Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wewe ni KE au ME?Yaan nikimuangalia sijui kama hata shoo anaweza vzr, waliosoma CUBA ndio wanaelewa 😅
Hapo issue sio ushabiki mwenzetu yupo hapo kimaslahi zaidi ...hana mapenzi na ccm kiasi hicho mpaka kujitoa akiliKwa kweli inasikitisha kuona watu wanawaingilia wenzao katika haki zao za kikatiba na kibinadamu.
Kwani msanii hatakiwi kushabikia CCM?
Mimi si mpenzi, mwanachama wala mshabiki wa CCM.
Lakini, kifalsafa, kila mtu ana haki ya kushabikia chama anachokitaka.
Tuwapinge watu kwa hoja, sio kwa sababu wameamua kushabikia chama fulani.
Kushabikia chama chochote anachoamua mtu, au mwanasiasa yeyote, ni haki ya uraia, ni haki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu.
Kwa nini watu wanaodai demokrasia wao wenyewe wanashindwa kuheshimu uamuzi wa watu wengine kushabikia vyama fulani au wanasiasa fulani, kitu ambacho ni sehemu ya demokrasia?
Mkuu unachuma dhambi kijinga mno. Ulimpima Dotto ukajua ni kichaa? Halafu kuna sheria ya jamhuri au ya Mungu imevunjwa na AY kushabikia CCM? Haki mnazopigania ndo mnatakiwa mziheshimu na sio kuwanyooshea vidole wengine walioamua kuwa tofauti na nyie.Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Kwanza suala la maslahi linahitaji ushahidi. Hata kama ni kweli, ushahidi unahitajika ili tujue ni kweli.Hapo issue sio ushabiki mwenzetu yupo hapo kimaslahi zaidi ...hana mapenzi na ccm kiasi hicho mpaka kujitoa akili
Nitoke vipi sasa AY nani anamjua kwa kizazi hiki cha genz,asipouza sura atajulikanaje asife njaaKwanza suala la maslahi linahitaji ushahidi. Hata kama ni kweli, ushahidi inahitajika ili tujue ni kweli.
Pili, mwanachama au mshabiki wa chama kushabikia jwa maslahi si ajabu. Kila mtu ana haki ya kuwa mwanachama au mshabiki wa chama kwa kuangakia maslahi yake.
Hata unapopigia kura chama unatakiwa kuangalia chama gani kitaboresha maisha yako. Hayo ni maslahi pia.
Tatizo liko wapi?
Mpaka sasa hujanionesha tatizo oa AY kuishabikia CCM au kumshabikia Samia liko wapi.
Naelewa kunaweza kuwa na tofauti za kisiasa, lakini hilo halifanyi AY kuwa kakosea. Kwa sababu, kifalsafa, AY kushabikia CCM au kunshabikia Samia ni haki yake ya kiraia, ya kikatiba, ya kibinadamu.
Kosa la AY kushabikia CCM au kumshabikia Samia (ukiondoa mambo ya tofauti za kisiasa, hizo hazina mashiko kwenye hoja yangu, kwa sababu zinakubakiwa
Jata mimi mwenyewe siikubali CCM, simkubali Samia )
Kosa la AY ni lipi hasa?
Njaa haina baunsaWaliompa jina la Masta wamvue mara moja. Masta unakuwaje Chawa
Hata hiyo, kama unachosema ni kweli, ni haki yake ya kiraia, kikatiba na kibinadamu.Nitoke vipi sasa AY nani anamjua kwa kizazi hiki cha genz,asipouza sura atajulikanaje asife njaa
Jumba lake la chikago bado lipoHuyo jamaa siku hizi hana mishe,namuona anashinda saluni flani pale sinza sana.
Mkuu he has the family to feed and not the society to impress.Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Mwendo Wa Ngiri Mkia JuuAnafukuzia teuzi. Ni mwendo wa kuwa CHAWA tu.
Sarakasi TuJumba lake la chikago bado lipo
Hivi AY hana haki ya kushabikia chama au mwanasiasa anayemtaka?Mkuu he has the family to feed and not the society to impress.
Usifanye masikhara na njaa ,kama inakupa hela pita nayo...yupo kazini hapo.
Cha Msingi Life Lake Linasonga. Majungu Weka Pembeni.Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kwa mujibu wa katiba kila mtu ana haki ya kuchagua chama anachokitaka.....So AY hajavunja katiba kushabikia CCM na pia kumfagilia Mama Kizimkazi.Hivi AY hana haki ya kushabikia chama au mwanasiasa anayemtaka?
Hili ndilo swali la msingi, mengine yote yanategemea jibu la swali hili.
Maisha magumuHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Pigo la kuachana na mkewe limemtafuna ubongo, hadi leo naona hayuko sawa!
Kataa Ndoa Wampongeze AYPigo la kuachana na mkewe limemtafuna ubongo, hadi leo naona hayuko sawa!