Suala la kuzaliwa hapa na kuzikwa pale sio la kimuungano, wala sio la kisiasa, hata Magufuli aliwahi kupinga kuzikwa Dodoma akifariki, ni suala la mila na desturi zetu unazoziita ni ujinga hutaki kuzifuata.
So kwangu naona kuleta habari ya kuzaliwa hapa na kwenda kuzikwa kule ili kukuza muungano ndio ujinga wenyewe, kwani huko Zanzibar hakuna waliozaliwa na kuishi huko? kama wapo kwanini wasizikwe kwao walipozaliwa?!
Unaonekana hujui hata tetesi wewe unaita uzushi ni chanzo kimojawapo cha habari, hapo ndipo huwasukuma waandishi wanaojielewa kuanza kuchimba kuutafuta ukweli, kuzikataa tetesi/uzushi kama unavyoita ni kujinyima haki yako ya kupata habari.
Ndio mimi stories za uzushi nazipenda kwasababu zina expand my brain muscles, zinaifanya akili yangu itanuke, napata wasaa wa ku- connect dots, sipendi kuwa na lazy mund ya jusubiri ushahidi wa kila jambo kama vile niko mahakamani.
Sent from my SM-G900H using
JamiiForums mobile app