Mkuu hapo sasa itabidi uanzishe mada wewe ya kusisitiza utoaji wa michango,lqkini kuona kuwa nilichoandika hakikutakiwa kiwe hiko sioni kama ni sahihi sana mkuuuMimi ninaona huyu ndugu yetu @safuher alipaswa kusisitiza watu kutoa michango katika misiba kadri ya vipato vyao na sio kubagua utoaji wa huduma ya chakula.
Hayo yote nimeyazungumza kaka ila pengine hukuona umuhimu wa kusoma post yangu.Mkuu, mimi binafsi ninadhani ulipaswa kuhimiza zaidi watu kuchangia fedha na chakula katika changamoto hii ya dharura ya msiba na sio kuweka msimamo mkali wa kugoma kuwapa chakula waombolezaji au kuwapa chakula kwa kuwabagua kuwa huyu ni wa mbali na yula ni wa karibu.
Ninadhani una jambo zuri sana la kuzungumza ila umeliongelea kwa namna ambayo sio sahihi.
Kama wameguswa na msiba wao ndo wakuletee vyakula...Kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndio wakuletee chakula wewe uliyefiwa.
Sawa ndugu yangu nimekuelewa vemaHayo yote nimeyazungumza kaka ila pengine hukuona umuhimu wa kusoma post yangu.
kuhusu kuhamasisha michango kama vile chakula si nimeshagusia hapa 👇👇👇kuwa wao ndo walete michango au chakula wakuletee mfiwa,sijui ulitaka nihamasishe vipi kaka.
Kama wameguswa na msiba wao ndo wakuletee vyakula...
Hii kauli inahamasisha watu wachangie chakula kwa wafiwa,kisha ndugu unataka nihamasishe vipi.
By the way mada yangu kuu ilikuwa ni kuwaambia majirani kuwa sio sahihi kula msibani kwa gharama walizoandaa wafiwa wenyewe,ni kukosa huruma.
Sawa ndugu yangu. Ninaomba radhi kama nimekukwazaMkuu hapo sasa itabidi uanzishe mada wewe ya kusisitiza utoaji wa michango,lqkini kuona kuwa nilichoandika hakikutakiwa kiwe hiko sioni kama ni sahihi sana mkuuu
Niwie radhi mkuuHujasoma mada yangu ukaielewa,umesoma coment ambazo nazo nyingi hazijaelewa nani kakusudiwa.
Rejeea uzi pengine ukaelewa makusudio.
Poa mkuuMbona haina shida Mkuu.
Kumbe yamekukuta mkuu,watu wengine waanajali kula tu hawajui kama mtu kafiwa anahitaji achangiwe hata hiko chakula.Yaan kabla sjajua Haya mambo,nilijua ukifiwa hupati gharama sana kama husafirishi maiti,Kumbe sku unapata msiba unaweza ulizwa unga uko wapi au kuni
Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.
Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako halafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.
Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako halafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kuzika, hiyo sio sherehe.
Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo halafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.
Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.
Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.
Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula
Kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndio wakuletee chakula wewe uliyefiwa.
NB ; kwa zile ada ambazo wanaokuja kuzika ndo huwa wanakuja na chakula na pesa za michango pasi na kuwatia uzito wafiwa basi ada hii haihusiani na mada yangu na ndio inavyotakiwa.
Je, mchungaji aliyekuja kuzika anapochukua sadaka yake kwani ni yeye kafiwa? Yaache yakae yalivyo watu siku hizi hawafikiri zaidi ya pua yao.
Inaelekea wewe sio mhudhuriaji wa misiba, na unamgonjwa ndani kila ukimwangaliiiia unaona kabisa hapa shughuli imefika ukingoni, Sasa huna kitu ndani na huna Cha kupika Wala wachangaji huna.Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.
Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako halafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.
Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako halafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kuzika, hiyo sio sherehe.
Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo halafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.
Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.
Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.
Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula
Kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndio wakuletee chakula wewe uliyefiwa.
NB ; kwa zile ada ambazo wanaokuja kuzika ndo huwa wanakuja na chakula na pesa za michango pasi na kuwatia uzito wafiwa basi ada hii haihusiani na mada yangu na ndio inavyotakiwa.
Kwa hili nakuunga mkono kabisa, kama wanavyofanya waislam wa Answaar sunni a.k.a suruali fupi.Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula.
Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako halafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.
Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe chakula cha wewe kula kwa sababu umepatwa na msiba,umeshughulishwa na kuondoka kipenzi chako halafu inakuwaje uwaze kuwapikia wanaokuja kuzika, hiyo sio sherehe.
Mtu anatoka nyumba ya pili tu hapo halafu anataka kuja kula kwako uliyefiwa haoni haya kabisa.
Nilishatangaza nyumbani kuwa nikifiwa na mtu aliyeko ndani ya mamlaka yangu chakula ni kwa ajili ya familia tu kama kawaida na wale wageni wa mbali ambao hata bila msiba wangepikiwa na sio vinginevyo.
Ndugu wengi wakimaliza maziko wanabaki na madeni yasiyo ya lazima kwa sababu ya kutimiza utaratibu waliokuta katika jamii licha ya kuwa unawaumiza utaratibu huo lakini wamo tu.
Mfiwa kupika chakula ni sawa na mwenye sherehe kupika chakula
Kama kweli wameguswa na msiba wako wao ndio wakuletee chakula wewe uliyefiwa.
NB ; kwa zile ada ambazo wanaokuja kuzika ndo huwa wanakuja na chakula na pesa za michango pasi na kuwatia uzito wafiwa basi ada hii haihusiani na mada yangu na ndio inavyotakiwa.
Wao wanapeleka chakula na vinywaji kwa mwenye msiba. Tena wanasema wafiwa wasiwashe moto kabisa kuandaa chakula.Wao hupeleka chakula kwa marehemu na michango mingine au huenda na kurudi mikono mitupu tu ?