Suala la Polepole linadhihirisha hata Rais afanye nini ni vigumu kuwavutia team Magufuli

Suala la Polepole linadhihirisha hata Rais afanye nini ni vigumu kuwavutia team Magufuli

Kwenye swala la chanjo polepole Hana hoja yoyote ile ya kisayansi au kitabibu. Anachotaka NI kuuambia umma kuwa kiongozi aliyepita alikuwa Bora kuliko huyu.
Nilisikia michango yake bungeni pia. Ametumia muda mwingi kutetea mitazamo ya Magufuli kuliko kupigania maswala ya kitaifa.
Ni lini utaihimiza serikali itenge bajetii ya kusaidia wataalamu wetu wa kisayansi watengeneze chanjo hapa nchini kukaabili magonjwa yanayotusumbua!? Mheshimiwa Raisi rais wa Iran amechanjwa chanjo iliyotengenezwa na raia wake jana.

Nina imani na Mama atawawezesha wataalamu wetu watuwezeshe watanzania kujitegemea katika masuala mbalimbali likiwemo hili la masuala ya utabibu.
 
Mleta mada na huyo alie mkanya pole pole kisa tu kaongelea kitu kinachohusu afya yake, wote ni wajinga hakuna mnachokijua juu ya afya ya mtu binafsi zaidi tu ya propaganda za maji taka.
 
Kwenye swala la chanjo polepole Hana hoja yoyote ile ya kisayansi au kitabibu. Anachotaka NI kuuambia umma kuwa kiongozi aliyepita alikuwa Bora kuliko huyu.
Nilisikia michango yake bungeni pia. Ametumia muda mwingi kutetea mitazamo ya Magufuli kuliko kupigania maswala ya kitaifa.


Uzalendo wa kizAmani NI Imani mbovu Sana inayoingia na kutawala ndani ya roho za watu. Watu uanza kuamini Ngozi yao NI Bora kuliko zingine, Taifa lao NI Bora kuliko mengine, Chama chake ndio sahihi kuliko vingine na Baadae yeye na kiongozi wake NI Bora kuliko wengine. Imani hii hujenga chuki kubwa Sana kwa mtu mwenye mtazamo tofauti.

Kwa wasiojua historia waambiwe jinsi Ujerumani yenyewe na dunia zilivyoangaika kuitoa Imani Kali ya kidicteta ya Kinazi miaka mingi baadae baada ya kufa muasisi wake Aldof Hitra.

Polepole katumia chanjo kuonesha hisia zake.
Watu wanaoacha kuamini facts, taaluma na kufuata uganga akili huwa zimevia ubishi, chuki na kisasi.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Ni lini utaihimiza serikali itenge bajetii ya kusaidia wataalamu wetu wa kisayansi watengeneze chanjo hapa nchini kukaabili magonjwa yanayotusumbua!? Mheshimiwa Raisi rais wa Iran amechanjwa chanjo iliyotengenezwa na raia wake jana.

Nina imani na Mama atawawezesha wataalamu wetu watuwezeshe watanzania kujitegemea katika masuala mbalimbali likiwemo hili la masuala ya utabibu.
Tatizo la "wataalamu/wabobezi" weetu si wagunduzi, wanasubiri ku-copy na ku-paste kutoka kwa mabeberu, ndiyo maana chanjo za magonjwa ambayo hayawasumbui mabeberu kama ukimwi, malaria etc hayana chanjo mpaka leo. Wanashangaa kama tunavyo shangaa sisi tulioishia shul ya kata kuwa kwa nini chanjo ya korona imepatikana ndani ya muda mfupi. Hawatuambii kuwa tusubiria wanayotutengenezea na itakuwa tayari lini ili tusipapatikie chanjo ya kuletwa.
 
CCM ni moja.....

Ndg.yetu Kamarada Polepole tunamkumbusha kuwa AIHESHIMU SERIKALI KAMA ALIVYOIHESHIMU AWAMU YA 5......

Polepole anajua....
Polepole hajasahau kuwa CCM ni chama cha kijamaa na si cha kiliberali.....MWENYEKITI NI KIOO CHETU.....

#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
#MwenyekitiWaCCMNiKiooChetu
Acha uongo CCM haijawahi kuwa ya kijamaa ni misimamo ya mwalimu tu ndiye aliyekua mjamaa CCM imejaa wachumia tumbo na mabwanyenye wanaotetea maslahi yao binafsi zaidi kuliko maslahi ya nchi ndio maana karibu miaka 60 ya uhuru lakini UMASIKINI, ujinga na maradhi imekua ni mtaji wa CCM kuendelea kubaki madarakani
 
Hakuna jamii ya watu wanafiki na wabinafsi Kama wanasiasa hasa ccm wao wanataka kutuaminisha kuwa mawazo yao ni bora zaidi kuliko ya wengine kumbe ni uongo mtu hawana Cha maana zaidi kupigania maslahi yao binafsi. Kwa nchi yenye rasilimali Kama Tanzania tutaanza kuona maendeleo ya kweli na endelevu siku tukiacha kutegemea mawazo ya wanasiasa na tulianza kutumia wataalamu zaidi kuliko brabra. Huyo mwendazake alikua pimbi tu alijindanganya mpaka afya yake mwenyewe ndipo tunaona kaliba ya viongozi wa kiafrika
 
