MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umewambia ukweli kabisa!BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawajapewa hzo nafasi kwa sababu wanapendwa sana,ni kwa sababu kijani wameona wana cha kupoteza na it's so huge..CDM wanatakiwa wawaache wapambane na msala wao walioutengenezaNi afadhali chadema wakubaliane na reality tu, kwa sababu idadi yao haiharibu quorum ya Bunge na wala haitaathiri vikao vya bunge. Ni afadhali wawaruhusu hao wabunge maalumu wasikike bungeni kwa niaba ya chadema kuliko kuacha chadema iwe mute kabisa; kwa lugha rahisi, huu ni muda mwafaka sana wa CHADEMA kuchagua wabunge wa viti maalumu kwa umakini sana kuliko zamani.
Umejaza maji kiwaniMpaka bunge la April 2021 Ndungai anaweza kuwa The Hague.
Kama quorum ya bunge haiharibiki, basi bunge iendelee na shughuli zake tu kama kawaida hakuna aliyelikataza.Ni afadhali chadema wakubaliane na reality tu, kwa sababu idadi yao haiharibu quorum ya Bunge na wala haitaathiri vikao vya bunge. Ni afadhali wawaruhusu hao wabunge maalumu wasikike bungeni kwa niaba ya chadema kuliko kuacha chadema iwe mute kabisa; kwa lugha rahisi, huu ni muda mwafaka sana wa CHADEMA kuchagua wabunge wa viti maalumu kwa umakini sana kuliko zamani.
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa. Huu ni unyanyasaji wa kjinsiaIngekuwa wanaume nao wanakwenda viti maalum ingekuwa wameshafika dodoma long time
Unajitekenya wewe..unajua baadhi ya wabunge wa Chadema walikataa sh ngapi kuunga mkono juhudi ..hiyo pesa ilitosha wewe na ukoo wako kula kwa miaka 50Ingekuwa wanaume nao wanakwenda viti maalum ingekuwa wameshafika dodoma long time
kwani umeacha kusagwaTatizo unafkiri ile sera yenu ya ushoga inatekelezwa Tanzania.... au ndio hasira za kumkosa shogako😁😁😁 Pole lakini
Hawapewi kama hisani bali afasi hizo zipo kisheria. Halafu usidhani kuwa kufanya hivyo ni kuikomoa serikali au ni kuikomoa CCM bali ni kufanya CHADEMA isahaulike haraka sana masikioni mwa wananchi. Wale wote wanaodhani kuwa kutakosekana wenyeviti wa zile kamati nyeti za bunge ambazo lazima ziongozwe na upinzani wanasahau kuwa tayari bunge lina wabunge saba wa upinzani ambapo kwa kiapo chao cha ubunge wanaweza kutumikia nafasi zozote ndani ya bunge; yeyote kati ya hao ambao walikwishaapa ataweza kuongoza katika nafasi hizo.Hawajapewa hzo nafasi kwa sababu wanapendwa sana,ni kwa sababu kijani wameona wana cha kupoteza na it's so huge..CDM wanatakiwa wawaache wapambane na msala wao walioutengeneza
Nimetoa jibu hili hapaKama quorum ya bunge haiharibiki, basi bunge iendelee na shughuli zake tu kama kawaida hakuna aliyelikataza.
Kusikika kwa CHADEMA halafu kusikika huko ikifika uchaguzi waibiwe kura, kupigwa, kufanyiwa kila aina ya uonevu hakuwasaidii.
Si busara kwa Chadema kuhalalisha uchaguzi feki
Kwa mujibu wa sheria, majina ya viti maalumu yanatakuwa yapitishwe na Halmashauri kuu ya chama husika na kupelekewa tume ya uchaguziSuala la viti maalum limeshakwisha na majina yamekwenda na wataapishwa
Mm Nampa hongera Sana halima Mdee amefanya kitu kikubwa Sana yy kama Kiongozi wa wanawake
Hizo nafasi ni zao kisheria, Sasa why wasuse?
Kama ni malalamiko ya uchaguzi miaka yote yapo na wao walikuwa wanaenda bungeni Sasa why Leo wasiende?
Hakuna mpasuko wowote ambao utatokea coz viongozi wakubwa wote wanajua na hakuna Kiongozi yoyote wa ccm aliewashawishi
Hata Mimi nawashauri waende vile wanaume wameshindwa wanataka wanawake eti wasiende bungeni wao wakipewa nafasi wanaendaBAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19
Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali
Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete
Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
shwain wewe TUNAFUKUZA WOTE wajaribu kuingia...Suala la viti maalum limeshakwisha na majina yamekwenda na wataapishwa
Mm Nampa hongera Sana halima Mdee amefanya kitu kikubwa Sana yy kama Kiongozi wa wanawake
Hizo nafasi ni zao kisheria, Sasa why wasuse?
Kama ni malalamiko ya uchaguzi miaka yote yapo na wao walikuwa wanaenda bungeni Sasa why Leo wasiende?
Hakuna mpasuko wowote ambao utatokea coz viongozi wakubwa wote wanajua na hakuna Kiongozi yoyote wa ccm aliewashawishi
mpeleke mumeo viti maalumuHata Mimi nawashauri waende vile wanaume wameshindwa wanataka wanawake eti wasiende bungeni wao wakipewa nafasi wanaenda
CDM hawaheshimu wanawake Wana kimfumo dume kweli hzo nafasi ziko kisheria kabisa, kumbe wanatetea matumbo yao wenyeweIngekuwa wanaume nao wanakwenda viti maalum ingekuwa wameshafika dodoma long time
Hivi kinachowafanya wanaume wawazuie hawa wanawake kwenda bungeni ni nini? Kwanza kwani ni wake zao???Hata Mimi nawashauri waende vile wanaume wameshindwa wanataka wanawake eti wasiende bungeni wao wakipewa nafasi wanaenda
1-Kama unadhani spirit ya upinzani kwa wananchi ni wabunge tu utakuwa upo nyuma ya historia,upinzani ni imani na hakuna serikali inaweza kuua spirit ya upinzani.Hawapewi kama hisani bali hizo nafasi hizo zipo kukisheria. Halafu usidhani kuwa kufanya hivyo ni kuikomoa serikjali au ni kuikomoa CCM bali ni kufabnya CHADEMA isahaulike haraka sana masikioni mwa wananchi. Wale wote wanaodhani kuwa kutakosekana wenyeviti wa zile kamati nyeti za bunge ambazo lazima ziongozwe na upinzani wanasahau kuwa tayari bunge lina wabunge saba wa upinzani ambapo kwa kiapo chao cha ubunge wanaweza kutumikia nafasi zozotendani ya bunge; yeyote kati ya hao ambao walikwisaapa ataweza kuongoza katika nafasi hizo,