Umejuaje kama ameacha ama ameachishwa ama mkataba umeisha..??Ameacha BBC kwa ajili ya kuingia EFM?!
Ushamba na ujinga unakusumbua aisee, aina ya watu kama wewe ndio wale wanaosemaga bora akawe mbwa ulaya kiko kuishi bongo...mixxxuuu🤧Kutoka kufanya kazi BBC kuja kufanya kazi na wakina Masanja ni upoyoyo huo. Kikeke ni mfano mbaya kwa vijana wapambanaji
Lakini kuanzisha tv hadi isimame siyo kazi rahisi!Kwa hatua aliyopiga ilibidi aanzishe Televisheni yake atoe platform kwa vijana wadogo waandishi
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ukuaji BBC ni platform kubwa sana duniani compared to EFM. Sio kwa ubaya kitendo cha kutoka BBC kurudi bongo kuajiriwa ni nonsense.BBC to Azam siyo kushuka?
BBC kuwa Jobless kabla ya Ikulu siyo kushuka?
Who told you, EFM ndiyo hitimisho la Salim? Unajuaje kama atabakia hapo kwa muda huku akisubiri appointment siku zijazo?
Mshahara wake wa BBC na wa sasa EFM unaujua? Upi mkubwa?
Mentality za wabongo ni za hovyo.
Una nini Cha kumzidi Kikeke.Asiambiwe ukweli?
Wanasahau ule msemo wa bizines izi noti fo everibodiLabda, walitegemea angeanzisha chaneli yake; ingawa ujasiriamali huwa ni kipaji
Alishindwa kulipa bills za umeme na gas hivi BBC unaifananisha na Clouds Televisheni?Umejuaje kama ameacha ama ameachishwa ama mkataba umeisha..??
Lakini pia, unajua aina ya maisha aliokua anaishi huko London..??
Je alikua anafurahia maisha ya presha kubwa na kodi kubwa na house rent kubwa, gass na bills...??
Yaani mihua nachukia sana kuona mtu anajifanya kujua maisha ambayo hajawahi hata kuyaishi..mixxxuuu
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
mulemule mkuuWabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.
Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.
Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.
Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
Kwani Kikeke amenizidi nini?Una nini Cha kumzidi Kikeke.
Ukweli kwenye maamuzi yanayohusu Maisha yake.?
Pambana na Life yako
Reasoning imekuwa shida sana kwa watu wengi.
Nikisema humu kadri siku zinavyoenda taifa ndio linazidi kuwa na watu wajinga sijui huwa mnaona napiga domo? Hii nchi ina watu wajinga sana.
Kwa hiyo wanaoanzisha na kufanikiwa wanafanyaje mpaka yeye iwe ngumu kwake.? Salim Kikeke ni Brand kubwa yaani Jina lake tu kwa sasa haitaji kufanya kazi ili apate hela ya kula.Lakini kuanzisha tv hadi isimame siyo kazi rahisi!
Unamkumbuka Abdallah Majura! aliacha kazi BBC akaanzisha radio yake AM24 mtokeo yake kaishia kumpangisha Mwamposa.
Nadhani ni kutokana na majizo alivyoibrand radio yake kwenye mlengo mwepesi ambao unawafaa watu hususani wa uswazi, .Wabongo ni watu wa hovyo. Wili chache zilizopita, kulikuwa na 'rumours' kuwa anahamia Wasafi FM.
Walifurahi na kungoja kwa hamu, huku wakiipongeza management hiyo kwa jeuri ya kufikia dau la Kikeke.
Leo kwa sababu ni EFM, wamekaza makalio kuponda eti kajishusha.
Na hawa wengi wao ni Jobless, walichonacho ni hela za bundle na muda usio na kazi. Pumbavu
Kwani Trump aliposema nchi za kiafrica ni shit hole countries wewe hukumuelewa?Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Ni laana tu inawasumbua nyie watanganyika. Mbona Tido Mhando alivyoshuka kwa range (BBC) akapanda passo ( Tbc) hamkumsagia kunguni kama ilivyo Kikeke.Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji 😁