min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu utakufa na tai shingoni mimi simkubali samia ila pia pesa huwa siachi , pesa nachukua nakura simpi na kushinda atashinda win win situation.Kwa sasa mfukoni mwangi nina 15,000 tu .
Atokee mtu aniambie niwe shabikia wa samia au ccm, au kuvaa nguo ya ccm anipe milioni sitakubali kamwe hata kwa panga!