Suala la Polepole linadhihirisha hata Rais afanye nini ni vigumu kuwavutia team Magufuli


Yeye ni kiongozi akibaki na msimamo wake ndani na mke wake na watoto wake kuna shida kuliko kujitokeza kifua mbele kwenye jamiii hebu aheshimu utawala huu kama alivyokuwa anasheshimu uliopita.
 
Mbona wewe mtoa mada ndio inaonekana unataka polepole awe na mtazamo kama wako ukiashiria mtazamo wako ndio bora kuliko wake? Kwani kuna shida gani mtu asipoonyesha unafiki wala kufuata mkumbo?
 
Wewe na Polepole tofauti yenu ni ipi?

Unachompinga Polepole ndicho unachokifanya wewe, acheni kuvuruga nchi...Mama ametoa hiari kuwa ndiyo njia ya kila moja, kwanini wewe uone kuwa ambao hawataki chanjo wanafanya makosa? Kwanini usimwache na Polepole awavute wale wasioamini kwenye chanjo kum support mama hasa kwakua mama anaendeleza Serikali ile iliyopita?

Mnapenda mno kujipendekeza nakuonekana mnafaa kwa gharama ya kiwashusha wengine, mjipendekeze kwakuongeza uchumi wa taifa siyo kwakuchonganyisha wengine...
 
Yeye ni kiongozi akibaki na msimamo wake ndani na mke wake na watoto wake kuna shida kuliko kujitokeza kifua mbele kwenye jamiii hebu aheshimu utawala huu kama alivyokuwa anasheshimu uliopita.
Kutokuwa mnafiki ndio kukosa heshima kwenye utawala?
 
Mbona wewe mtoa mada ndio inaonekana unataka polepole awe na mtazamo kama wako ukiashiria mtazamo wako ndio bora kuliko wake? Kwani kuna shida gani mtu asipoonyesha unafiki wala kufuata mkumbo?
Haoni hilo...
 
Yeye ni kiongozi akibaki na msimamo wake ndani na mke wake na watoto wake kuna shida kuliko kujitokeza kifua mbele kwenye jamiii hebu aheshimu utawala huu kama alivyokuwa anasheshimu uliopita.
Mbona wanaochanja, hawabaki na misimamo yao na wake zao au waume zao. Wanajitokeza mbele kwenye Jamii ili iweje? Kama misimamo ni kukaa ndani na mwenzi wako, basi na kila aliye na msimamo wa kuchanja au kutochanja afanye hivo.
 
Reactions: Ame
kwanini ujamaa katika karne ya 21? ndio maana mnatuendesha kizee hopeles kabisa hawa watu
 
Kumbuka Afrika hakuna taifa lililotengeza chanjoa. Labda waje wazungu kutujengea huku.
Mama aje na kipaumbele hiki cha kutengeneza chanjo hapa nchini kwa kutumia wataalamu wetu. Atakuwa ametengeneza legacy ya kukumbukwa na watanzania wote vizazi na vizazi! Anaweza kufanya hivyo. Ni kuomba ujumbe huu umfikie haraka.
 
Halafu Kuna watu wanamwamini Gwajima.Angekuwa Ni raia mmoja ambaye Ni kapuku tu Hana ishu yeyote yupo kijijini huko ningesema sawa hatachanja.Ila Gwajima Huyu aayejiita Askofu atachanjwa tu Ni suala la muda tu
Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine
 
Mama aje na kipaumbele hiki cha kutengeneza chanjo hapa nchini kwa kutumia wataalamu wetu. Atakuwa ametengeneza legacy ya kukumbukwa na watanzania wote vizazi na vizazi! Anaweza kufanya hivyo. Ni kuomba ujumbe huu umfikie haraka.
Hao wataalamu tunao. Au hawajawa akina dct shika. Tunaimport mpaka tooth stick tunawaza kumtafiti kirusi kweli
 
Mama aje na kipaumbele hiki cha kutengeneza chanjo hapa nchini kwa kutumia wataalamu wetu. Atakuwa ametengeneza legacy ya kukumbukwa na watanzania wote vizazi na vizazi! Anaweza kufanya hivyo. Ni kuomba ujumbe huu umfikie haraka.
Yupo busy na kufunga wapinzani wake
 
Mbona wewe mtoa mada ndio inaonekana unataka polepole awe na mtazamo kama wako ukiashiria mtazamo wako ndio bora kuliko wake? Kwani kuna shida gani mtu asipoonyesha unafiki wala kufuata mkumbo?
Kwenye siasa Hilo haliwezekani. Sijazungumzia chanjo tu ata bungeni utasikia kila akichangia anavyomuabudu ....
 
Hizi zitakuwa dharau, mbona hakuthubutu kukinzana mawazo na mwenyekiti aliyepita?
Hadi kudundika na kupiga magoti alikuwa anamfuatilizia mwenyekiti.
Sasa hivi kuna uhuru wa kutoa maoni hapo nyuma hata Samia hakuweza kuonesha msimamo tofauti na Magufuli,kwahiyo mkuu ni jambo la kufurahia uhuru wa kutoa maoni yako kurudi au hujapendwaza na hilo?
 
Kwenye siasa Hilo haliwezekani. Sijazungumzia chanjo tu ata bungeni utasikia kila akichangia anavyomuabudu ....
Wabunge wote wakiwa na mitazamo sawa nini itakua maana ya bunge? Kuna tatizo kiongozi akiamini mitazamo ya kiongozi mwingine aliye hai ama mfu pale tu ambapo mitizamo hiyo haivunji sheria za nchi?
 
Wasimtishie HP kwa haki anayoitumia kusema kwenye kile anachokiamini ilimradi havunji sheria yoyote kwa mjibu wa taarifa ya kamati ya watalaamu wa afya iliyokabidhiwa kwa rais.

Endapo atadhurika kuanzia sasa basi wote waliotoa kauli za kumtishia watajibika kwa mjibu wa sheria.
 
Nadhani na wewe uliyeleta maada ya kumtuhumu Polepole unachuki nae binafsi! Mbona Polepole kaongea mambo mazuri ya msingi, waulize watu aliowahutubia kama kila alichosema sio point

Safi kabisa Polepole una ufahamu mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…