Suala la VPN walengwa ni wapinzani, watumia VPN kuepuka gharama za mabando na kucheki mambo binafsi ondoeni hofu

Turbo inapiga kazi πŸ˜‚πŸ˜‚
Andika kwa code mkuu. Huu uzi wanapitia watu wenye roho mbaya. Zitapigwa pin muda si mrefu.
Nilikuwa nanunua bando sana ikafika muda nikachoka. Gharama ni kubwa kuliko uhalisia
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜… Ngoja wakusikie
 
Jarbu 1⁴ hyo ni noma
 
J
Msaada jmn
Yaani duh
 
Nipeni elimu nimedownload aha tunnel inafanyaje kazi je ikiwa connectect data nazima ili nilikatike au naacha hiyo kubana matumizi inafanya yenyewe mi nitajionea data inalika vzr
 
Upuuzi wote huu wa VPN na vitu vinavyofanana na hivyo utaisha siku Tanganyika ikiwa na serikali yake.
Usikurupuke kujibu kabla ya kutafakari. Hapa ni home of great thinkers. Be one of them!
 
Bwana wewe haya tusaidie basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…