Subaru vs Vanguard

Subaru vs Vanguard

Subaru ndio kila kila spare ukifunga umefunga utasahau hiyo vangurd zinasumbia sana upande wa steling power ikianza sumbua gari utaliona kopo spare yake ni adimu sana
Hivi kuna gari inayosumbua steering kama Subaru mzee. Watu wangu zaidi ya watatu wenye subaru non-turbo tatizo hilo limewakuta mpaka wamefunga hyrdaulic steering wameachana na ile ya umeme.
 
Subaru ndio kila kila spare ukifunga umefunga utasahau hiyo vangurd zinasumbia sana upande wa steling power ikianza sumbua gari utaliona kopo spare yake ni adimu sana
Subaru Forester inatembea hiyo vanguard hawezi kumuona alipopotelea
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 CARINA sidhani hata kama itamaliza 180KPH zote ikiwa ishachoka.
Hakuna Carina ti yenye kumaliza kisahani ukishafika 130 km/h utarudi mwenyewe mguu Kati maana maana gari inakuwa kama upo ya maji balance yote inapotea.
Carina ti sifa yake kubwa ni imara kama treni ila kwenye ishu za speed usijaribu
 
Asee naona kuna watu hawajui spec nyingi za engine..kuna cc, kuna horse power na kuna kitu kinaitwa torque..sasa nguvu ipo kwenye torque... power multiplication ya cc na horse power..ntatoa mfano unakua kuna mlorry wa mchina una horse power 380 lakini kacheck torque yake....

Kuhusu Brevis na LC 200..brevis anaweza achwa na lc 200 mkuu tena mbali..kwakua lc ina torque kubwa sana.. pia ina top speed kubwa (260) wakati brevis ana 180..tena high way brevis hafati kabisa.
Nguvu sio torque Ni hp

Torque is just turning force

Where turning force times angular speed ndo unapata hp

Kama torque ndo kigezo gari zote zenye torque kubwa zingekuwa tishio

Ogopa gari yenye hp kubwa hizo kina lambo , Hennesey, agera nk Ni horse power zake ndo zinafanya gari ikimbie kiasi kile

Chukulia mfano 1JZ GTE with 280hp huwa Ina torque kidogo tu somewhere 377nm zidi ya lc200 diesel yenye torque 625+ nm

Unachopaswa kujua Ni kwamba engine ambazo zinakaribia kulingana na zinatumia fuel ya aina moja Basi yenye torque kubwa ndo yenye hp kubwa..ukisema una compare engine za aina mbili tofauti mafuta tofauti huwezi chukua kigezo Cha torque kuwa ndo kitafanya gari ikimbie sababu diesel hazizunguki Sana ila Zina torque kubwa at lower rpm


Gari za diesel kawaida hizi za kutembelea huwezi kuta gari Ina hp 200 na haijafikisha torque zaidi ya 370nm ila gari za petrol hp 200 at 5500rm au 6000rpm torque hata haifiki 300nm ila diesel hp 200 torque inaeza kuwa 400+ nm

Horse power zako ndo zitaamua ukae nyuma au mbele
 
Hakuna Carina ti yenye kumaliza kisahani ukishafika 130 km/h utarudi mwenyewe mguu Kati maana maana gari inakuwa kama upo ya maji balance yote inapotea.
Carina ti sifa yake kubwa ni imara kama treni ila kwenye ishu za speed usijaribu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Noma
 
Hivi kuna gari inayosumbua steering kama Subaru mzee. Watu wangu zaidi ya watatu wenye subaru non-turbo tatizo hilo limewakuta mpaka wamefunga hyrdaulic steering wameachana na ile ya umeme.
Upo sahihi
Ukishafunga hydraulic umemaliza...
 
Hivi kuna gari inayosumbua steering kama Subaru mzee. Watu wangu zaidi ya watatu wenye subaru non-turbo tatizo hilo limewakuta mpaka wamefunga hyrdaulic steering wameachana na ile ya umeme.
Design ya steering ya umeme ndo inafanya tatizo la steering rack kungonga kwa ndan liwe ni inherent...angalia hata Toyota zenye steering ya umeme hasa hizi ambayo mota yake ina kaa juu kwenye dashboard..utakuta zinasumbua sana mguu wa kushoto mbele.. but kwa Toyota zinakuja na steering ya umeme alafu mota yake ipo juu huku kwenye dashboard modification yake ni rahisi kidogo.. nilikua nakutana na changamotoo hii kwenye kibakuli changu kilichokuja na steering ya umeme...kila mwaka nilikua na nunua steering rack complete..baadae nkachukua steering ya hydraulic bila kutoa system ya umeme nka-install steering rack ya hydraulic nikakata pipe zile zinazokuja kwenye power steering...basi ikaendelea tumia system ya umeme huku nime install steering rack ya mfumo wa hydraulic..mwaka wa tatu huu sina issue tena ya steering kugonga ndani ya shaft.
 
Nguvu sio torque Ni hp

Torque is just turning force

Where turning force times angular speed ndo unapata hp

Kama torque ndo kigezo gari zote zenye torque kubwa zingekuwa tishio

Ogopa gari yenye hp kubwa hizo kina lambo , Hennesey, agera nk Ni horse power zake ndo zinafanya gari ikimbie kiasi kile

Chukulia mfano 1JZ GTE with 280hp huwa Ina torque kidogo tu somewhere 377nm zidi ya lc200 diesel yenye torque 625+ nm

Unachopaswa kujua Ni kwamba engine ambazo zinakaribia kulingana na zinatumia fuel ya aina moja Basi yenye torque kubwa ndo yenye hp kubwa..ukisema una compare engine za aina mbili tofauti mafuta tofauti huwezi chukua kigezo Cha torque kuwa ndo kitafanya gari ikimbie sababu diesel hazizunguki Sana ila Zina torque kubwa at lower rpm


Gari za diesel kawaida hizi za kutembelea huwezi kuta gari Ina hp 200 na haijafikisha torque zaidi ya 370nm ila gari za petrol hp 200 at 5500rm au 6000rpm torque hata haifiki 300nm ila diesel hp 200 torque inaeza kuwa 400+ nm

Horse power zako ndo zitaamua ukae nyuma au mbele
What i mean with higher torque, many adjustment can be done to gear ratios to attain high speed..
 
What i mean with higher torque, many adjustment can be done to gear ratios to attain high speed..
Unaweza badili diff ukaweka yenye ratio ndogo kidogo ila haitakufanya kufikia speed kubwa ambayo hukuwahi fika na diff ya awali Sana Sana itasaidia kupunguza engine rpms kwenye same speed
 
unasema V8 kwenye kona inanguka wale jamaa wana lala nayo😂😂😂
Wana uzoefu uliopitiliza na umakini wa hali ya juu...mm najiulizaga usku huwa wanaonaje yale matuta ,mm tuta huwa naliona nikishalifikia na ndio maana napenda gari ya juu maana ya chini ntakua nashindwa kufukia matuta
 
Back
Top Bottom