Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi zinaungana kwasababu mahususi. Nchi zilizojaribu kuungana kwa maelezo yako hapo juu zimeishia pabaya. Tatizo si kuungana bali muundo wa Muungano unaofanya Zanzibar kuwa 'special''
Ni eneo linalowabebesha Watanganyika mzigo.

Mfano, Pesa za maendeleo kwa mkoa wa Dar es Salaam unaochangia 86% ya GDP ni ndogo kuliko zile zinazopelekwa Zanzibar! Kwanini Simiyu, Njombe au Geita ambayo ni mikoa michanga sana isipewe kipaumbele kama Zanzibar licha ya kuchangia Uchumi, Zanzibar ikichangia 0%.

Kuna Waha wameoa Wamanyema wa DRC

Kuna Watanzania wameoa Wakikuyu

Kuna Wakurya wameoa Wamakonde

Nguvu kazi haipatikani kwa kuoleana. Wazanzibar ni 1.5M , Watanganyika ni milioni 60. Ni upuuzi kudhani Muungano unasimamishwa na ndoa. Tumeoa Kenya, Musmbiji, na akina JUX wameoa Nigeria!

Hakuna chuki! itoke wapi? Wazanzibar hawataki Muungano! waachwe warudi kuijenga Nchi yao kama ile ya Wakati wa Sultani. Wanataka iwe kama Dubai, wapewe fursa

Swali langu linabaki pale pale! Nje ya Muungano, Mtanganyika anapoteza nini! Ni swali tu
Hakuna anayepoteza katika muungano. Kwame Nkrumah mpaka kesho ni shujaa miongoni mwa wanazuoni kwa wazo lake la kutaka kuiunganisha afrika nzima iwe ni muunganiko wa majimbo United States of Africa,.

Muamar Ghadhafi alikuwa na wazo lenye kuunganisha afrika iwe nchi moja, wote wawili hao hawakuwa wajinga, hawakuongozwa na hulka za kibinafsi zenye kujali nyimbo za taifa na bendera waliangalia mbali zaidi ya utukufu wa kibinadamu.

Nyerere hakuwa mjinga kuutetea muungano kwa udi na uvumba. Tatizo letu ni lile lile la kutaka kuwaonyesha wazenji kwamba na sisi tunaweza kufanya huo upuuzi mnaoufanya.

Ni akili za visasi na kukomoana zilizo nyuma ya hizi hoja za kuidai Tanganyika.
 
Hakuna anayepoteza katika muungano.
Katika Muungano wetu Tanganyika anapoteza nini ? Una uhakika Zanzibar hana cha kupoteza !
Kwame Nkrumah mpaka kesho ni shujaa miongoni mwa wanazuoni kwa wazo lake la kutaka kuiunganisha afrika nzima iwe ni muunganiko wa majimbo United States of Africa,.

Muamar Ghadhafi alikuwa na wazo lenye kuunganisha afrika iwe nchi moja, wote wawili hao hawakuwa wajinga, hawakuongozwa na hulka za kibinafsi zenye kujali nyimbo za taifa na bendera waliangalia mbali zaidi ya utukufu wa kibinadamu.
Unadhani kwanini walishindwa
Nyerere hakuwa mjinga kuutetea muungano kwa udi na uvumba.
Ndio maana Vijana wanataka kujua werevu wake ulikuwa katika nini kwa jambo hili.
Tatizo letu ni lile lile la kutaka kuwaonyesha wazenji kwamba na sisi tunaweza kufanya huo upuuzi mnaoufanya.
Hapana ! ikiwa wanataka Muungano basi uwe wa dhati na manufaa. Kutaka muungano kama mbeleko si sawa. Nimekuuliza ni kwa jambo au umuhimu gani Zanzibar ipewe kipaumbele kuliko Simiyu , Njombe au geita mikoa michanga kabisa. Ikiwa tumeungana kwanini kuna ''kila kitu' cha Wazanzibar! kwa maana kwamba kuna ''special status'' ndani ya Muungano.
Ni akili za visasi na kukomoana zilizo nyuma ya hizi hoja za kuidai Tanganyika.
Wanaotaka kujitenga na of course wasiotaka Muungano hata kuitwa Watanzania ni Wazanzibar.
Kwanini unawatuhumu Watanganyika waliokaa kimya licha ya kubeba zigo peke yao.
Waulize Wazanzibar
 
Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.

