Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

Nimekutaka uweke maneno yangu mwenyewe kwenye hiyo thread tuyachambue, umeshindwa.

Inawezekana nimeandika A, ila kichwa chako kidogo hakielewi A, kimeelewa B.

Wewe acha uvivu, point unaitoa wewe halafu ushahidi unataka nitoe mimi?

Siwezi kushangaa unavyopenda uzushi, hiyo ni tabia ya watu wavivu kama wewe wasiopenda kufanya kazi ya kuthibitisha mambo kwa ushahidi.
 
wewe kwenu ni bara?
 
Nimeshakuonesha umuhimu wa unachoita uzushi, ajabu unajidai kichwa ngumu usiyetaka kuelewa, badala yake unakuja na majibu kuonesha kichwa chako ndio "computer" inayojua kila kitu, ujuaji tu, ukiulizwa umepima kwa uthibitisho wa kifaa kipi huna jibu.

Niambie; hivi mvivu ni nani kati yetu kama kweli una akili unazoamini unazo..

Yule anayekaa kusubiri ushahidi wa jambo ili aanze kulizungumzia? au huyu anayechukua tetesi/uzushi kisha anaanza connect dots ili apate majibu sahihi?

- Ukiulizwa kwanini majibu yasiwe sahihi, umetumia kipimo gani kuthibitisha hilo, huna jibu, ukiulizwa kwani fikra zako ziko sahihi kila wakati, kimya tena, unabaki kuzunguka tu na logical fallacy kama vile wewe pekee ndie mwalimu wa logic hapa duniani.

Huo ushahidi unaousubiri utaletewa na nani? Umekaa tu hapo umelaza kitumbo na uzungu wako wa uswahilin, huu ndio uvivu, nakwambia tena tafuta glass ya maji unywe utulize hicho kichwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hata kwenye uzushi, kuna uzushi ubaoweza kutetewa kwa logical consistency. Ukiendekeza uzushi huo, nawwza kusema labda hapa kuna ukweli haujajulikana, unaanza kwa kuonekana kama uzushi.

Lakini, uzushi wako hauendani na logical consistency yoyote, hakuna sababu yoyote ya kumfanya Mwinyi asitake kuzikwa Zanzibar. Sababu mzizozitoa ni za uzushi pure ambao umekuwa based kwenye wosia wa Mwinyi, ambao ni wa hadithi za uzushi tu.

Yani sababu zako ni sawa na mimi niseme denoo JG anashikia bango hiki suala Mwinyi azikwe Mkuranga kwa sababu yeye ni mla nyama za watu anayeishi Mkuranga, anataka Mwinyi azikwe Mkuranga iki apate urahisi wa kufujua kaburi amle nyama Mwinyi wa watu.

Si unataka tuendekeze uzushi?

Bisha sasa.
 
Angezikwa Mkuranga, Dr. Mwinyi urais wake Zenji ungekoma 2025.

Mkakati ni mkakati....
 
🤝🆒
 
Usihofu, mtoto wa mzee MWINYI akiitwa HASSAN nae amezikwa Zanzibar, kwa hiyo hatakua mpweke.
Na kama kuna ulazima wa kupeleka udongo Mkuranga utapelekwa.
Kijana unatuchekesha wafiwa 😂😂😂😂
 
Azikwe Zanzibar au Bara, udongo ndo huu huu Tu.
 
Hivi aliyekuwa mbunge wa Mkuranga ni Mwinyi baba au mtoto?
Mimi nafahamu Mwinyi mtoto alikuwa mbunge wa mkuranga kwa takriban miaka 20, lakini waliokuwepo enzi za ubunge na uwaziri wa mzee Mwinyi wanasema na baba alianza kwanza kuwa mbunge wa mkuranga na kushika nyadhifa mbali mbali za uwaziri, kisha baadae akaenda kuwa raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano.
 
🙄
 
Mkuu usihamishe magoli! Tetea hoja yako kama Kiranga!
 
Hivi aliyekuwa mbunge wa Mkuranga ni Mwinyi baba au mtoto?
Mwinyi baba hajawahi kuwa Mbunge wa Mkuranga.

Wakati Mwinyi baba waziri miaka ya sabini alitokea Zanzibar, na Mkuranga hata halikuwa jimbo la ubunge.

Hapa hadithi za kuungaunga ni nyingi sana.

Mara nyingine mtu unashindwa hata uanzie kusahihisha wapi.
 
Mkuu usihamishe magoli! Tetea hoja yako kama Kiranga!
Kutetea hoja inabidi uwe na fact, uwe na logic.

Huyu anatetea uzushi, anatetea habari zisizo na ushahidi, anatetea hisia zake, anatetea hadithi anazozitaka yeye.

Hawezi kutetea hoja.

Katoa habari ya wosia wa Mwinyi, wosia wenyewe uzushi mtupu.

Kanibandika maneno anasema nimeandika hapa, nimemuuliza anipe thread na bandiko twende kwa ushahidi na muktadha vizuri, kashindwa.

Ni mtu wa vimaneno vya kuungaunga kimbeambea kizushizushi tu.
 
Ukichota mchanga bara ukaenda kuumwaga zanzibar kuna shida gani.
A dead body is nothing, ukifa we sii kitu, unaliwa na wadudu iwe bara iwe znz
 
Mwinyi hata nyumba Zanzibar Hana, Sasa alikuwa anaishi Kwa nani, AU kwenye Yale maflat ya pale unguja ?
Wewe umejuaje kama hana nyumba Zanzibar mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…