George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji š
š¤£š¤£š¤£Bora afanye kazi ile Prado ilikuwa inaenda kufa engine kwa Road trip.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji š
š¤£š¤£š¤£Bora afanye kazi ile Prado ilikuwa inaenda kufa engine kwa Road trip.
Chifu, una INFERIORITY COMPLEX moja ya ajabu sana aisee, kifupi unahitaji msaada. Unautukanaje Uafrika na kuutukuza Uzungu kwa jambo jepesi kama hili!?Kuwaita wajinga ni kuwapa hadhi, Maana mjinga ni mtu ambaye hajui kitu ila baada ya kuelimishwa hujitambua.
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele,
Waafrika wana Upumbavu wa milele,
Kwenye DNA [emoji3459] za waafrika kuna chembechembe za Upumbavu ambazo mtoto akizaliwa hurithi chembe chembe hizo automatically.
Waafrika wame laanika.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Mimi sina inferiority complex na wala situkuzi uzungu lakini naeleza Uhalisia wa waafrika ulivyo...Chifu, una INFERIORITY COMPLEX moja ya ajabu sana aisee, kifupi unahitaji msaada. Unautukanaje Uafrika na kuutukuza Uzungu kwa jambo jepesi kama hili!?
Hii tabia ya binadamu mmoja kufuatilia maisha ya binadamu mwingine ni tabia ambayo haina uhusiano wowote na rangi ya ngozi (UAFRIKA/UZUNGU).
Hata hao Wazungu unaowatukuza hii tabia wanayo, kama ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii lazima utakuwa unalifahamu jambo hili.
Tutake radhi WAAFRIKA aisee!
Kwa hatua aliyopiga ilibidi aanzishe Televisheni yake atoe platform kwa vijana wadogo waandishi
Sergio Ramos amegoma kwenda uarabuni akatimkia team ndogo alipoanzia maisha kwa pesa kiduchu ukilinganisha na ile angelipwa kwa wasaudia,Asiambiwe ukweli?
inaweza kuwa:-Analipwa kiasi gani hapo efm?
siku zote huu usemi nausema kama ulivyoandika lakini leo umenigusa tofauti na hasa uliposema waswahili wanatabia ya kumshusha mtu na hapa ndipo shule kubwa ulionipaNdio maana kwenye uswahili kuna msemo kama "aliye juu, mngoje chini", na si kwamba "aliye juu, mfuate juu"
Toka hapa, E-media Ni kituo Cha ovyo.Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
š¤£š¤£š¤£š¤£šššUkishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji š
Taarifa za umiliki huo umezitoa wapi?wengi hamuelew efm mmiliki sio majizo peke ake Bali ni shareholder kama ilivo wasafi na dangote..kikeke amerudi kwenye station yake.
Tena utakuta mwingine ni apeche alolo!Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Halafu ndio useme haobwatubwana uelewa na katiba enyi acheni masihara banaNimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni taifa la watu wa hovyo sijapata kuona.
Mkuu tujaribu kufikiria kidogo kuna muda unatafta kazi yenye maslahi na kuna muda unatafta kazi kwa ajili ya kupumzika inshort umestaafu ila ukaamua usikae bure ,Duuhš
Yaani ameacha BBC kwa ajili ya kuingia EFM?!!!
Amestaafu wakati ndo kwanza yupo 45 ?!Mkuu tujaribu kufikiria kidogo kuna muda unatafta kazi yenye maslahi na kuna muda unatafta kazi kwa ajili ya kupumzika inshort umestaafu ila ukaamua usikae bure ,