Youda Fema
Member
- Feb 2, 2024
- 70
- 63
Inasemekana hata na aboud jumbe rais wa pili wa zanzbr naye ni mtu wa bara. Hata na mwinyi rais wa xaxa pia n mtu wa bara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Palikuwepo na sababu ya kisiasa pia kumzika huko.Daudi Balali aliyekuwa Gavana wa BoT alizikwa Marekani.
Swala la kuzikiwa Zanzibar au Bara ni la familia. Ni kweli mzee Mwinyi ameishi muda mrefu bara na hata kufikia hatua ya kutaka azikiwe kwao Mkuranga, ila ninachosema huenda familia yake ilikaa ikamshauri akubali kuzikiwa Zanzibar wanapoona alioa, kuzaa na kukulia huko. Lakini pia inaweza kuwa ni sababu za kisiasa zimechangia.Hayo mambo yaliyojadiliwa kwenye familia ya Mwinyi kama kweli yalijadiliwa, ni siri yao.
Lakini kimsingi, siku zote mtoto lazima azikwe pale walipozikwa wazazi wake, huu ndio utamaduni wetu, unalazwa pale walipolazwa ndugu zako wengine.
Sasa leo Mwinyi badala ya kuzikwa Mkuranga anaenda kuzikwa Zanzibar, kisa alisoma huko, hebu tuambie, kwa uamuzi wenu huo, hivi hamuoni kama mmemtenga na ndugu zake wengine waliozikwa huku Bara?
Ndugu yake yupi tena atakaekwenda kuzikwa nae Zanzibar, kama ni Rais Dr. Mwinyi, hamuoni pia hawa wawili mtakuwa mmewatenga na ndugu zao wengine waliozikwa huku Bara?
Hapo ndipo unapopata picha kwamba, huu uamuzi wa kumzika Mzee Mwinyi Zanzibar, ni purely political motivated.
Ndio maana kwasababu hizo za kisiasa, watajikuta ni wao wawili pekee, baba mtu na mwanae [kama nae atataka kuzikwa huko, sababu wanasema anaogopa baba yake kuzikwa bara sababu naye ataonekana sio mzanzibar na maadui zake kisiasa, sijui akiondoka madarakani hiyo hofu itabaki au ataondoka nayo] kama itabaki, ndio wawili pekee watakaozikwa Zanzibar, huku ndugu zao wengine wote wakizikwa Bara.
I never thought kama siasa ina nguvu kiasi hiki, au ni uoga tu wa mwanasiasa mwenyewe anayeamua kuchukua maamuzi yatakayokwenda kinyume na mila na desturi zetu, kwa maslahi yake ya kisiasa, hiki kilichofanyika kwa Mzee Mwinyi, binafsi sijakipenda, tunatakiwa siku yetu ya mwisho sote tulazwe pale walipolazwa ndugu zetu kama nafasi ipo.
Wengine ambao hawana uwezo wa kusafirisha ndugu zao, hupeleka udongo wa pale alipozikwa ndugu yao nyumbani kwao uende kuzikwa huko, yote hii ni kuonesha umuhimu wa kumzika marehemu pale alipozaliwa, nashangaa na kusikitika kwanini wamemuondolea Mzee Mwinyi haki yake hii, ikiwa uwezo wa kumsafirisha na kumzika nyumbani kwao Mkuranga upo, sio fair.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mwanaume hawezi kwenda kuzikwa alipoolea, hiki kitu hakipo.Swala la kuzikiwa Zanzibar au Bara ni la familia. Ni kweli mzee Mwinyi ameishi muda mrefu bara na hata kufikia hatua ya kutaka azikiwe kwao Mkuranga, ila ninachosema huenda familia yake ilikaa ikamshauri akubali kuzikiwa Zanzibar wanapoona alioa, kuzaa na kukulia huko. Lakini pia inaweza kuwa ni sababu za kisiasa zimechangia.
Hata hivyo mtu akifa amekufa haijalishi anazikiwa Tanzania, Ufaransa au Marekani. Kikubwa azikwe udongoni alipotokea. Maana tunaambiwa tulitoka mavumbini na tutarudia huko huko mavumbini ambapo ni popote kwenye mchanga au udongo.
Wabongo wengi ni watu wa kupenda stories za kuungaunga.Swadakta kabisa. Kila mtu anajifanya kukumbushia usia wa kuzikiwa Mkuranga utafikiri na wao ni watoto wa marehemu.
Mkuu penye wengi pana mengi. Alie muambia nae aliambiwa hivyoMwinyi ameishi zwnx8bar miaka 90???hauko serious,nusu ya maisha yake smeishi mikocheni hata alipistaafu aliishi mikocheni
Mkuu Kwa heshima zote..Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.
Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.
Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?
Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lkn ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.
Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.
Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Mkuu,Mwanaume hawezi kwenda kuzikwa alipoolea, hiki kitu hakipo.
Kama familia ilikaa ikaamua kufanya hivyo, basi watakuwa wamefanya hivyo kwa maslahi ya kisiasa ya mtoto wao, sijui ni kitu gani wameogopa mpaka kuamua hivyo.
Mambo ya kelele za kisiasa siku zote huja na kupita, hao wapinzani wake wangepiga kelele lakini mwisho wa siku hawana nguvu ya kumzidi mwenyekiti wa chama chao kama akiamua kufanya jambo lake.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kuwa huenda na siasa imechangia mno katika swala hilo.Mwanaume hawezi kwenda kuzikwa alipoolea, hiki kitu hakipo.
Kama familia ilikaa ikaamua kufanya hivyo, basi watakuwa wamefanya hivyo kwa maslahi ya kisiasa ya mtoto wao, sijui ni kitu gani wameogopa mpaka kuamua hivyo.
Mambo ya kelele za kisiasa siku zote huja na kupita, hao wapinzani wake wangepiga kelele lakini mwisho wa siku hawana nguvu ya kumzidi mwenyekiti wa chama chao kama akiamua kufanya jambo lake.
Hilo la kusema mtu akifa amekufa anaweza kuzikwa popote, unaonesha ilivyo mchanga, mwanadamu sio mbuzi au kondoo, uliza waliokuzidi umri hapo ulipo wakupe sababu ya umuhimu wa mtu akifa kuzikwa kwao.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hizi ni hisia zako sio ukweliWatanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.
Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.
Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?
Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lkn ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.
Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.
Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Hahaha ni kweli mkuu KirangaWabongo wengi ni watu wa kupenda stories za kuungaunga.
Unaweza kufanya experiment kujutungia tu story ukapost, utashangaa kuna watu watajifanya wanaijua hiyo na kuongezea kabisaaa.
Familia ya Mwinyi ikikubali baba yao azikwe Zanzibar, wewe nani ubishe?
Maneno mengi kuhusu wosia ambao hata hatujauona, hatujausikia kutoka kwa marehemu, hatujui kama ni wa kweli au ni majungu ya kutungwa ya wabongo tu!
Hesabu tangu alipoanza kuwa waziri wa mambo ya ndani mpaka leo ambapo ameishi bara.Watanzania tupeane pole kwa msiba huu mzito katika taifa letu.
Kuna watu wanashangazwa na hili swala la kuamua kuhamisishia msiba wa mzee Mwinyi Zanzibar, wakidai kuwa mzee huyo alikuwa asha usia kuwa akifariki akazikiwe kwao Mkuranga walipozikiwa na kulazwa wazazi wake na babu zake.
Wengi wanalaumu bila kujua ni nini kilichojadiliwa kati ya mzee Mwinyi na familia yake kabla ya umauti kumkuta. Je, kama walijadiliana nae na mzee kuridhia kuzikiwa Zanzibar alipokulia, kuoa, na kuzaa watoto wake huko?
Ni kweli mzee Mwinyi ana asili ya kwetu bara, lkn ukiangalia muda alioondoka bara kwenda Zanzibar mpaka sasa ni almost miaka 90 ambayo ni sawa na karne nzima. Sasa mtu ambae aliondoka bara miaka 90 iliyopita inamaana kwa sasa wale watu waliokuwa wanamfahamu na kumjua kupitia wazazi wake kama vile mashangazi, wajomba, baba wadogo, mama wadogo nk wameshafariki muda mrefu sana. Hakuna anaemfahamu kiundani zaidi ya wale walioko Zanzibar.
Ni kweli wakati alipokuwa raisi na hata baada ya uraisi huenda alikuwa anakwenda kwao mara moja moja, lakini sasa wale watu wake wa muhimu ambao wangemfanya kuvutiwa na kwao wameshafariki hivyo alikuwa ni kama vile mtu mpya au muhamiaji asiefahamika kijijini kwao. Familia nzima mke na watoto ni wenyeji wa Zanzibar, sasa kuna ubaya gani watoto kuongea na mzee wao ili kumsihi azikiwe kule alipoanzia kujenga familia yake ambapo ana watu wengi wanaomfahamu zaidi ya huku alipotokea.
Binafsi nafikiri hili swala la kuzikiwa Zanzibar lina baraka zake baada ya watoto na mke / wake zake kukaa na kumuelewesha hadi mzee kubadili gia angani na kuridhia kuzikwa Zanzibar ila imekuwa siri tu ya kifamilia. Wao sio wajinga wa kukurupuka kupishana na usia wa baba yao, na wakati ni watu wazima wenye elimu zao lakini pia wanafahamu vizuri madhara ya kupishana na usia wa marehemu, hivyo naona wanabaraka zake wala hawakukurupuka yaje yawakute yaliowakuta wengine waliopishana na usia wa ndugu zao.
