Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Aida Ana kosa gani Hadi achukuliwe hatua? SEMA kosa la Aida acha Mambo ya wivu wa Mbowe.
Wewe hata huelewi. Point ni hii: huwezi kuzuia akina mama kwenda bungeni ila ukamuacha Aida aliyepatikana kwa uchaguzi huohuo umeokuwa termed kuwa batili. You cant eat ur cake and still have it!
 
Hahaha hakuna wa kwenda bungeni, sharti lazima wathibitishwe kwa barua kutoka kwa katibu mkuu Chadema, kwenda NEC kisha wao waiwasilishe kwa spika.

Nje ya utaratibu huo hakuna wa kwenda kuapishwa.
 
Kwanza futa kichwani kwako hicho unachoita KUIBA na KUPORA Uchaguzi, hayo ni maneno ya wanasiasa ya kuwalaghai. Lakini hawa watu wameshindwa kihalali kabisa kwenye uchaguzi. Hakuna walichowafanyia wananchi kwenye majimbo yao zaidi ya kujinufaisha wao na familia zao. Halikadhalika, Mgombea u Rais alietuliwa hakua mtu sahihi, haiwezekani kipindi chote mtu akae ughaibuni ghafla aje kuomba uraisi halafu ategemee wananchi wampe dhamana ya kuongoza nchi. Wakati mwenzie miaka yote mitano alikua anapiga kazi ambayo kila mtu aliiona.

Pili, kaa ukijua CHADEMA lazima wapeleke Viti Maalum Bungeni hawawezi kuachia hiyo fursa ipite hivi hivi labda kama hicho chama hakiongozwi na wachaga. Hapa kinachosubiriwa ni timing tu, wanasubiria msahau wafanye yao. Kama ni hatua, basi wangemchukulia Aida Khenani Mbunge wa Nkasi ambae pamoja na agizo la chama la kutotambua matokeo ya uchaguzi nchi nzima lakini ameapishwa na sasa anaendelea na majukumu yake ya kibunge kama kawaida. Kama wao ni wanaume wamfukuze huyu mbunge, mbona wameufyata.
1.Inaelekea hujui kuwa zaidi ya asilimia 70 ya mawakala wa upinzani walizuiwa kuingia vituoni
2.Inaelekea hujaona kura feki za lumbesa kwenye mabegi na vikapu zikitafutiwa namna ya kujazwa kwenye masanduku
3.Inaelekea hujui jinsi polisi ilivyogoma kupokea malamiko na ushahidi wa kura feki zilizokamatwa kwa madai kuwa polisi haijihusishi na malamiko ya uchaguzi (Muulize Jacob Boniface)
4. Inaelekea wewe unaamini Hussein Mwinyi kapata 76% na Maalim kapata below 20%
5. Inaelekea wewe hujui kuwa Mawakala wa vyama vya upinzani walipingwa zengwe kwenye kupewa nakala ya majumuisho ya kura
6.Inaelekea wewe hujui kuna vituo hewa kibao ambavyo havikuwemo kwenye nakala ya vituo vya NEC
7.Inaelekea wewe hujaona harrassment dhidi ya wapinzani kulikokuwa kukifanywa na jeshi la polisi kuelekea kwenye uchaguzi, kuwavamia, kudisturb ratiba zao za uchaguzi hadi kufikia hatua polisi inawaambia wapinzani hawatashinda (mfano kule Hai)
 
Hii habari hata haiingii akilini yaani hata mtoto mdogo hawezi kuiamini. Haiwezekani tu mtu ajipeleke kuapishwa kuwa mbuge wa vitu maalum bila ya kupitishwa na chama anachotokea. Engelikuwa hiyo inakubalika basi hata wanawake wa CCM wengi tu wangelijipeleka bila kugoja kuteuliwa. Pia bunge haliwezi kumuapisha mtu yeyote yule tu kwa kuwa tu ana kadi ya chama fulani. Pia Watanzania mkumbuke kuwa kwa mwanamke kuwa katika bunge kwa viti maalum kwa tiketi ya chama chechote kile ni lazima awe mwanachama wa chama fulani, kwa hivyo viongozi wa CHADEMA na CAT wameshika mpini hapa, yeyote yule atakaeapishwa kwa tiketi ya vyama vyao wanatamtoa kiurahisi bungeni kwa kumfukuza uanachama wa chama chao. Huwezi kuwa mbunge bila ya kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa, hiyo ndio sheria ya bunge la Tanzania.
 
Hahaha hakuna wa kwenda bungeni, sharti lazima wathibitishwe kwa barua kutoka kwa katibu mkuu Chadema, kwenda NEC kisha wao waiwasilishe kwa spika.

Nje ya utaratibu huo hakuna wa kwenda kuapishwa.
Wako wanaapishwa muda huu mkuu
 
Hii habari hata haiingii akilini yaani hata mtoto mdogo hawezi kuiamini. Haiwezekani tu mtu ajipeleke kuapishwa kuwa mbuge wa vitu maalum bila ya kupitishwa na chama anachotokea. Engelikuwa hiyo inakubalika basi hata wanawake wa CCM wengi tu wangelijipeleka bila kugoja kuteuliwa. Pia bunge haliwezi kumuapisha mtu yeyote yule tu kwa kuwa tu ana kadi ya chama fulani. Pia Watanzania mkumbuke kuwa kwa mwanamke kuwa katika bunge kwa viti maalum kwa tiketi ya chama chechote kile ni lazima awe mwanachama wa chama fulani, kwa hivyo viongozi wa CHADEMA na CAT wameshika mpini hapa, yeyote yule atakaeapishwa kwa tiketi ya vyama vyao wanatamtoa kiurahisi bungeni kwa kumfukuza uanachama wa chama chao. Huwezi kuwa mbunge bila ya kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa, hiyo ndio sheria ya bunge la Tanzania.
Wanaapishwa muda huu.
 
