Itakuwa njaa imemuuma!...inasikitisha sanaHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Duuuh!!! Hivi masta aliachwa na yule mnyarwanda?
Katika kapo zilizonistua kuachana ni yako Nifah[/UaSER] Na mzee baba, ya pili ni hii ya masta.
Ila yule demu hakua level za masta.
[/QUOTE]
Alichezea za uso
Hiyo hesabu ya 2 kwa 300 unaona ipo sana mkuuMkuu mbona wasanii kibao wameenda CHADEMA wengine mpaka wakapata ubunge, kina Sugu, kina Prof. Jay.
Tena Prof. Jay alianzia CCM akahamia CHADEMA.
Na hata wasanii wote wakienda CCM, tatizo liko wapi? Si haki yao ya kiraia, kikatiba na kibinadamu?
Unataka kuwapangia waende wapi?
Kabisa, wasanii nao wana haki ya kushabikia wakipendacho.Kwa kweli inasikitisha kuona watu wanawaingilia wenzao katika haki zao za kikatiba na kibinadamu.
Kwani msanii hatakiwi kushabikia CCM?
Mimi si mpenzi, mwanachama wala mshabiki wa CCM.
Lakini, kifalsafa, kila mtu ana haki ya kushabikia chama anachokitaka.
Tuwapinge watu kwa hoja, sio kwa sababu wameamua kushabikia chama fulani.
Kushabikia chama chochote anachoamua mtu, au mwanasiasa yeyote, ni haki ya uraia, ni haki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu.
Kwa nini watu wanaodai demokrasia wao wenyewe wanashindwa kuheshimu uamuzi wa watu wengine kushabikia vyama fulani au wanasiasa fulani, kitu ambacho ni sehemu ya demokrasia?
Maisha ya Marekani yamemshinda, sanaa hailipi kivile, kamwona ndugu yake Mwana FA Kawa mbunge na pesa zipo nje nje Kawa tajiri kaamua Sasa na yeye awe chawa ili angalau ifikapo oktoba aweze kupata hata ka ubungeHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Kwanini asimsapoti rafiki yake?nothing to argue!Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
The Butcher huyoMasta unakuwaje Chawa
Ni bahati tu, ubunge kila mtu anaweza kupata yategemea bahati yake imelalia wapiMaisha ya Marekani yamemshinda, sanaa hailipi kivile, kamwona ndugu yake Mwana FA Kawa mbunge na pesa zipo nje nje Kawa tajiri kaamua Sasa na yeye awe chawa ili angalau ifikapo oktoba aweze kupata hata ka ubunge
DahDuuuuh jamani!!!! Pole zake kaka yetu..... Imekua kama flavy matata baada ya picha ya ndoa tu hakuwahi teeena kuonekana na mme jini mkata kamba hakulala.
Pole zao
We unaweza kufika hata 5% yake?N heshima ipi hy AY amejiwekea hapa nchini?
Anategemea kupitia jina lake na akiwa CHAWA wanaweza kumpa priority zaidiNi bahati tu, ubunge kila mtu anaweza kupata yategemea bahati yake imelalia wapi
Mm sio msaniiWe unaweza kufika hata 5% yake?
Au ndio rangi rangi zinapwita?