Jiwe alikuwa Boya, Huyu mpemba ndio Nazi mbovu kuliko koroma, Polepole ana yakumbuka Ma V8 tu hana jipya ni mpinzani wa serikali ya kipuuzi kwa kutetea upuuzi uliopita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dikteta uchwara alitengeneza kakikundi kabaya sana cha wala nchi wachache waliokuwa na meno makali sana ya kula nchi peke yao nathubutu kusema kalikuwa ni kakikundi ka uporaji kalikokuwa kanajinufaisha kenyewe kasikopenda mwingine yeyote apate wala kucheka hakika wengi wa wanakikundi hicho ni matajiri wa kutisha sana kiasi kwamba utajiri waliojichumia na fedha walizozificha ni nyingi mno na wengi hawahitaji hata kufanya kazi tena ni kula na kunywa na kujenga magorofa pwani ya mwanza na kwingineko ningelikuwa ni kiongozi nao ningewalimisha kwa meno kama walivyotulimisha wanyonge wasio na hatia.
 
Ifikie sehemu ndugu zangu tuheshimu hisia za watu. Ukitaka kila mtu awe upande wako ni ngumu. Mtu akisimama akasema nachanjwa, hakuna wa kumnanga! Shida mtu akitoa uamzi wake kwamba sichanjwi; maneno yanakuwa mengi! Kwa nini lakini! Chanjo ni hiari! Anayesema nachanjwa publicly, na anayesema sichanjwi publicly wote wako sawa na Mama! Ni ujinga kumsema mtu katika hiari aliyoichagua! Ni ujinga kabisa
 
Jiwe alikuwa Boya, Huyu mpemba ndio Nazi mbovu kuliko koroma, Polepole ana yakumbuka Ma V8 tu hana jipya ni mpinzani wa serikali ya kipuuzi kwa kutetea upuuzi uliopita
Kwa kifupi unasemaje?
 
Wanashangaa kama tunavyo shangaa sisi tulioishia shul ya kata kuwa kwa nini chanjo ya korona imepatikana ndani ya muda mfupi. Hawatuambii kuwa tusubiria wanayotutengenezea na itakuwa tayari lini ili tusipapatikie chanjo ya kuletwa.
Asante sana, Mkuu.
===
Mwenye masikio na sikie na mwenye macho aone.
 
Kwenye swala la chanjo polepole Hana hoja yoyote ile ya kisayansi au kitabibu. Anachotaka NI kuuambia umma kuwa kiongozi aliyepita alikuwa Bora kuliko huyu.
Nilisikia michango yake bungeni pia. Ametumia muda mwingi kutetea mitazamo ya Magufuli kuliko kupigania maswala ya kitaifa.


Uzalendo wa kizAmani NI Imani mbovu Sana inayoingia na kutawala ndani ya roho za watu. Watu uanza kuamini Ngozi yao NI Bora kuliko zingine, Taifa lao NI Bora kuliko mengine, Chama chake ndio sahihi kuliko vingine na Baadae yeye na kiongozi wake NI Bora kuliko wengine. Imani hii hujenga chuki kubwa Sana kwa mtu mwenye mtazamo tofauti.

Kwa wasiojua historia waambiwe jinsi Ujerumani yenyewe na dunia zilivyoangaika kuitoa Imani Kali ya kidicteta ya Kinazi miaka mingi baadae baada ya kufa muasisi wake Aldof Hitra.

Polepole katumia chanjo kuonesha hisia zake.
Mwenzie Magufuli alitumia ubabe kuzima Timu nyingine.Samia sijui atatumia mbinu gani.Ila nikikumbuka ya Lowassa na Kikwete,nawaonea huruma Timu Magufuli.Wamejiexpose system inawazoom tu
 
Kwenye suala la chanjo Polepole hana hoja yoyote ile ya kisayansi au kitabibu. Anachotaka ni kuuambia umma kuwa kiongozi aliyepita alikuwa Bora kuliko huyu.

Nilisikia michango yake bungeni pia. Ametumia muda mwingi kutetea mitazamo ya Magufuli kuliko kupigania maswala ya kitaifa.

Uzalendo wa kizamani ni imani mbovu sana inayoingia na kutawala ndani ya roho za watu. Watu uanza kuamini Ngozi yao ni Bora kuliko zingine, Taifa lao ni Bora kuliko mengine, Chama chake ndio sahihi kuliko vingine na Baadae yeye na kiongozi wake ni Bora kuliko wengine.

Imani hii hujenga chuki kubwa Sana kwa mtu mwenye mtazamo tofauti.

Kwa wasiojua historia waambiwe jinsi Ujerumani yenyewe na dunia zilivyoangaika kuitoa Imani Kali ya kidikteta ya Kinazi miaka mingi baadae baada ya kufa muasisi wake Adolf Hitla.

Polepole katumia chanjo kuonesha hisia zake.
Afe na yeye amfuate dikteta
 
Back
Top Bottom