William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
- #41
Maabara tu yakuwapima hao virus iko moja tu Tanzania nzima. Sasa unazungumzia kuwa na maabara ya kutengeneza chanjo kweliNi lini utaihimiza serikali itenge bajetii ya kusaidia wataalamu wetu wa kisayansi watengeneze chanjo hapa nchini kukaabili magonjwa yanayotusumbua!? Mheshimiwa Raisi rais wa Iran amechanjwa chanjo iliyotengenezwa na raia wake jana.
Nina imani na Mama atawawezesha wataalamu wetu watuwezeshe watanzania kujitegemea katika masuala mbalimbali likiwemo hili la masuala ya utabibu.