Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Kusema uchaguzi haukufanyika ni jaribio la kutaka kusema kwamba waliokuwa wabunge bunge la 11 waendelee mpaka uchaguzi mpya utakapofanyika ikimaaanisha kuwa Mbowe et al watarudi bungeni- jamani kushindwa kubaya
Unafikiri, si unaona Trump alivyozeeka baada ya siku 3 tu ya kushindwa uchaguzi? Ukimuona hivi sasa hutoamini kama ni yeye Trump kweli, mgongo umepinda, matako yamezama ndani, yaani limekaa tu kama gogo fulani hivi. I can't wait kuwaona kina Mbowe, Lissu, Zitto kwa hivi sasa.
 
Bungeni lazima uende na barua ya utambulisho kutoka NEC na NEC wanapata Kwanza mawasiliano kutoka kwenye chama
So mtu hawezi akajiendea tu kienyeji akapokelewa
 
Maamuzi magumu ni yapi?
Ukiwaruhusu hao Beijing utakuwa ushindi kwa CCM.Kuna uwezekano wa kukigawa chama.
Ukiwakatalia Beijing hao watasema ni ukandamizaji wa haki zao.Kuna uwezekano wa kukigawa Chama.
Hili jambo linahitaji umakini wa hali ya juu.
 
Bungeni lazima uende na barua ya utambulisho kutoka NEC na NEC wanapata Kwanza mawasiliano kutoka kwenye chama
So mtu hawezi akajiendea tu kienyeji akapokelewa
Labda watumie mazingaombwe ya Ndugai/Mwambe.
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya Bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya Viti Maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Umeandika vizuri sana but umesahau kitu kimoja njaa haina rafiki.....
 
Njaa iko wapi?!!!
Yaani mh.Dada mkubwa Hallima Mdee na wengine wote wana njaa?!!

Hivi unajua kuwa mwanajeshi mwenye CHEO KIKUBWA anapostaafu... huwa "hanyongi" zaidi ya 300M na gari moja la kifahari...?!!

Leo mbunge anamaliza miaka 5...kiinua mgongo bila ya kuchelewa kukipata "anafukia mfukoni" si chini ya 300M....
Kumbuka ndani ya hiyo miaka 5 amejikusanyia chini kidogo ya 1.0Billion....

Acha kabisa MASKHARA na kazi ya UBUNGE...hawana NJAA hawana NJAA hawana NJAA...

Kikubwa kwangu waendelee KUPEWA STAHIKI ZAO kwani wanastahili....cha mno tu WAKATUWAKILISHE VYEMA BUNGENI.....



#NINAWAUNGA MKONO AKINA HALIMA JAMES MDEE NA BAWACHA KWENDA BUNGENI KUAPA.

Hesabu zako ni za kutongoza ebu tuangalie mbunge mmoja anapata 11ml @ mwezi
Anachangia chama makao makuu
Ni mlezi wa chama jimboni kwake
Anasomesha watoto na kusaidia watu
Anafanya harambee jimboni kwake na kutoa misaada mbali mbali
Anahudumia familia na ndugu zake
Matumizi yake binafsi
Anabaki na sh ngapi?
Baada ya bunge anapata 250ml
Fikiria kampeni yake atafanya kwa sh ngapi? Akiwa na tamaa ya kurudi
Kiasi kilichobaki bila kuzalisha kwa miaka 5 atabaki na ngapi?
2025 akitaka kujaribu tena kiasi kilchobaki kitatosha?
Kwa awamu hii akiwa ni mpizani atapata wapi kazi au biashara
TRA unadhani ni ndugu yao? Kwa awamu hii? Mapato yake yooote ukitoa kodi ya mzee zitabaki ngapi
Hayo ndio yanayowafikirisha sana na hata kutaka kufanya uamuzi saliti neno muheshimiwa ni kibali cha kuingia popote
 
Hawapewi kama hisani bali afasi hizo zipo kisheria. Halafu usidhani kuwa kufanya hivyo ni kuikomoa serikali au ni kuikomoa CCM bali ni kufanya CHADEMA isahaulike haraka sana masikioni mwa wananchi. Wale wote wanaodhani kuwa kutakosekana wenyeviti wa zile kamati nyeti za bunge ambazo lazima ziongozwe na upinzani wanasahau kuwa tayari bunge lina wabunge saba wa upinzani ambapo kwa kiapo chao cha ubunge wanaweza kutumikia nafasi zozote ndani ya bunge; yeyote kati ya hao ambao walikwishaapa ataweza kuongoza katika nafasi hizo.
Kumbe kuna njia mbadala,sasa mahangaiko ya nini?.Si wawatumie hao saba?
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya Bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya Viti Maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
TETESI!!!
 
Ujinga tu na ubinafsi. Ingekua kwa mfano mbowe na labda lema sugu na wale walimbwende wa chadema mdee bulaya na matiko peke yao tu wameshinda ubunge chadema wasingesusia ubunge wangeingia na kundi lao la viti maalum. ...

Amazing! Hapo ndipo wazee wa CCM walipokosea mkakati wa wizi. Inabidi huko mbeleni wapate mawazo ya genius kama wewe.