1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.

2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.

3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?

4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.

5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.

6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.

7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.

8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.

9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?

TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Wana ajira zao na wana za muungano na Tanganyika. Kina Shaka na Makame Mbarawa ni wazanzibar ila wakomsekta ambazo si za muungano.


Wana bodi yao ya mikopo (ZHSLB ) ila wakikosa wanakopanna huku tena kwa kipaumbele HESLB.

Wana kazi za mapato ZRA wakikosa wanajaa huku kwa upendeleo maalumu TRA.

Kila kazi ya Ajira portal wana 15% halafu pia wana ajira zao ambazo zinataka kitambulisho cha Mzanzibar.
 
Wana ajira zao na wana za muungano na Tanganyika. Kina Shaka na Makame Mbarawa ni wazanzibar ila wakomsekta ambazo si za muungano.


Wana bodi yao ya mikopo (ZHSLB ) ila wakikosa wanakopanna huku tena kwa kipaumbele HESLB.

Wana kazi za mapato ZRA wakikosa wanajaa huku kwa upendeleo maalumu TRA.

Kila kazi ya Ajira portal wana 15% halafu pia wana ajira zao ambazo zinataka kitambulisho cha Mzanzibar.
hata ubunge wanapiga mpunga mara mbili, wanapokea mnpunga wa kuwa wawakilishi kule zanzibar na wakija huku bara wanageuka na kupokea mpunga wote wa wabunge wa bara.
 
Katika Muungano wetu Tanganyika anapoteza nini ? Una uhakika Zanzibar hana cha kupoteza !

Unadhani kwanini walishindwa

Ndio maana Vijana wanataka kujua werevu wake ulikuwa katika nini kwa jambo hili.

Hapana ! ikiwa wanataka Muungano basi uwe wa dhati na manufaa. Kutaka muungano kama mbeleko si sawa. Nimekuuliza ni kwa jambo au umuhimu gani Zanzibar ipewe kipaumbele kuliko Simiyu , Njombe au geita mikoa michanga kabisa. Ikiwa tumeungana kwanini kuna ''kila kitu' cha Wazanzibar! kwa maana kwamba kuna ''special status'' ndani ya Muungano.

Wanaotaka kujitenga na of course wasiotaka Muungano hata kuitwa Watanzania ni Wazanzibar.
Kwanini unawatuhumu Watanganyika waliokaa kimya licha ya kubeba zigo peke yao.
Waulize Wazanzibar
Kipaumbele kinapewa sehemu zote za Jamhuri ya Muungano, Samia kwao kizimkazi lakini kila anapokwenda huko nje kwenye mikutano mikubwa ni kwa maslahi ya maelfu ya zahanati zilizoko huku bara, ni kwa ajili ya kutafuta pesa za kumalizia miradi ya REA na madaraja mengine yanayojengwa.

Samia kwao kizimkazi lakini anajenga viwanja vingi vya ndege pamoja na viwili vya mipira huku Tanzania Bara. Hiyo ni spirit ya muungano ambayo wewe unahoji unatusaidia vipi huku Bara.

Punguza kuendekeza roho ya chuki huwa inafundisha watu kuhifadhi hasira na vinyongo. Hao wazanzibar wachache nina uhakika hawawakilishi wazenji wengi wanaoielewa kwa mapana faida ya muungano.

Nyerere ni mwerevu ukitaka kujua tazama namna Ghadhafi na Nkrumah walivyoendelea kusisitizia Arika iungane kwa nyakati tofauti. Ubabe wa USA ni kwa sababu ya nguvu iliyopatikana baada ya kuunganisha majimbo yao.
 
