Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Braza Benard MorisonIla timu za bongo kungekuwa na kipimo Cha bangi kabla mechi[emoji23]
Mkuu leo yanga anakufa ngapi?Ni dalili tu za uoga dhidi ya wapinzani wao. All in all, kichapo kiko palepale
AmiiinKwa sasa Yanga ni mafundi wa mechi za ndani na nje,hivyo Waarabu hawaponi kotekote.
Kombe linatua Jangwani mapemaa.
Insha Allah.
Ukiona hivyo ujue hao waarabu wameishangia mchecheto. Na leo wanakufa kwa mkapa na kwao watakufa tena.Juzi tumeona kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha timu ya USM Alger ikiwasili JK Nyerere International Airport ikiwa na shehena ya Maji ya kunywa na pia inasemekana walibeba na vyakula vyao.
Huenda wakawa na nia njema ya kuhakikisha usalama wao na kuepuka hujuma za kimichezo lakini pia kwa upande mwingine wanaweza kutumia fursa hiyo kuingiza vimiminika kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa wachezaji wao ambapo unaweza kukuta mchezaji mwanzo mwisho yupo na energy ile ile au mara dufu.
Inavyoonekana vinywaji hivyo wameingia navyo siku hiyohiyo ambapo ukifuatilia sidhani kama mamlaka husika kama TFDA, TBS nk zilikuwa na muda wa kufanya ukaguzi wa kina.
Nadhani mambo kama haya vyombo vyetu vya Usalama including SSIT kwenda mbali zaidi.
Basi ni madawa yaliyokatazwa UarabuniKitimoto siyo madawa yaliyokatazwa michezoni.
Sikuwa na maana ya vinywaji halali bali nilimaanisha vile visivyoruhusia kabisa ambavyo hata madukani havipoPia mleta mada umecomplicate mambo, huhitaji kuja na vitu vya kuongeza nguvu kutoka huko nje wakati vinywaji vya namna hiyo vimejaa mtaani.
[emoji419][emoji375]Ni dalili tu za uoga dhidi ya wapinzani wao. All in all, kichapo kiko palepale
Tatizo waswahili hadi mfafanuliwe kila kitu ndipo mtaelewa hoja imebeba nini, wazito sana kuelewa Concept. Ila wapo ambao wamenielewa humuUtakuwa mgeni kwenye mpira, Timu kibao zinafanya hivyo ikiwamo Brazil
𝙽𝚒 𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒Nasikia mvua inanyesha Dar..