Jazba za kinazi pembeni, umeleta wazo fikirishi sana. Wale wazee wangekuwa wametulia, wakaruhusu ushindi wa hao uliowataja pekee: Mbowe, Lema, Sugu, Mdee, Bulaya na Matiko. Halafu wakaiba kwa wengine wote. Hakika tungepata fursa njema sana ya kuifahamu the real CHADEMA. Sijui lengo la kuruhusu ushindi wa Nkasi pekee lilikuwa nini hasa?

Bahati mbaya sana kwamba sasa hivi CCM inaongozwa na watu wenye jazba isiyopimika lakini IQ kiduchu. Walichofanya ni big mess up. Ni kama mwalimu aibe mtihani wa kuandika insha, halafu majibu ya wanafunzi wake yafanane sentensi kwa sentensi, neno kwa neno, nukta kwa nukta!
 
Hesabu zako ni za kutongoza ebu tuangalie mbunge mmoja anapata 11ml @ mwezi
Anachangia chama makao makuu
Ni mlezi wa chama jimboni kwake
Anasomesha watoto na kusaidia watu
Anafanya harambee jimboni kwake na kutoa misaada mbali mbali
Anahudumia familia na ndugu zake
Matumizi yake binafsi
Anabaki na sh ngapi?
Baada ya bunge anapata 250ml
Fikiria kampeni yake atafanya kwa sh ngapi? Akiwa na tamaa ya kurudi
Kiasi kilichobaki bila kuzalisha kwa miaka 5 atabaki na ngapi?
2025 akitaka kujaribu tena kiasi kilchobaki kitatosha?
Kwa awamu hii akiwa ni mpizani atapata wapi kazi au biashara
TRA unadhani ni ndugu yao? Kwa awamu hii? Mapato yake yooote ukitoa kodi ya mzee zitabaki ngapi
Hayo ndio yanayowafikirisha sana na hata kutaka kufanya uamuzi saliti neno muheshimiwa ni kibali cha kuingia popote
Sawa....

Umeorodhesha CHANGAMOTO za matumizi baada ya MAPATO YAO....

Wabunge wanapewa MFUKO WA JIMBO 200M(kwa ajili ya hayo matumizi juu ya watu wake).

Hakuna mbunge anayetoa PESA yake nyingi juu ya hao watu...kwani hata WALIMU na Watumishi wengine wana WAHITAJI JUU YAO(japo si wengi).

Mbunge HAWAJIBIKI "kuwalisha pesa watu wake)...hii si KAZI YAKE NA HAKUNA MBUNGE YEYOYE POPOTE anayefanya jambo hilo....

Bado KAZI YA UBUNGE ina privileges nyingi kushinda MTUMISHI WA UMMA wa kada za kati hata majeshini.....

Kama UBUNGE ungekuwa una hasara basi usingetegemea MAKAMANDA WAKUBWA wa Jeshi na polisi kuutaka PALE WANAPOSTAAFU utumishi wao wa UMMA....

Kwa hiyo hoja ya kusema wabunge wako na STRESS ECONOMICALLY zaidi ya wananchi wengine ni "kuwaumiza kihisia wavuja jasho wa nchi hii".
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya Bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya Viti Maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Wewe dada mbona unahangaika sana? Vipi wewe hawajakupa nafasi ya viti maalum nini? Waombe wakupatie hata nafasi moja tu.
 
Kama uongozi wa chama haujaridhia, wakienda Dodoma wafukuzwe uanachama.
Hata wakifukuzwa hawana cha kupoteza zaidi ya ile pata potea ya kujiteua.

Tatizo Chadema kila mtu ni papa na TUNDU keshavuruga mshikamano kwenye chama kisha akakimbia kesi zake mahakamani kwa kisingizio cha kutishiwa usalama
 
Maana yake hapo unahalalisha uchumia tumbo sio? Wanaenda bungeni kufanya nini? Wakakae tu wasubiri posho?

Hawatakuwa na impact yoyote kwenye bunge la CCM so haitakuwa na difference yoyote kama watakuwepo au hawatakuwepo.

Labda kama unamaanisha waende kwa maslahi binafsi.
Hata kwa masilahi binafsi siyo dhambi ndugu yangu, hata mimi na wewe tuna fanya kazi fulani, kwa masilahi binafsi na familia zetu! Ajira hizi 19, kwa hali hii ya maisha, mimi naona waende tu! Kuna maelfu ya wanawake hawana ajira, kuna maelfu ni ma-housegirls, kuna ma-barmed! Nakuhakikishia wengi wa hao wanafanya kazi hizo kwa vile basi tu, na hawana nia ya kuhalalisha chochote, inabidi tu wafanye kazi!
Lakini pia, Halima Mdee na Esther Bulaya, wana uwezo mkubwa kuliko wanawake wote wa viti maalumu ccm, kuwa ndani mle itasaidia sana upinzani. tukikataa ‘majembe’ kama hawa wasiende, ccm itachagua mamluki iwapeleke, na hatuwezi kuwa fanya kitu!
 
Back
Top Bottom