Hapa sio suala la maneno mengi yasiyo na msingi, ni suala la desturi zetu na kuzifuata. Kawaida desturi zetu inaonesha zinaenda kinyume na kile familia walichoamua.Wabongo wengi ni watu wa kupenda stories za kuungaunga.
Unaweza kufanya experiment kujutungia tu story ukapost, utashangaa kuna watu watajifanya wanaijua hiyo na kuongezea kabisaaa.
Familia ya Mwinyi ikikubali baba yao azikwe Zanzibar, wewe nani ubishe?
Maneno mengi kuhusu wosia ambao hata hatujauona, hatujausikia kutoka kwa marehemu, hatujui kama ni wa kweli au ni majungu ya kutungwa ya wabongo tu!
Wengi wanatakiwa wajifunze kupitia majibu yako. Shukran sana mkuu kwa kutoa darasa la bure kwa vijana.Mkuu,
Wapo wanaume Watanzania ambao ni watu wanaooa Ulaya, Asia na Marekani wanaishi huko na kamua kuzikwa huko.
Itakuwa hapo Zanzibar tu hata huhitaji passport kwenda?
Hebu tutazame hili jambo kwa upana wake, issue hapa sio passport, hao watu wanaozikwa huko nje mostly hushindwa kurejeshwa nyumbani kuzikwa kwasababu za ukosefu wa kifedha, nyie diaspora huwa mnajichangisha mwisho wa siku mambo huwa magumu.Mkuu,
Wapo wanaume Watanzania ambao ni watu wanaooa Ulaya, Asia na Marekani wanaishi huko na kamua kuzikwa huko.
Itakuwa hapo Zanzibar tu hata huhitaji passport kwenda?
Usihofu, mtoto wa mzee MWINYI akiitwa HASSAN nae amezikwa Zanzibar, kwa hiyo hatakua mpweke.Hayo mambo yaliyojadiliwa kwenye familia ya Mwinyi kama kweli yalijadiliwa, ni siri yao.
Lakini kimsingi, siku zote mtoto lazima azikwe pale walipozikwa wazazi wake, huu ndio utamaduni wetu, unalazwa pale walipolazwa ndugu zako wengine.
Sasa leo Mwinyi badala ya kuzikwa Mkuranga anaenda kuzikwa Zanzibar, kisa alisoma huko, hebu tuambie, kwa uamuzi wenu huo, hivi hamuoni kama mmemtenga na ndugu zake wengine waliozikwa huku Bara?
Ndugu yake yupi tena atakaekwenda kuzikwa nae Zanzibar, kama ni Rais Dr. Mwinyi, hamuoni pia hawa wawili mtakuwa mmewatenga na ndugu zao wengine waliozikwa huku Bara?
Hapo ndipo unapopata picha kwamba, huu uamuzi wa kumzika Mzee Mwinyi Zanzibar, ni purely political motivated.
Ndio maana kwasababu hizo za kisiasa, watajikuta ni wao wawili pekee, baba mtu na mwanae [kama nae atataka kuzikwa huko, sababu wanasema anaogopa baba yake kuzikwa bara sababu naye ataonekana sio mzanzibar na maadui zake kisiasa, sijui akiondoka madarakani hiyo hofu itabaki au ataondoka nayo] kama itabaki, ndio wawili pekee watakaozikwa Zanzibar, huku ndugu zao wengine wote wakizikwa Bara.
I never thought kama siasa ina nguvu kiasi hiki, au ni uoga tu wa mwanasiasa mwenyewe anayeamua kuchukua maamuzi yatakayokwenda kinyume na mila na desturi zetu, kwa maslahi yake ya kisiasa, hiki kilichofanyika kwa Mzee Mwinyi, binafsi sijakipenda, tunatakiwa siku yetu ya mwisho sote tulazwe pale walipolazwa ndugu zetu kama nafasi ipo.
Na ndio maana pia, wengine wetu ambao hawana uwezo wa kusafirisha ndugu zao, hupeleka udongo wa pale alipozikwa ndugu yao nyumbani kwao uende kuzikwa huko, yote hii ni ili kuonesha umuhimu wa kumzika marehemu pale alipozaliwa, nashangaa na kusikitika kwanini wamemuondolea Mzee Mwinyi haki yake hii, ikiwa uwezo wa kumsafirisha na kumzika nyumbani kwao Mkuranga upo, sio fair.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app