Kipaumbele kinapewa sehemu zote za Jamhuri ya Muungano, Samia kwao kizimkazi lakini kila anapokwenda huko nje kwenye mikutano mikubwa ni kwa maslahi ya maelfu ya zahanati zilizoko huku bara, ni kwa ajili ya kutafuta pesa za kumalizia miradi ya REA na madaraja mengine yanayojengwa.

Samia kwao kizimkazi lakini anajenga viwanja vingi vya ndege pamoja na viwili vya mipira huku Tanzania Bara. Hiyo ni spirit ya muungano ambayo wewe unahoji unatusaidia vipi huku Bara.
Pesa za Walipa kodi si za Rais yoyote. Hii dhana kwamba pesa ni za Rais ni ya kijima sana!
Mikopo inalipwa na walipa kodi wa Tanganyika. Kila kitu ni kwa walipa kodi.
Taasisi ya Urais ni ku organize shughuli.
Punguza kuendekeza roho ya chuki huwa inafundisha watu kuhifadhi hasira na vinyongo. Hao wazanzibar wachache nina uhakika hawawakilishi wazenji wengi wanaoielewa kwa mapana faida ya muungano.
Hivi mwenye chuki ni nani, yule anayekataa Utanzania na kutukuza Uzanzibar au anayesema wapewe nafasi ya kutukuza Uzanzibar wao. Sina chuki ila sikubaliani na dhana ya kuwafanya Wazanzibar kama Watu ''special' na wa maana kuliko Raia wengine. Sikubaliana na dhana ya Zanzibar kuwa mzigo katika Muungano! Sikubaliana na dhana ya Zanzibar ya kukimbia ushiriki.
Nyerere ni mwerevu ukitaka kujua tazama namna Ghadhafi na Nkrumah walivyoendelea kusisitizia Arika iungane kwa nyakati tofauti. Ubabe wa USA ni kwa sababu ya nguvu iliyopatikana baada ya kuunganisha majimbo yao.
Kuna kuungana kwa Africa ! Giant . Huu wa kwetu si kuungana na kuwasaidia

Mwaka 1969 Nyerere alisema '' kama Wazanzibar hawataki Muungano hatawapiga mabomu''

Swali, hebu mweleze Mtanganyika ni kipi anapoteza ikiwa Wazaznibar hawataki Muungano
 
Kipaumbele kinapewa sehemu zote za Jamhuri ya Muungano, Samia kwao kizimkazi lakini kila anapokwenda huko nje kwenye mikutano mikubwa ni kwa maslahi ya maelfu ya zahanati zilizoko huku bara, ni kwa ajili ya kutafuta pesa za kumalizia miradi ya REA na madaraja mengine yanayojengwa.

Samia kwao kizimkazi lakini anajenga viwanja vingi vya ndege pamoja na viwili vya mipira huku Tanzania Bara. Hiyo ni spirit ya muungano ambayo wewe unahoji unatusaidia vipi huku Bara.

Punguza kuendekeza roho ya chuki huwa inafundisha watu kuhifadhi hasira na vinyongo. Hao wazanzibar wachache nina uhakika hawawakilishi wazenji wengi wanaoielewa kwa mapana faida ya muungano.

Nyerere ni mwerevu ukitaka kujua tazama namna Ghadhafi na Nkrumah walivyoendelea kusisitizia Arika iungane kwa nyakati tofauti. Ubabe wa USA ni kwa sababu ya nguvu iliyopatikana baada ya kuunganisha majimbo yao.
in short, wanachosema watanganyika ni kwamba, hatujahitaji mzanzibari aje aendeleze Tanganyika, kama kweli ana fanya hayo unayoyasema. na kama wamelazimisha ili awe rais, basi, hayo anayoyafanya ni wajibu wake na hatupaswi kumshukuru kwa sababu pia anafaidika mno yeye binafsi na familia na ukoo wake mzima kuwa rais wa nchi hii. yeye ndiye anapaswa kutushukuru watanganyika kwanza kwa kuwa Rais kwa sababu angekuwa kizimkazi angeishi maisha yake yote bila kuwa Rais kwa sababu ni mwanamke.
 
