Suala la Polepole linadhihirisha hata Rais afanye nini ni vigumu kuwavutia team Magufuli

Maabara tu yakuwapima hao virus iko moja tu Tanzania nzima. Sasa unazungumzia kuwa na maabara ya kutengeneza chanjo kweli
 
Sababu mbowe ni mtakatifu au,mbuzi kweli nyinyi.
 
Umenena maana hataweza kusafiri kwenda nje
Halafu Kuna watu wanamwamini Gwajima.Angekuwa Ni raia mmoja ambaye Ni kapuku tu Hana ishu yeyote yupo kijijini huko ningesema sawa hatachanja.Ila Gwajima Huyu aayejiita Askofu atachanjwa tu Ni suala la muda tu
 
chanjo ni kinga ya mwili na pia ni ni tiba ya kipato (biashara) hamna mtu atataka umuharibie biashara yake anyamaze tu
Hivi ulivyoenda kuchanja ulipimwa kwanza corona alafu ukachanjwa au ulichanjwa tu ili mradi tumia akili mkuu mnapigwa.
 
Hizi zitakuwa dharau, mbona hakuthubutu kukinzana mawazo na mwenyekiti aliyepita?
Hadi kudundika na kupiga magoti alikuwa anamfuatilizia mwenyekiti.
 
Maabara tu yakuwapima hao virus iko moja tu Tanzania nzima. Sasa unazungumzia kuwa na maabara ya kutengeneza chanjo kweli
Hili nalo neno.

Lakini, uwepo wa maabara moja ya kupima virusi haizuii serikali kutenga fedha kwenye bajeti kuanzisha kitengo ama taasisi kabisa ya kutafiti na kutengeneze chanjo dhidi ya maradhi yanayotusumbua ikiwemo COVID.
 
Hivi ulivyoenda kuchanja ulipimwa kwanza corona alafu ukachanjwa au ulichanjwa tu ili mradi tumia akili mkuu mnapigwa.
sijasema nimechanja ndugu yangu na mimi si advocate wakuchanja wala kutochanjwa hiyo ni hiari na utashi wa mtu wala sina huo utaalam nafuatilia huku nikipima hoja za kila mmoja ila kwa sababu jambo hili ni la hiari ya mtu inabaki kuwa hivyo ila vita ninayo iona baadaye ni pale tutapoanza kunyanyapaana mitaani kwa wenye chanjo na wasio chanjo
 
Iko wapi chanjo ya ukimwi? Ugonjwa ambao umekuwepo toka 80's na umewatesa watu wengi sana, imekuwaje ugonjwa hauna hata miaka miwili upate chanjo?
kataeni basi na kumeza ARV nyie si mna akili sanaa
 
Hata mm niko upande wa Polepole na simkubali huyo Samia wenu kwa lolote maana hakuna anachojua. Magufuli ni mwamba unaoishi ktk mioyo ya Watanzania
 
Hili nalo neno.

Lakini, uwepo wa maabara moja ya kupima virusi haizuii serikali kutenga fedha kwenye bajeti kuanzisha kitengo ama taasisi kabisa ya kutafiti na kutengeneze chanjo dhidi ya maradhi yanayotusumbua ikiwemo COVID.
Sasa sampuli za ujiji zinatumwa dar. Ukipima unapata majibu baada ya wiki mbili. Ukiwa umepona au umekufa kabisa. Sasa Kama wameshindwa kuweka bajeti ata wapime kila mkoa hiyo bajeti ya vifaa vya kumtafiti huyo kirusi watanunu kweli. Kumbuka Afrika hakuna taifa lililotengeza chanjoa. Labda waje wazungu kutujengea huku.
 
Samia hawajibiki kuwavutia timu bani na timu nani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
RIP Magufuli,,, yaani Leo Pole Pole ni wa kutukanwa na kile ki ANDUNJE Steve Nyerere public?
Kisa kukataa chanjo?

Kweli dunia inajizungusha kwa kasi sana.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…