Hayo yote nimeyazungumza kaka ila pengine hukuona umuhimu wa kusoma post yangu.
kuhusu kuhamasisha michango kama vile chakula si nimeshagusia hapa 👇👇👇kuwa wao ndo walete michango au chakula wakuletee mfiwa,sijui ulitaka nihamasishe vipi kaka.
Kama wameguswa na msiba wao ndo wakuletee vyakula...
Hii kauli inahamasisha watu wachangie chakula kwa wafiwa,kisha ndugu unataka nihamasishe vipi.
By the way mada yangu kuu ilikuwa ni kuwaambia majirani kuwa sio sahihi kula msibani kwa gharama walizoandaa wafiwa wenyewe,ni kukosa huruma.