Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Tatizo sio mwenye madaraka kujiingiza kwenye mipira hapa tatizo nikutumia kodi zetu, akitumia pesa yake kutoka kwenye mshara wake sidhani kama kunashida.Ukiona mtu mwenye madaraka anajiingiza kwenye mipira, ujue huyo ni dhaifu sana
Unahoji fedha anatoa wapi Rais? Hujui mamlaka ya Rais?Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Kwa hiyo mambo ya nchi zooted duniani unayajua? Acha kuandika mambo usiyo yajua,Kuna wakati kocha wa Brazil alimuacha romario,Rais alitoa ndege impeleke romario kwenye mashindano ilikua kombe la Dunia,sijui kama unakumbuka,inawezekana ulikua dogo sana.Sijawahi kuona popote duniani, hata Tanzania kabla ya 2023, Mkuu wa nchi anaamua kutumia pesa za walipa kodi kwa timu binafsi za mpira wa miguu ambazo zipo kibiashara kwa asilimia 100. Hamna mfano hata kwa Tanzania kabla ya 2023.
Wewe unaijua mshahara wa Rais? Unajua per diem anazolipwa? Au mnataka danganya watu tu hapaSioni kosa la mtoa mada, ana haki ya kusikilizwa Kwa kuwa mshahara wa Samia haufikii gharama za kuchukua ndege kusafirisha hizi timu na tambua yanga sio taifa stars hii ni club ipo kibiashara.
Usimfosi ahoji pesa za escrow na Richmond una uhakika gn huwa hahoji? Tusimpangie PA kuhoji mtoa mada
Kesho shuguli wapi tenaWewe unaijua mshahara wa Rais? Unajua per diem anazolipwa? Au mnataka danganya watu tu hapa
Kajifunze kuandika kwanzaNchi imepata rahisi bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Tanzania inayo safari kubwa sana kimaendeleo.
Hiyo ndiyo nguvu ya hii katiba inayomfanya rais kuwa mungu mtu.Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Vote 20Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Liko njianiKombe liko wapi😅😂
Ni aina ya watu kama weweNdio kitu gani hicho?
Ndiyo ule mfuko ambao CAG haruhusiwi kuukagua?Mbumbumbu wewe, Rais ana mfuko wake unaitwa consolidated fund.
Ni sawa tu kwa alivyofanya!Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.
Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya
Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?
Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Asante blood angalau umenieewa vyemaSioni kosa la mtoa mada, ana haki ya kusikilizwa Kwa kuwa mshahara wa Samia haufikii gharama za kuchukua ndege kusafirisha hizi timu na tambua yanga sio taifa stars hii ni club ipo kibiashara.
Usimfosi ahoji pesa za escrow na Richmond una uhakika gn huwa hahoji? Tusimpangie PA kuhoji mtoa mada
Aisee hii ni hatari sana.Unahoji fedha anatoa wapi Rais? Hujui mamlaka ya Rais?
Hujui Rais hahojiwi?
Hivi unasema kweli au unatania? Kasome vizuri katiba yetu kuhisu mamlaka ya Rais,hata Leo hii hapo Rais anaweza akakuundia cheo akakuteua hata kama hakipo kwenye katiba na ukapangiwa na mshahara na mambo yakasonga tu.