in short, wanachosema watanganyika ni kwamba, hatujahitaji mzanzibari aje aendeleze Tanganyika, kama kweli ana fanya hayo unayoyasema. na kama wamelazimisha ili awe rais, basi, hayo anayoyafanya ni wajibu wake na hatupaswi kumshukuru kwa sababu pia anafaidika mno yeye binafsi na familia na ukoo wake mzima kuwa rais wa nchi hii. yeye ndiye anapaswa kutushukuru watanganyika kwanza kwa kuwa Rais kwa sababu angekuwa kizimkazi angeishi maisha yake yote bila kuwa Rais kwa sababu ni mwanamke.
Katika uhalisia hakuna mzanzibari na mtanganyika ni akili zetu za kibaguzi na kilofa zinazotusumbua. Unamuongeleaji mzanzibari ambaye Babu yake anatoka kule Mtwara Mjini?.

Unamzungumziaje Mnyamwezi wa Tabora ambaye bibi zake wanatoka kule Pemba?. Tunao muingiliano mkubwa sana wa bara na visiwani kiasi kwamba ninapokusoma ninakuona ni kijana mmoja mwenye kutekwa na maneno ya mitaani ya kwenye meza za kahawa.

Chuki hata siku moja haiwezi kuua undugu wa karne na karne. Chuki haiwezi kuizidi nguvu damu inayounganisha watu.
 
Katika uhalisia hakuna mzanzibari na mtanganyika ni akili zetu za kibaguzi na kilofa zinazotusumbua. Unamuongeleaji mzanzibari ambaye Babu yake anatoka kule Mtwara Mjini?.

Unamzungumziaje Mnyamwezi wa Tabora ambaye bibi zake wanatoka kule Pemba?. Tunao muingiliano mkubwa sana wa bara na visiwani kiasi kwamba ninapokusoma ninakuona ni kijana mmoja mwenye kutekwa na maneno ya mitaani ya kwenye meza za kahawa.

Chuki hata siku moja haiwezi kuua undugu wa karne na karne. Chuki haiwezi kuizidi nguvu damu inayounganisha watu.
mbaguzi ni nani sasa? mzanzibari na mtanganyika ni yupi? wewe mtanganyika unayekatazwa kumiliki ardhi zanzibar unabaguliwa au haubaguliwi? na mzanzibar anayeruhusiwa kumiliki kote naye anabaguliwa? wewe mtanganyika usiyeweza kupata kazi zanzibar unabaguliwa au la? na mzanzibar ambaye anapata kule na bado huku bara apate asilimia 20% naye anabaguliwa? hivi una akili kichwani wewe?
 
mbaguzi ni nani sasa? mzanzibari na mtanganyika ni yupi? wewe mtanganyika unayekatazwa kumiliki ardhi zanzibar unabaguliwa au haubaguliwi? na mzanzibar anayeruhusiwa kumiliki kote naye anabaguliwa? wewe mtanganyika usiyeweza kupata kazi zanzibar unabaguliwa au la? na mzanzibar ambaye anapata kule na bado huku bara apate asilimia 20% naye anabaguliwa? hivi una akili kichwani wewe?
Hiyo ardhi ya mtanganyika kwenda kuitamani huko Zanzibari unaifahamu kweli ukubwa wake ulivyo au ni chuki tu zetu zile zile?.

Uende ukaombe kazi unguja au pemba wakati kuna maelfu kwa maelfu ya taasisi zenye kuajiri watu huku huku bara!.
 
Hiyo ardhi ya mtanganyika kwenda kuitamani huko Zanzibari unaifahamu kweli ukubwa wake ulivyo au ni chuki tu zetu zile zile?.

Uende ukaombe kazi unguja au pemba wakati kuna maelfu kwa maelfu ya taasisi zenye kuajiri watu huku huku bara!.
kama sisi sote ni taifa moja, unaogopa nini hata watanganyika wakichukua ardhi kule? si raia au ? kwa hiyo tukisema ukweli wazanzibari hurukia ari "chuki" hivi ninyi mna faida gani kwa Tanganyika? unajua hatuwataki kabisa?
 
