mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Are you serious??Jamani umekosa cha kuandika ili upewe 7000/-Kuna mwanaCCM mwenzako kila cooment ameandika kuwa hakuna sheria ya hivyo.Mimi ni mwanasheria nina elewa kuna sheria inayokataza kuingia na docoment yoyote kizimbani.Mkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Halafu na wewe unajiita MSOMI WA CCM.Iko hivi Mahakama na Jaji wameamua kuwa beba kama dairy na simu vingekagugliwa muda ule ule ,huu utumbo ulioandika ilikufurahisha mabwana zako pale Lumumba usingefanya hivyo.Kwasasa waweza sema hivyo kwa kuwa yakufanyika yameshafanyika.Lakini nikukumbushe kuwa MUNGU ameamua kuanza kuwauumbua hata kama mtashinda hili pingamizi lakini yajayo ni mengi naya kufurahisha.jambo ambalo halijathibitishwa ni kwamba, hata kama alikuwa navyo mkononi au mfukoni, hizo ni mali zake ametoka nazo nyumbani kwake, hakuna uthibitisho kwamba wakati akitoa ushahidi alikuwa anasoma, na kusoma haikataliwi kama ataiomba mahakama ili arefresh, huwa inaruhusiwa, sema hakuomba kurefresh na hakusoma. kwahiyo kuishika tu wakati huwa kunakuwa na nafasi ya kuomba kurefresh kama atakubaliwa, sio kosa. sasa ninyi wanasheria wa dcm msio jua kitu mnaona kama ndio mmeshashinda kesi, na mawakili wenu hawawaelekezi vizuri wanaendesha kesi kisiasa. kushika tu diary kuna kosa gani? pale ni open court, kuna watazamaji kibao, makarani, wafuasi wa chadema, waandishi wa habari, point of focus muda wote ipo kwa shahidi watu wote macho kodoo kw a shahidi kwasababu ndiye anayeulizwa maswali na kuyajibu, pia mawakili wa utetezi wapo wanamwangalia muda wote ili wapate wapi pa kumwuliza, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?
halafu, shahidi yeyote, awe wa jamhuri au shahidi wa mshitakiwa, kabla hajaingia pale kizimbani huwa kuna nafasi ya kwenda kuendaliwa. hata mashahidi wa mbowe kabal hawajaingia kizimbani watachukuliwa na kina kibatala kwenda kwenye chumba cha siri wakamwandae pre-trial, kwa hiyo kwa akili zenu mnafikiri kwa ushaidi wa askari polisi kutakuwa na kitu kama walikuwa na nia ya kumfundisha watakuwa hawakumfundisha hadi aingie kizimbani? mbona mna akili finyu sana ninyi?
ACHA UPUMBAVU SHAHIDI HAJAHOJIWA BADO NA KIBATALA.ACHA MIHEMUKO YA KISIASAyaani yeye anayemhoji ambaye ndio lazima amuangalie shahidi usoni hajamuona, halafu aliyeko nyuma kule ndo amuone, na msg hiyo kibatala aliisoma saa ngapi wakati alikua anahoji shahidi? wakili wa utetezi anayemhoji asimwone alafu prof j asiye mhoji ndio amwone? hamuoni uongo wa mchana? na huyo prof j ana ushahidi huo kama akiambiwa autoe pale mahakamani, hata amuone yeye tu wengine wote wasimwona hata wale wanaoichukia sana serikali pale ndani?
STUPID ,HAJAHOJIWA NA MAWAKILI WA UTETEZI ILIKUWA WAKATI WA PINGAMIZI TUHAKUTUMIA, hata mawakili wa utetezi waliokuwa wanamhoji hawakumwona, hakuna uthibitisho kuwa alitumia hata jaji aliuliza hilo na jaji mwenyewe hakumwona akitumia. kwahiyo sio tatizo. kama wewe ni mwanasheria usiargue kama sio learned brother. soma sheria uwe tofauti nao.
Wewe umejuaje kuwa hawajamwona akisoma diary au simu?, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?
Simu na diary binafsi zinahusikaje hapa?section 168 na 169 vya TEA.
168 na 169 hapo c hini, ya Tanzania Evidence Act, kama una akili utaelewa.
168.-(1) A witness may, while under examination, refresh
his memory by referring to any writing made by himself at the
time of the transaction concerning which he is questioned or so
soon afterwards that the court considers it likely that the
transaction was at that time fresh in his memory.
169. Whenever a witness may refresh his memory by
reference to any writing he may, if the court is satisfied that there
is sufficient reason for the non-production of the original and
with the permission of the court, refer to a copy of such writing.
wewe ndio hujui hata unachoongea.Simu na diary binafsi zinahusikaje hapa?
Official documents kama vile maelezo yaliyoandikwa wakati na baada ya kukamatwa sawa.