Unataka kusema halima mdee ambae ni mwenyekiti wa bawacha taifa na mjumbe wa kamati kuu hajui hizo taratibu??
Au utasema mdee nae kanunuliwa?
Hii habari hata haiingii akilini yaani hata mtoto mdogo hawezi kuiamini. Haiwezekani tu mtu ajipeleke kuapishwa kuwa mbuge wa vitu maalum bila ya kupitishwa na chama anachotokea. Engelikuwa hiyo inakubalika basi hata wanawake wa CCM wengi tu wangelijipeleka bila kugoja kuteuliwa. Pia bunge haliwezi kumuapisha mtu yeyote yule tu kwa kuwa tu ana kadi ya chama fulani. Pia Watanzania mkumbuke kuwa kwa mwanamke kuwa katika bunge kwa viti maalum kwa tiketi ya chama chechote kile ni lazima awe mwanachama wa chama fulani, kwa hivyo viongozi wa CHADEMA na CAT wameshika mpini hapa, yeyote yule atakaeapishwa kwa tiketi ya vyama vyao wanatamtoa kiurahisi bungeni kwa kumfukuza uanachama wa chama chao. Huwezi kuwa mbunge bila ya kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa, hiyo ndio sheria ya bunge la Tanzania.
 
Kama uongozi wa chama haujaridhia, wakienda Dodoma wafukuzwe uanachama.
Nyie mnaropoka hovyo hamjui jinsi njaa ilivyo mbaya.....waacheni wakagannge njaa..nasikia wameshaapishwa.....wakigoma kuingia bungeni watakula nini ndani ya nchi ya chama kimoja? hebu jifikirieni.......hata wakifukuzwa uanachama , spika atawalinda kama kawa
 
Hahaha hakuna wa kwenda bungeni, sharti lazima wathibitishwe kwa barua kutoka kwa katibu mkuu Chadema, kwenda NEC kisha wao waiwasilishe kwa spika.

Nje ya utaratibu huo hakuna wa kwenda kuapishwa.
Wanaapishwa


Mnaongea mno
 
1.Inaelekea hujui kuwa zaidi ya asilimia 70 ya mawakala wa upinzani walizuiwa kuingia vituoni
2.Inaelekea hujaona kura feki za lumbesa kwenye mabegi na vikapu zikitafutiwa namna ya kujazwa kwenye masanduku
3.Inaelekea hujui jinsi polisi ilivyogoma kupokea malamiko na ushahidi wa kura feki zilizokamatwa kwa madai kuwa polisi haijihusishi na malamiko ya uchaguzi (Muulize Jacob Boniface)
4. Inaelekea wewe unaamini Hussein Mwinyi kapata 76% na Maalim kapata below 20%
5. Inaelekea wewe hujui kuwa Mawakala wa vyama vya upinzani walipingwa zengwe kwenye kupewa nakala ya majumuisho ya kura
6.Inaelekea wewe hujui kuna vituo hewa kibao ambavyo havikuwemo kwenye nakala ya vituo vya NEC
7.Inaelekea wewe hujaona harrassment dhidi ya wapinzani kulikokuwa kukifanywa na jeshi la polisi kuelekea kwenye uchaguzi, kuwavamia, kudisturb ratiba zao za uchaguzi hadi kufikia hatua polisi inawaambia wapinzani hawatashinda (mfano kule Hai)
Hizo propaganda za wapishi wa propaganda!

Ukweli hadi tunamaliza kupiga kura mambo yalikuwa shwari.

Kwa ujumla waangalizi wa uchaguzi wamethibitisha hilo.
Wagombea na viongozi wa upinzani walithibitisha hilo, rejea kukiri kwa Lissu na Zitto kwamba uchaguzi kiujumla umeendeshwa vizuri. Ila baada ya matokeo na kuona wameshindwa ndiyo wakaja na hadithi za alfu lela ulela!

Jiulize kwa nini wameshindwa kukusanya ushahidi unaoeleweka na wenye uzito na kuwasilisha mahakamani hata kwa chaguzi za wabunge na madiwani wakati chaguzi zilizopita walifanya hivyo? Au hata kuwasilisha kwa umma.

Achana na michezo ya kuigiza ya kuchapisha kura feki kisha ku stage kumkamata mtu na kura feki, alafu unazichoma mwenyewe hizo kura na kurusha vi clip!
 
Yako wwpi
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini kula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya Bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya Viti Maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa wizi ambao tulishuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa dhidi ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.

Wizi wa kura kama huu hapa chini, utakubalije uchaguzi wa aina hii?

View attachment 1633707

Nadhan unaendelea kujifunza ila kwa uchungu mno


Hauijui chadema wewe!!!
 
Hahaha hakuna wa kwenda bungeni, sharti lazima wathibitishwe kwa barua kutoka kwa katibu mkuu Chadema, kwenda NEC kisha wao waiwasilishe kwa spika.

Nje ya utaratibu huo hakuna wa kwenda kuapishwa.
Ngoja uone yatakayotokea ... we kalia utaratibu tu
 
Back
Top Bottom