Hiyo ardhi ya mtanganyika kwenda kuitamani huko Zanzibari unaifahamu kweli ukubwa wake ulivyo au ni chuki tu zetu zile zile?.

Uende ukaombe kazi unguja au pemba wakati kuna maelfu kwa maelfu ya taasisi zenye kuajiri watu huku huku bara!.
hivi unaponizuia mimi kwenda kumiliki zanzibar wakati wewe unamiliki tanganyika, unacholinda ni nini? na hauoni kama unawabagua watanganyika? kama alivyo mwanamke kwa mwanaume, wanawake huwa wana offer vitu vichache sana kama sio kimoja tu kwa mwanaume, wakati mwanaume anatoa kila kitu. ninyi sasa, what do you offer kwenye muungano huu zaidi ya chuki, ugaidi, na ubaguzi?
 
mbaguzi ni nani sasa? mzanzibari na mtanganyika ni yupi? wewe mtanganyika unayekatazwa kumiliki ardhi zanzibar unabaguliwa au haubaguliwi? na mzanzibar anayeruhusiwa kumiliki kote naye anabaguliwa? wewe mtanganyika usiyeweza kupata kazi zanzibar unabaguliwa au la? na mzanzibar ambaye anapata kule na bado huku bara apate asilimia 20% naye anabaguliwa? hivi una akili kichwani wewe?
Watanganyika hawakuwa na ubaguzi , wamefundishwa na Wazanzibar. Kitendo cha Wazanzibar kupewa ''special status' ndani ya Tanganyika ni ubaguzi. Mfano, kuna nafasi za masomo kwa Wazanzibar katika vyuo hata kama ni kiazi. Kuna nafasi za ajira asilimia 20 kwa Wazanzibar hata kama hana qualification. Kwamba Uzanzibar ni 'qualification na status'' ndani ya Muungano

Kwamba wanaweza kumiliki mali na ardhi, Mtanganyika hawezi kule kwao. Kwamba, wanaweza kulipiwa umeme wa BURE na mbeba mkaa wa Buguruni kwasababu tu ni Wazanzibar
Kikubwa zaidi, mchango wao kwa uchumi hauonekani, ni 0% kwasababu chao ni chao

Watanganyika wanatala walinde masilahi yao. Kosa lipo wapi?
kwanini Mzanzibar awe na haki kuliko raia mwingine ikiwa wote ni Watanzania.

In fact hawataki hata kuitwa Watanzania. Kwanini wasipewe nafasi ya kuhangaika na nchi yao ambayo ipo kwa mujibu wa Katiba yao 1984 rejeo 2010
 
Hiyo ardhi ya mtanganyika kwenda kuitamani huko Zanzibari unaifahamu kweli ukubwa wake ulivyo au ni chuki tu zetu zile zile?.

Uende ukaombe kazi unguja au pemba wakati kuna maelfu kwa maelfu ya taasisi zenye kuajiri watu huku huku bara!.
Kwanini wanaanzisha Taasisi ambazo tayari zipo huku. Kwanini tusiwe na Taasisi moja.
Hakuna Taasisi isiyo na mbadala Zanzibar. Hata Jeshi wanalo ! kuna video

Hoja hapa ni kwamba, kwa suala la ajira wabaki huko kwenye Taaisisi zao kwasababu Mtanganyika haruhusiwi. Kinachowaudhi watu ni wao kuwa na '' nafasi zao na nafasi za Muungano''
Huku ni kuwazibia Vijana wa Tanganyika kwasababu tu kuna watu wenye 'special status''

Hakuna sababu za Mtanganyika kwenda Zanzibar , lakini haki ya Watanganyika kuamua hatma yao ipo pale pale. Hivi hata umeme walipiwe bure na mbeba mizigo wa Buguruni kwasababu wao ni Wazanzibar.

Uzanzibar hauwezi kuwa qualification au status ndani ya muungano.

