Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Kama uongozi wa chama haujaridhia, wakienda Dodoma wafukuzwe uanachama.
Ndio dawa hiyo tunaomba muwaeleze na viongozi wao wakuu wa chama mwanachadema akienda kinyume na matakwa ya chama fukuza uanachama Mara moja
 
viongozi wa upinzani nadhani ni wanafiki, haiwezekani waseme hawatambui matokeo alafu tayari kuna wabunge wao wamekula kiapo na hawajawafukuza uanachama, hawa mabwana ni wabinafsi na wachumia tumbo bt time will tell.
 
Kama uongozi wa chama haujaridhia, wakienda Dodoma wafukuzwe uanachama.
du dada sky unaroho ngumu bado uko nao tu hao wahuni na saccos yao? haya mwenzenu kawakimbia alitaka muingie barabarani aone jinsi gani kmlivyowajinga mpigweeeee yeye alisema atakuwepo kwenye maandamano mbona hakutokea?zakuambiwa changanya na zako mngekoma
 
CDM hawaheshimu wanawake Wana kimfumo dume kweli hzo nafasi ziko kisheria kabisa, kumbe wanatetea matumbo yao wenyewe
Ishu hapa ni kwamba hata hao wanawake waliozushiwa wamesema hawawezi kwenda bungeni kwa ukatili waliofanyiwa kama wanawake ikiwemo majaraha mbalimbali kwenye miili yao,na wao wanaamini wangepewa fursa sawa kama wengine bila mabavu na dhuluma wangeshinda kihalali.
 
Sasa hapo umesema nini? Kuna maneno unayotumia kwenye sentensi zako yanayoonyesha wewe ama mtu mwenye hasira sana au mtu asiyekuwa na busara katika mawasiliano bali mtoa lawama na confrotational. Route hiyo ni ngumua sana kutumia katika mawasaliano
 
Sasa hapo umesema nini? Kuna maneno unayotumia kwenye sentensi zako yanayoonyesha wewe ama mtu mwenye hasira sana au mtu asiyekuwa na busara katika mawasiliano bali mtoa lawama na confrotational. Route hiyo ni ngumua sana kutumia katika mawasaliano
Jibu hoja kwa hoja na siyo hoja kwa hisia-Act like a real man.Hakuna mahali nilipoandika nimekuzungumzia wewe personal bali nimezungumzia hoja zako;That's all.
 
Mpaka bunge la April 2021 Ndungai anaweza kuwa The Hague.
Ndugai kwa mujibu wa uspika wake, kama angethibitika kufanya uhalifu dhidi ya katiba au mwingine, angeshughulikiwa kisheria humu nchini.
Hata hivyo, wameona mbali wakamuwekea kinga.
Ukombozi wa uhakika wa wanadamu ni ule wa kutokea ndani, nje ni kuongezea nguvu tu.
 
Jibu hoja kwa hoja na siyo hoja kwa hisia-Act like a real man.Hakuna mahali nilipoandika nimekuzungumzia wewe personal bali nimezungumzia hoja zako;That's all.
Sikuona hoja ya kujibu kutoka kwako; nimeona snippets za hisia zako tu. Hoja yangu ilikuwa ni kwamba ni vizuri kwa CHADEAM kutoku-forfeit nafasi hizo za viti maalumu, lakini hukutoa hoja ya kwa nini ni vizuri kwa chadema kuendelea kuforfeit nafasi hizo. Halafu sasa eti unataka nikujibu kwa hoja ambayo hujaweka! Upuuzi mkubwa sana!!
 
Hivi kinachowafanya wanaume wawazuie hawa wanawake kwenda bungeni ni nini? Kwanza kwani ni wake zao???
Wamenisikitisha Sana Hawa wanaume kwa ubinafsi wao, mbona miaka yote hawatambui ushindi wa ccm, Ila walienda bungeni, Mimi namushauri Halima apeleke majina, maana ipo siku waweza shangaa tundu lisu kateuliwa na Raisi na kakubali, maana wanasiasa hawaamini Kama walivotuaminisha lowasa ni fisadi then wakaja kumpitisha Kama mgombea.
 
