Kumbe kuna wakati unakuwa na akili [emoji848][emoji848][emoji848]Yap.. Zipo ili kuendelea kuwafanya watz mataahira wa kudai haki zao kwa kubuy time kushabikia mpira
Sasa ilikuwaje ukawa Sukuma gang?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna wakati unakuwa na akili [emoji848][emoji848][emoji848]Yap.. Zipo ili kuendelea kuwafanya watz mataahira wa kudai haki zao kwa kubuy time kushabikia mpira
Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Vijana wa Tanzania mnahojigi vitu vyepesi sana huku vigumu mnaviona vya kawaida! Hivi mlishahoji kuhusu katiba mpya? Mlishahoji ufisadi uaofanywa na viongozi mbalimbali katika idara za serikali? Hivi kwa akili yako ndogo unaamin Rais hana bajeti ya kutimiza hayo? Hivi hujui kama matumizi ya Ikulu hayakaguliwi? Rais yuko sahihi!Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Ni motisha kutokana na kazi nzuri waliyoifanya Yanga kwa kuibrand Tanzania. Tusiwe na maswali mengi kwa mambo ambayo ni mazuri tu kwa nchi. 🙏🙏🙏Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Sukuma gangAcha kuhusanisha Yanga na ujinga
Mbumbumbu wewe, Rais ana mfuko wake unaitwa consolidated fund.Naona watu wameshindwa Kumjibu muuliza swali kwa kuendekeza Usimba na Uyanga.
Kila matumizi ya Serikali huwa yapo kwenye Bajeti ya Mwaka Husika wa fedha.
Hili la Yanga kufika Fainali na kupewa zawadi ya kukodiwa ndege na Rais nina hakika halikuwa kwenye Bajeti ya Serikali kwani hakuna aliyekuwa anajua Yanga ingefika hatua ya fainali.
Hivyo nina uhakika gharama hizo za Kukodi ndege hazitalipwa isipokuwa gharama zitabebwa na Shirika la ndege yaani Atcl.
Kwahiyo Mwakani mkisikia Shirika la ndege limepata Hasara sijui Bilioni ngapi, basi hii safari ya Yanga kupelekwa Mbeya bure basi itakuwa ni sehemu ya hasara hizo.
Sukuma gang ni wewe mkuuSukuma gang
Fact....Sioni kosa la mtoa mada, ana haki ya kusikilizwa Kwa kuwa mshahara wa Samia haufikii gharama za kuchukua ndege kusafirisha hizi timu na tambua yanga sio taifa stars hii ni club ipo kibiashara.
Usimfosi ahoji pesa za escrow na Richmond una uhakika gn huwa hahoji? Tusimpangie PA kuhoji mtoa mada
Hapa utakuwa umeanzisha ligi ya Yanga na Simba bila kukusudia !! Subiri makombora kutoka Wananchiii !!Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Ndio kitu gani hicho?Sukuma gang ni wewe mkuu
yaani kila kitu kwenu ni maneno na manung'uniko tu! Hivi hao Yanga huwa wanachezea nchi ganiHabari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Rais anafanya hivyo kwa sababu Yanga kama timu ya Wananchi ni Nembo ya nchi kwa hiyo kaa kwa kutulia, fanya kazi lipa Kodi kwa maendeleo ya taifa[emoji848]Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Kombe liko wapi😅😂Acha kuhusanisha Yanga na ujinga
Swadakta maneno yako! Ndo maana hata mashabiki wa yanga akili zao za kimaskin sana na ujinga uliotamalaki kama ilivyo kwa manachama ya ccm humu jf! Elitwege .@johnthebabtist Kulwa Jilala etc ni true sampleSimba ni timu isiyofungamana na chama chochote cha siasa ila Yanga ni CCM pure.
Mzee wa PhD, hizo ni hela zake Rais, au ni hela za kodi za Watanzania?Mbumbumbu wewe, Rais ana mfuko wake unaitwa consolidated fund.