Suala la Mishahara ya wafanyakazi wa serikali: Tuzungumze mazuri na mapungufu katika suala hili nyeti, tuweke siasa pembeni

Suala la Mishahara ya wafanyakazi wa serikali: Tuzungumze mazuri na mapungufu katika suala hili nyeti, tuweke siasa pembeni

Mkuu kote unazunguka Jiwe anasumbuliwa na roho mbaya asilia ya kihutu , hataki mtu yoyote apate , yaani akipita akakukuta unakula vizuri anaumia nusu ya kufa nilikuwa namuona wizarani .
 
Mkuu kote unazunguka Jiwe anasumbuliwa na roho mbaya asilia ya kihutu , hataki mtu yoyote apate , yaani akipita akakukuta unakula vizuri anaumia nusu ya kufa nilikuwa namuona wizarani .
Asante kwa description nzuri ya huyu mtu.. naichukuwa
 
Mkuu kote unazunguka Jiwe anasumbuliwa na roho mbaya asilia ya kihutu , hataki mtu yoyote apate , yaani akipita akakukuta unakula vizuri anaumia nusu ya kufa nilikuwa namuona wizarani .
mbona mie naona ni mpenda maendeleo? sjui kwa nin katusahau wafanyakaz
 
linazua gumzo ni kuingiza wanajeshi "uraiani" kama vile nchi inaongozwa kijeshi.


Maslahi ya watumishi wa umma yamepuuzwa sana. Ipo dhana ya uhusiano ksti ya mwajiri na mwajiriwa. Mshahara wa mfanyakazi utosheleze mahitaji yake tu ili aendeler na ajira yake.


Kwa dhana hiyo mwajiri katili atalipa mishahara isiotosha hata kuganga njaa aendelee kumtumikiwa bila kujali shida za watumishi wake.
Promotion & upgrading, annual salary increments, salary adjustments, annual leave allowance, travelling allowance, etc, ni haki za watumishi wa umma. Wakinyimwa maslahi yao na kupeleka fedha husika kwenye miradi ya maendeleo au matumizi mengine si sawa.
 
Back
Top Bottom