Usiamini wanasiasa wewe dr slaa alifanywa mlemavu wa mkono lakini leo Yuko ccm
 
Ujinga tu na ubinafsi. Ingekua kwa mfano mbowe na labda lema sugu na wale walimbwende wa chadema mdee bulaya na matiko peke yao tu wameshinda ubunge chadema wasingesusia ubunge wangeingia na kundi lao la viti maalum. Kwa kua chadema ni kampuni ya mbowe na wengine wachache wenye hisa wameona kwa nini watu sio wamiliki wa chama wafaidike kwa mapato wakati wenyel kampuni hawapati kitu. Wangetamani hao kina mama maalum wawape masharti ya kusalimisha mapato yao bungeni kwao ila wanaogopa jamii itawazomea.
Badala ya kukubali wameshindwa vibaya uchaguzi kwa kua na sera mbovu za ubinafsi kwa kufuata mkakati wa uongo na uzushi na pia kumuweka mgombea urais kibaraka wa mabeberu wanasingizia kuibiwa kura bila kua na ushahidi wowote.
Badala ya sekretariat ya chama kuketi na kuwateua akina mama wenye kustahili kujaza nafadi za viti maalum kwa ubinafsi wameanguka kwenye mtego wa mabeberu wanaomlipa mwanasheria shoga amsterdam eti wasusie kwa kuibiwa kura.
Watanzania wameelimika sasa wanajitambua. Hivi kwa sera za ubinafsi na majimbo na mgombea anayetetea kwenye campaign zake ushoga wanafikiri watanzania ni wajinga kiasi gani wawachague?
Kabla ya uchaguzi wengi walitabiri kushidwa vibaya na uwezekano kufa chadema. Sasa utabiri umetimu nini cha ajabu?
 
🤣🤣
 
Si mngesubiri kidogo tu mpaka wafanye hiki wanachotuhumiwa kufanya?
Na kwa vile Mkurugenzi wa NEC amesema kuwa hawezi kutambua uteuzi wowote usio ambatana na barua kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama husika, tutajua kama wamefanya hivyo kwa ridhaa ya chama chao au utaratibu umepindishwa ili kuwanufaisha.

Wasiwasi wangu ni kuwa kutokana na umahiri walioonyesha wanawake wa Chadema hii ni mojawapo wa njama za kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama chao. Ni kweli uwezekano wa kuwa hili litatokea lipo hasa ukizingatia kuwa mmoja wa wanaotajwa kuwa ni wabunge wanaotarajiwa amefutiwa kesi fasta, kitu ambacho kinaweza kuwa ni mpango wa kumwezesha kuwahi kwenye uapisho. Hii ni moja ya changamoto ambazo wale wote wanaojihesabu kama wapinzani inabidi wazipitie.

Sidhani kama upinzani utakufa kama hawa wakina mama na pengine uongozi wa chama chao utachukua hatua hiyo. Tuvute subira kwanza maana hata ACT-WAZALENDO nao wanadaiwa kufikiria kujiunga na serikali ambayo sio tu wanaituhumu kuwa wamewaibia ushindi bali wamewapiga, kuwatesa na hata kuwaua baadhi ya viongozi na wafuasi wao.

Amandla...
 
huo sio ushauri
 
Devotha Minja
* Nusrat Hanje
*Agnesta Lambert
*Cecilia Pareso
*Asia Msangi
* Grace Tendega
*Nagenywa Kaboyoka

Inasemekana hawa wameshapangwa kuapishwa fasta kesho. Wabunge wa viti maalum wa chadema wanakwenda kujisajili kwa katibu wa bunge
👉Katibu wa bunge atachukua hiyo list ataipeleka kwa Dr Mahela kesho hiyo hiyo
👉The Mahera ataisha vyombo vya habari kupublish kwenye gazeti la serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…