Suala la Rais Samia kutoa pesa na ndege kwa timu kusafiria ni kwa gharama ya nani?

Suala la Rais Samia kutoa pesa na ndege kwa timu kusafiria ni kwa gharama ya nani?

Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Vijana wa Tanzania mnahojigi vitu vyepesi sana huku vigumu mnaviona vya kawaida! Hivi mlishahoji kuhusu katiba mpya? Mlishahoji ufisadi uaofanywa na viongozi mbalimbali katika idara za serikali? Hivi kwa akili yako ndogo unaamin Rais hana bajeti ya kutimiza hayo? Hivi hujui kama matumizi ya Ikulu hayakaguliwi? Rais yuko sahihi!
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Ni motisha kutokana na kazi nzuri waliyoifanya Yanga kwa kuibrand Tanzania. Tusiwe na maswali mengi kwa mambo ambayo ni mazuri tu kwa nchi. 🙏🙏🙏
 
mradi wa mto msimbazi umemshinda.kazi kuwabeba utopolo
 
Naona watu wameshindwa Kumjibu muuliza swali kwa kuendekeza Usimba na Uyanga.

Kila matumizi ya Serikali huwa yapo kwenye Bajeti ya Mwaka Husika wa fedha.

Hili la Yanga kufika Fainali na kupewa zawadi ya kukodiwa ndege na Rais nina hakika halikuwa kwenye Bajeti ya Serikali kwani hakuna aliyekuwa anajua Yanga ingefika hatua ya fainali.

Hivyo nina uhakika gharama hizo za Kukodi ndege hazitalipwa isipokuwa gharama zitabebwa na Shirika la ndege yaani Atcl.

Kwahiyo Mwakani mkisikia Shirika la ndege limepata Hasara sijui Bilioni ngapi, basi hii safari ya Yanga kupelekwa Mbeya bure basi itakuwa ni sehemu ya hasara hizo.
Mbumbumbu wewe, Rais ana mfuko wake unaitwa consolidated fund.
 
Ukitaka kila kitu kukichukulia serious kwenye hii nchi, utakufa kabla ya siku zako.

Ni kweli una hoja ya msingi! Ila usisahau kuna mabilioni ya shilingi kila siku yanatapanywa hovyo na serikali ya ccm, lakini hatuoni ukilalamika?
Fact...
 
Sioni kosa la mtoa mada, ana haki ya kusikilizwa Kwa kuwa mshahara wa Samia haufikii gharama za kuchukua ndege kusafirisha hizi timu na tambua yanga sio taifa stars hii ni club ipo kibiashara.

Usimfosi ahoji pesa za escrow na Richmond una uhakika gn huwa hahoji? Tusimpangie PA kuhoji mtoa mada
Fact....
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Hapa utakuwa umeanzisha ligi ya Yanga na Simba bila kukusudia !! Subiri makombora kutoka Wananchiii !!
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
yaani kila kitu kwenu ni maneno na manung'uniko tu! Hivi hao Yanga huwa wanachezea nchi gani
 
Watanzania wanashangilia kodi zinavyochezewa hovyo ikulu eti kuipongeza Yanga na blah blah zisizoeleweka.

Jana tumechezea kodi eti kupokea ndege ya mizigo kwa serikali zote SMZ na GOT wote kujazana hapo kushuhudia wazungu wawili kutoa Boeng wakituletea ndege, Leo tena tumejazana ikulu kula kunywa hovyo hovyo huku nchi ikiwa na maeneo kibao yanahitaji hizo hela.
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Rais anafanya hivyo kwa sababu Yanga kama timu ya Wananchi ni Nembo ya nchi kwa hiyo kaa kwa kutulia, fanya kazi lipa Kodi kwa maendeleo ya taifa[emoji848]
 
Kesho sijuwi kuna shuguli gani tena

Ova
 
Back
Top Bottom