JokaKuu
 
Watanganyika hawakuwa na ubaguzi , wamefundishwa na Wazanzibar. Kitendo cha Wazanzibar kupewa ''special status' ndani ya Tanganyika ni ubaguzi. Mfano, kuna nafasi za masomo kwa Wazanzibar katika vyuo hata kama ni kiazi. Kuna nafasi za ajira asilimia 20 kwa Wazanzibar hata kama hana qualification. Kwamba Uzanzibar ni 'qualification na status'' ndani ya Muungano

Kwamba wanaweza kumiliki mali na ardhi, Mtanganyika hawezi kule kwao. Kwamba, wanaweza kulipiwa umeme wa BURE na mbeba mkaa wa Buguruni kwasababu tu ni Wazanzibar
Kikubwa zaidi, mchango wao kwa uchumi hauonekani, ni 0% kwasababu chao ni chao

Watanganyika wanatala walinde masilahi yao. Kosa lipo wapi?
kwanini Mzanzibar awe na haki kuliko raia mwingine ikiwa wote ni Watanzania.

In fact hawataki hata kuitwa Watanzania. Kwanini wasipewe nafasi ya kuhangaika na nchi yao ambayo ipo kwa mujibu wa Katiba yao 1984 rejeo 2010
halafu mtu anayetaka mimi Mtanganyika nisimiliki ardhi zanzibar, ati hapa ipo nyingi kwa nini niende kule kwa nini wao wanakuja hapa? na mbona kama ardhi kule ni chache mbona wamewapa wataliano na wazungu ila wabongo hawataki? ipo hadi inabaki kule, na sisi kama vile wazanzibar wanavyomiliki ardhi kubwa na kuingia ubia na wazungu huku bara, tunataka na sisi twende kule tukamiliki ardhi tujenge mahoteli na tukiamua tukodishe wa wataliano kama wao wanavyofanya. watanganyika kama haiwi hivyo hakuna chochote tunafaidika kwenye huu muungano.
 
Hakuna anayepoteza katika muungano. Kwame Nkrumah mpaka kesho ni shujaa miongoni mwa wanazuoni kwa wazo lake la kutaka kuiunganisha afrika nzima iwe ni muunganiko wa majimbo United States of Africa,.

Muamar Ghadhafi alikuwa na wazo lenye kuunganisha afrika iwe nchi moja, wote wawili hao hawakuwa wajinga, hawakuongozwa na hulka za kibinafsi zenye kujali nyimbo za taifa na bendera waliangalia mbali zaidi ya utukufu wa kibinadamu.

Nyerere hakuwa mjinga kuutetea muungano kwa udi na uvumba. Tatizo letu ni lile lile la kutaka kuwaonyesha wazenji kwamba na sisi tunaweza kufanya huo upuuzi mnaoufanya.

Ni akili za visasi na kukomoana zilizo nyuma ya hizi hoja za kuidai Tanganyika.
Kwa kweli watu wengine sijui huwa mnafikiria kwa kutumia viungo gani?United States of America ni nchi moja yenye bendera moja.United States of Africa isingwezekana kwa sababu kuna viinchi vimejaa roho mbaya kama vile Rwanda,Libya yenyewe ya Gadafi,Burundi,Democratic Republic of Congo,Malawi,Zanzibar,Somalia,Sudani na Eritria.Na ndio maana mpaka leo Wazanzibar hawaukubali Utanzania bali Uzanzibar kwao ndiyo jambo la msingi.Kama Tanzania ni nchi moja kwa maoni yangu naona siyo sawa maana kuna bendera za mataifa mawili(Tanzania na zanzibar),kuna marais wawili (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar),kuna Katiba mbili (Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na Katiba ya Jamhuri ya Zanzibar ya 1984).
Labda huu Muungano ni wa chama na si Watanzania wote kwa maana taifa moja linaneemeka na rasilimaliza nchi zote lakini taifa lingine linanyonywa kila uchao.
 
kama sisi sote ni taifa moja, unaogopa nini hata watanganyika wakichukua ardhi kule? si raia au ? kwa hiyo tukisema ukweli wazanzibari hurukia ari "chuki" hivi ninyi mna faida gani kwa Tanganyika? unajua hatuwataki kabisa?
Huwataki wewe na jamaa zako wachache, sio watanzania milioni 64.
 
Back
Top Bottom