Hiyo siyo kesi ya madai.
wameleta uthibitisho? kwenu ninyi mnaofuatilia kesi hapo mahakamani. tujulisheni tafadhali.Wewe umejuaje kuwa hawajamwona akisoma diary au simu?
kama wakati wa pingamizi, diary ingeathiri nini? unajua unachoongea? au unapanua tu miguu hapo.STUPID ,HAJAHOJIWA NA MAWAKILI WA UTETEZI ILIKUWA WAKATI WA PINGAMIZI TU
hebu tuambie kilichojiri huko mzee wa diary, ehee, wamefikia wapi? mbururaaaaHalafu na wewe unajiita MSOMI WA CCM.Iko hivi Mahakama na Jaji wameamua kuwa beba kama dairy na simu vingekagugliwa muda ule ule ,huu utumbo ulioandika ilikufurahisha mabwana zako pale Lumumba usingefanya hivyo.Kwasasa waweza sema hivyo kwa kuwa yakufanyika yameshafanyika.Lakini nikukumbushe kuwa MUNGU ameamua kuanza kuwauumbua hata kama mtashinda hili pingamizi lakini yajayo ni mengi naya kufurahisha.
Sijaongea, nimeandika kama diary ni official au ya shughuli binafsi ni tofauti katika ku refresh memory mahakamani kulingana na kesi husika.wewe ndio hujui hata unachoongea.
Kwani ulipoandika humu ulikuwa unajua kama wametoa au hawakutoa kithibitisho?wameleta uthibitisho? kwenu ninyi mnaofuatilia kesi hapo mahakamani. tujulisheni tafadhali.
Kesi za kutunga huwa zinalaana mkuu lazima uwe na kiteteHivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.
1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.
2. Je, waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.
3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.
Je, waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
Na simu ilikuwa ya nini?Sijaongea, nimeandika kama diary ni official au ya shughuli binafsi ni tofauti katika ku refresh memory mahakamani kulingana na kesi husika.
๐๐ข๐ฏ๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ข๐ง๐ข ๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐ข๐๐๐ญ๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ข๐จ๐ง๐๐จ๐ฅ๐๐ฐ๐ ๐ข๐๐๐ค๐ข ๐๐ข๐๐ซ๐ฒ ๐ฉ๐๐ค๐ ๐ฒ๐๐ค๐?Hivi kwanini hawakumkagua na kujirisha kabla kuwa shaidi kwa namna yoyote asifanye kitu kitakachoharibu ushaidi. Kwasababu.
1. Mawakili wanajua NI kosa kupanda Kizimbani na simu. Na wanajua kabisa kwa Sasa kila mtu lazima anasimu ya mikononi. Kwanini wasingemuuliza alipoiacha simu au kumuomba simu kabla hajapanda Kizimbani.
2. Je, waliamini kbs shahidi hakuja mahakamani na simu.
3. Simu NI kitu kinachoonekana kirahisi mfukoni. Kwa shaidi uliyekuwa nae huwezi kuona kuwa anaingia na simu kwa kuona upana wa mifuko. Yani upana wa mifuko.
Je, waliacha haya yatokee makusudi ili kesi iharibike.
Vyote amekuwa navyo kizimbani kimakosa.Na simu ilikuwa ya nini?
Wewe unaweza kuwa Mwanasheria wa kutengeneza Mikataba ila Mahakamani hujawahi kufika. Wapo wanasheria wengi tu hawana experience na mahakama kabisa kwahiyo siyo ajabu mkuu. Subiri ruling kesho.Are you serious??Jamani umekosa cha kuandika ili upewe 7000/-Kuna mwanaCCM mwenzako kila cooment ameandika kuwa hakuna sheria ya hivyo.Mimi ni mwanasheria nina elewa kuna sheria inayokataza kuingia na docoment yoyote kizimbani.
Wakina Kibatala ni wababaishaji tu hata leo wameshindwa kuonyesha sheria ipi inamkataza shahidi kuingia na diary kizimbani wamebaki kuhangaika na kuomba kuikagua diary ya shahidi lakini last week walikuwa wanasema ni kosa kuingia na diary na simu kizimbani Jaji akawauliza kuna sheria yoyote inayomkataza shahidi kuingia na diary? Nilitegemea leo waje na sheria inayokataza shahidi kuingia na diary au simu kizimbani. Hawa jamaa ni wababaishaji tu ndiyo maana hata leo tena pingamizi lao limetupwa!!๐๐ข
๐๐ข๐ฏ๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ข๐ง๐ข ๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐ข๐๐๐ญ๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ข๐จ๐ง๐๐จ๐ฅ๐๐ฐ๐ ๐ข๐๐๐ค๐ข ๐๐ข๐๐ซ๐ฒ ๐ฉ๐๐ค๐ ๐ฒ๐๐ค๐?