Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Andika kwa code mkuu. Huu uzi wanapitia watu wenye roho mbaya. Zitapigwa pin muda si mrefu.Turbo inapiga kazi ππ
π€£π€£π€£π€£π π Ngoja wakusikieTangu lini tapeli akapata hasara?
Hiyo mitandao ni matapeli na kila siku wanabadilisha vifurushi. Angalia uchumi wa wawatanzania wengi halafu kwa 1000 unapata mb 450 kweli?
Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000.
Umeweka hizo VPN kimakusudi sijui unamkomoa nani? Hizo vpn sijawahi kutumia, natumia zingine kabisa na ni mtelezo.
Mitandao ya simu imekuwa mitapeli sana acha nao watapeli.
Kipindi kile 1gb kwa buku, nani alikuwa anahangaika na VPN? Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila nilipoona bando kila siku zinabadilika, nikaanza kwa Droid ila sasa situmii tena, nina chombo jipya. Siwazi bando.
Muvi ya 1.4Gb ununue bando la 3,000 mpk 4,000 ndiyo upakue? Hapana, wapate hasara tu, mimi sina msaada nao.
Kweli kabisaWadau tunahitaji mbinu /maelekezo zaidi ili tuweze kusave bundle
Jarbu 1β΄ hyo ni nomaIlishanishinda kutumia, natumia nyingine.
Hata VPN nao siku hizi wameanza kubana ilikuwa Droid wakaipiga pin ila sasa hivi nipo kwenye vpn matata japo spid siyo nzuri kivile naweza pakua hata 2GB.
WhatsApp, Telegram JF na kuperuzi website zingine siwazi.
Hata hii comment, nimetumia vpn
Gb 10 elf 30 voda π€£Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000
Msaada jmnTangu lini tapeli akapata hasara?
Hiyo mitandao ni matapeli na kila siku wanabadilisha vifurushi. Angalia uchumi wa wawatanzania wengi halafu kwa 1000 unapata mb 450 kweli?
Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000.
Umeweka hizo VPN kimakusudi sijui unamkomoa nani? Hizo vpn sijawahi kutumia, natumia zingine kabisa na ni mtelezo.
Mitandao ya simu imekuwa mitapeli sana acha nao watapeli.
Kipindi kile 1gb kwa buku, nani alikuwa anahangaika na VPN? Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila nilipoona bando kila siku zinabadilika, nikaanza kwa Droid ila sasa situmii tena, nina chombo jipya. Siwazi bando.
Muvi ya 1.4Gb ununue bando la 3,000 mpk 4,000 ndiyo upakue? Hapana, wapate hasara tu, mimi sina msaada nao.
TTCLMtandao? Sijakuelewa vyema
Kwakweli siwezi ππGb 10 elf 30 voda π€£
Hawana aibu kabisa
Sijawahi kuutumia kabisaTTCL
Kwa hali hii, utanunua bando la shiling ngapi? VPN haikwepekiGb 10 elf 30 voda π€£
Hawana aibu kabisa
Sasa utaishije?Kwakweli siwezi ππ
ππ elf 60-70kKwa hali hii, utanunua bando la shiling ngapi? VPN haikwepeki
VPN inasaidia. Kupakua, kuperuzi, whatsapp, telegrama, jf na fb.
Nipeni elimu nimedownload aha tunnel inafanyaje kazi je ikiwa connectect data nazima ili nilikatike au naacha hiyo kubana matumizi inafanya yenyewe mi nitajionea data inalika vzrTangu lini tapeli akapata hasara?
Hiyo mitandao ni matapeli na kila siku wanabadilisha vifurushi. Angalia uchumi wa wawatanzania wengi halafu kwa 1000 unapata mb 450 kweli?
Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000.
Umeweka hizo VPN kimakusudi sijui unamkomoa nani? Hizo vpn sijawahi kutumia, natumia zingine kabisa na ni mtelezo.
Mitandao ya simu imekuwa mitapeli sana acha nao watapeli.
Kipindi kile 1gb kwa buku, nani alikuwa anahangaika na VPN? Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila nilipoona bando kila siku zinabadilika, nikaanza kwa Droid ila sasa situmii tena, nina chombo jipya. Siwazi bando.
Muvi ya 1.4Gb ununue bando la 3,000 mpk 4,000 ndiyo upakue? Hapana, wapate hasara tu, mimi sina msaada nao.
It's truevijana wengi hasa vyuoni wana uhitaji mkubwa sana wa data ila hawawezi kumudu gharama za mabando ghali.
ukifatilia huko waweza kupewa mafaili yake
Bwana wewe haya tusaidie basiTangu lini tapeli akapata hasara?
Hiyo mitandao ni matapeli na kila siku wanabadilisha vifurushi. Angalia uchumi wa wawatanzania wengi halafu kwa 1000 unapata mb 450 kweli?
Leo kupata 10gb lazima uwe na 20,000.
Umeweka hizo VPN kimakusudi sijui unamkomoa nani? Hizo vpn sijawahi kutumia, natumia zingine kabisa na ni mtelezo.
Mitandao ya simu imekuwa mitapeli sana acha nao watapeli.
Kipindi kile 1gb kwa buku, nani alikuwa anahangaika na VPN? Mimi mwenyewe nilikuwa sijui VPN ila nilipoona bando kila siku zinabadilika, nikaanza kwa Droid ila sasa situmii tena, nina chombo jipya. Siwazi bando.
Muvi ya 1.4Gb ununue bando la 3,000 mpk 4,000 ndiyo upakue? Hapana, wapate hasara tu, mimi sina msaada nao.
Natumia halotel,by that time walikuwa Wana afadhali kuliko Mitandao mingine,ila Kwa sshv naona yaleyale tu