema ni 7 tu!
 
Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.

1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.

2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.

3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?

4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.

5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.

6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.

7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.

8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.

9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?

TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Hili suala la muungano ni la kuweka sawa kabisa. Ni either huu muundo uliopo urekebishwe na uwe Muungano wa kweli na usawa pande zote mbili au usiwepo kabisa. Na Tanganyika tukiona tuna maslahi mapana na Zanzibar alafu wao hawataki usawa, basi tunaibadilisha Zanzibar kuwa mkoa na tunaitawala kimabavu.
 
Hili suala la muungano ni la kuweka sawa kabisa. Ni either huu muundo uliopo urekebishwe na uwe Muungano wa kweli na usawa pande zote mbili au usiwepo kabisa. Na Tanganyika tukiona tuna maslahi mapana na Zanzibar alafu wao hawataki usawa, basi tunaibadilisha Zanzibar kuwa mkoa na tunaitawala kimabavu.
umesema kweli
 
Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.

1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.

2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.

3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?

4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.

5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.

6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.

7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.

8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.

9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?

TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Marais wawili wote wa zanzibari mwinyi samia wanahamisha mno mali za bara kupeleka zanzibar usalama ipo ipo tu ka mazuzu
 
Marais wawili wote wa zanzibari mwinyi samia wanahamisha mno mali za bara kupeleka zanzibar usalama ipo ipo tu ka mazuzu
KAMA unataka kuamini hilo, ona sasaivi hawalalamiki wala nini, kwa sababu wanajua ndio muda wao wa kula.
 
Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.

1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.

2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.

3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?

4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.

5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.

6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.

7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.

8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.

9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?

TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Hoja zako ni za msingi lakini jambo moja watanganyika mnalofeli ni suala la ardhi. ZANZIBAR ni eneo dogo sana ukilinganisha na tanganyika. Eneo la tanganyika ni km za mraba karibia million 1, zanzibar hazifiki hata elfu 3, watanganyika mko million 55 , mkisema mnakuja kununua ardhi sisi tutaishi wapi muwe na huruma
 
Hoja zako ni za msingi lakini jambo moja watanganyika mnalofeli ni suala la ardhi. ZANZIBAR ni eneo dogo sana ukilinganisha na tanganyika. Eneo la tanganyika ni km za mraba karibia million 1, zanzibar hazifiki hata elfu 3, watanganyika mko million 55 , mkisema mnakuja kununua ardhi sisi tutaishi wapi muwe na huruma
Uchoyo mmebarikiwa. Huku bara mme jaa na mnanunua ardhi mno shida ikwapi
 
Hoja zako ni za msingi lakini jambo moja watanganyika mnalofeli ni suala la ardhi. ZANZIBAR ni eneo dogo sana ukilinganisha na tanganyika. Eneo la tanganyika ni km za mraba karibia million 1, zanzibar hazifiki hata elfu 3, watanganyika mko million 55 , mkisema mnakuja kununua ardhi sisi tutaishi wapi muwe na huruma
mtaishi wapi? si tutaishi wote humohumo? kwa hiyo mnaona bora muwape wataliano kuliko wabongo? na bado kuna visiwa na ardhi kibao imebaki, ila uchoyo na ujinga umewajaa.
 
Back
Top Bottom